Tanzania revenue forecast too optimistic, could delay projects, says IMF

Tanzania revenue forecast too optimistic, could delay projects, says IMF

Wabongo kwa uchawi, hizo tafiti wala hamna uhakika nazo, ila kwa sababu zimetungwa na wazungu na ni habari mbaya kwa utawala, Basi watu roho zimefurahii, maroho ya kishetani.
Duu nmeamin tafiti ya Twaweza,.. Kwaio ww kwamba hujui kua budget iliopita imetekelezeka kwa asilimia 15 tu..... Unahisi hawa ni mambumbu kama CCM... Haihitaji miujiza kujua kua serikali ya nchi hii haijawai kuwa na budget ya kweli....... [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] eti kisa Wazungu, au tuwaambie twaweza wa tafiti
 
Shirika la Fedha Ulimwenguni(IMF) limedai kwamba bajeti ya Tanzania ya Trilioni 31 ni "changa la macho" na kwamba Tanzania haina vyanzo vya fedha kukusanya mapato yanayofikia trilioni 31

Kwa maana hiyo shirika hilo linasema watanzania tumepewa matumaini yaliyopita kuliko cha uwezo wetu!

Binafsi ninaona kuna ukweli asilimia kubwa sana,ukiangalia bajeti ya mwaka 2016/2017 ilitekelezwa kwa asilimia 38,ikashindwa kutekelezwa kwa asilimia 62

Bajeti ya 2016/2017 ilikuwa trilioni 29, lakini pesa iliyotoka ni trilioni 15,bajeti ya mwaka huu 2017/2018 ni trilioni 31,sasa kama ya mwaka 2016/2017 ilitushinda kufikia hata nusu,tulikuwa na vigezo vipi vya kuipandisha bajeti yetu mpaka ifikie trilioni 31?View attachment 531778 View attachment 531779 View attachment 531780

Yaani tulishindwa hata kuikaribia nusu!

Sasa tumeongeza makadirio ya bajeti mpaka trilioni 31 wakati vyanzo vya mapato ni vilevile,na serikali inasema kumekuwa na wimbi la kufunga biashara,makampuni yanapunguza wafanyakazi

Mapato watayakusanya kutoka wapi!???


IMF ndio moja kati ya mashirika makubwa yanayoongoza na kutoa mwelekeo wa uchumi wa dunia,lakini wanakiri kwamba bajeti yetu ni "changa la macho"
Usiwe unaandika vitu usivyoelewa. Budget na revenue ni mambo tofauti abisq. Revenue ni sehem tu ya budget. Kuna vyanzo vingine vya budget tofauri na makusanyo. Lakini huo utekelezaji wa asilimia 38 wa budget uliopita umeutoa wapi. Lete namba tufanye hesabu
 
They can do whatever they like to do, the fact remains we what our money back.
Where were you for 20yrs Tundu told you!! They are swindle ring your resources you call him traitor!! Now according to existing contract🙁!!
Mwanzi1,Tuombe kwa Mola tena mshaulige Rais wetu katapila!! Achaguage watu makini wajuzi wa mikataba.Bila sahau Tundu na Pro Lumumba!!!
 
Wabongo kwa uchawi, hizo tafiti wala hamna uhakika nazo, ila kwa sababu zimetungwa na wazungu na ni habari mbaya kwa utawala, Basi watu roho zimefurahii, maroho ya kishetani.
Kwani ya Mwaka jana ilikuaje? Naona unajikakamua kuongea ndani ya uzi mgumu kwenu.
 
Kwa wenye akili tu, kama ulipanga trillion 29 ukapata 37% tu iweje sasa upange trillion 32 ? Hivi tunapanga bajeti kwa kutegemea miujiza gani? Tunapanga tu kwa ajili ya sifa na ndiyooooo za bungeni au kuna namna? Kwa lugha nyingine bajeti iliyopita tulifeli na hili hatujaambiwa.

Hatutaki kusema ukweli, na nijuavyo mimi bajeti siyo vita. Tumekimbilia vyanzo ambavyo ni kandamizi zaidi. Tumeingilia hadi halmashauri za jiji, manispaa, Mimi na wilaya. Huko hali itakuwa ngumu zaidi, vyanzo vyao tumehamishia serikali kuu. Uendeshaji wa halmashauri hizi utakuwa chini ya kiwango, mafanikio yatakuwa chini sana.

Ajira haijazungumzwa, tofauti tayari ishaonekana kuwa nafuu tawala zilizopita mipango yao ilitekelezeka. Utawala huu umejikita kwenye uhakiki zaidi, na kazi yenyewe haijaleta matunda. Tuliambiwa kuwa sherehe zote za kitaifa, warsha na makongamano hadi michezo ya mwanafunzi zipigwe marufuku kwa kuokoa fedha. Vyote hivyo bimefanyika lakini bajeti haikufanikiwa, mfano maji sekta muhimu imetekelezwa kwa 19% tu.

Tuje bungeni, wale wa ccm ni Bashe na Nape ndio walishituka. Wengine waliisifia kuwa ni bajeti ya kihistoria, kipaumbele kutoa motor vehicle license. Wabunge wa upinzani
Waliijia juu na kuukataa wakatengenezewa scandal ya kunyimwa fedha kwenye majimbo yao. Kama mwaka Jana hawa hawa walieleza ukweli wao na kutoa direction ambayo haikufuatwa na matokeo yake hawa washangiliaji wakaja kufeli, sasa kuna kosa gani ya kusikilizwa. Ubabe na uchama unawaumiza watanzania wasiopaza sauti.

Bajeti mbovu humuumiza kila mmoja na ni gharama kwa kila mlipa kodi. Tushughulikie hayo ysliyotukwaza kwanza ndipo tupange mipango yetu. Kuna Siku nilisikia kauli fulani kuwa hatuhitaji misaada. Ni kweli hatuhitaji misaada? Deni la taiga sasa ni zaidi ya trillion 40, sasa je limefikaje hapo kama hatuhitaji misaada?

Wastaafu wengi hawajapewa mafao yao, ajira hakuna, sherehe zimepigwa chini, wafanyakazi wamepunguzwa, hela za rambirambi zimetumika kwenye maendeleo, sasa je yupo jini anatumezea hela? Kama ni jini tufanye maombi nchi nzima tuukemee.
Tujisahihishe
 
15 trillion iliyotoka kwa mujibu wa wewe mwenyewe ni 37% ya Trillion 29. Haikufika hata nusu. Je kuna ukweli hapa?


Na washawasha!
 
Za makinikia zitajazia!!
Ataa ikitokea hivyo .majadiliano mpaka pesa zije kulipwa ni Mwaka 2020 awamu imekwisha na sidhani kuna kurudi hapo awamu 2 .na pia sidhani hicho kiasi kitazidi trilioni 3 .
 
IMF wakiweka data za uchumi kukuwa mnasema data za kwenye karatasi...lakini wakiweka za uchumi kutokukuwa mnaziona ni halisi.

Wazee wa kuhamisha milingoti ya Magoli...!
 
Mshahara wako lakini moja. Unapanga matumizi ya laki mbili
 
Wabongo kwa uchawi, hizo tafiti wala hamna uhakika nazo, ila kwa sababu zimetungwa na wazungu na ni habari mbaya kwa utawala, Basi watu roho zimefurahii, maroho ya kishetani.
Hoshea .Shindwa na ulegee
 
Kama kawaida mi ccm kila kitu ndio, hata vitu visivyo tekelezeka. Lini watajifunza kwenda na ukweli? Enyi ma ccm ?
 
kwa la bajeti mwaka huu wa fedha tuta improve hawezi kuwa sawa mwaka Jana. Let's proceed ivoivo hadi gari litakapozimikia ndio hapohapo tutashuka na vidumu kutafuta sheli.tusiogope safari
Na nimuhimu kukumbuka Bila kusahau tumepakiwa kwenye Lorry sio bus na lorry aina viti wala shockasorber alinepi linadunda tuu.na ataa leseni ya dreva Wa lorry ni class E na dreva bus ni Class C ,(public service vehicle) so dereva Wa lorry ana analojua kuhusu huduma kwa abiria .usisahau neno uumba na limtakalo mtu kinywani ndio lililopo moyoni mwake .maana kuna wanao tetea kakosea tuu kutamka anaendesha lorry .
 
Back
Top Bottom