Tanzania revenue forecast too optimistic, could delay projects, says IMF

Tanzania revenue forecast too optimistic, could delay projects, says IMF

Soma report na muache ujinga that US$ 15 bln is within reach and things like mandatory stock listing and royalties from Barrick gold, Petra diamonds and others will plug the gap!
Those royalties from Barricks may cool down to ashes!!talking about"makinikia"?
 
Some other guys in here are not mathematician, even simple maths or is an issue...
Trillion is in this way

1,000,000,000,000.

Owh!
images
 
Tafuta topic nyingine kaka hii haikuhusu. . Lazma ulipe kodi ndani ya nchi ya Magu!
Kwa vipi isinihusu?mimi pia ni mtanzania!na ninalipa kodi stahiki kwenye Nchi hii ambayo si ya magu peke yake! Kuna waliopigania nchi hadi kufa ambao hata huyo magu hawajui! Nchi hii ni yetu sote! Wewe ondoka umwachie magu nchi yake basi!! Hii Ni nchi yangu pia! Ndiyo maana naghadhibika ninapoona mukiinajisi!
 
Hii Serikali inatudanganya sana kwa mfano bajeti ya 2016/2017 tuliambiwa ni 29 trillions lakini zilizotolewa ni 34% tu. Sasa kama bajeti ya 29 trilioni inagomba hiyo ya 32 trillions 2017/2018 itawezekana kweli!?
 
Badilisha hapo jina 'Tanzania' halafu weka 'Kenya' ghafla utawaona akina Mwanzi1 kilam Toyota escudo game over hawatakawia, ila kwa sasa wanapita kimya.
Yani umetu-miss kiasi hichi...duh. Inaonekana Kenya kuna uhaba wa habari za kushtua ulimwengu mpaka mnaaza kudokowa za jirani. Maana waamdishi wakenya wamechangamkia habari moto moto za Tanzania mpaka basi, mara Barrick gold, sujui mimba za watoto wa shule, juzi naona mnaaza na ujenzi wa Stiegler Gorge dam. Karibu Tanzania, UWANJA WA HABARI MOTO MOTO.
 
Back
Top Bottom