Tanzania revenue forecast too optimistic, could delay projects, says IMF

Tanzania revenue forecast too optimistic, could delay projects, says IMF

I see...tutachelewa sana kufika. You want a submarine...you can't buy yourself until so and so talk to the supplier? In Africa that is a recipe for disasters

Bro naona una ulimbukeni kwenye ulimwengu wa wachapa dili, wapo hadi ulaya. Watu wanaozunguka zunguka na mikoba na kuongea ongea sana, wanajua kila aina ya hesabu za serikali na kijeshi. Takwimu zote wapo nazo mikononi, viwanda vyote wanavijua na kila moja wanajua jinsi ya ku-negotiate nao.
Wapo hata Marekani kwenye biashara ya silaha hata mambo ya kinyuklia na mafuta sembuse kwenye viinchi vyetu hivi vya wapasua matofali.
 
Bro naona una ulimbukeni kwenye ulimwengu wa wachapa dili, wapo hadi ulaya. Watu wanaozunguka zunguka na mikoba na kuongea ongea sana, wanajua kila aina ya hesabu za serikali na kijeshi. Takwimu zote wapo nazo mikononi, viwanda vyote wanavijua na kila moja wanajua jinsi ya ku-negotiate nao.
Wapo hata Marekani kwenye biashara ya silaha hata mambo ya kinyuklia na mafuta sembuse kwenye viinchi vyetu hivi vya wapasua matofali.
Ulimbukeni unasaidia sana kuliko kuwa mjuaji asiyejua kama wewe. Unless unafaidika na rushwa.. .na ukabila wenu
 
1.Tanzania has double land size to kenya
2.Tanzania has more pop than Kenya
3.Tanzania has more minerals than Kenya
4.Arable land in Tz is 100% to kenyas30%

So why this
1.Kenya exports more Tea,horticulture, coffee etc than tz
2.Kenya's GDP 75b to Tz 50b
3.Kenya middle class Tz-Ldc
4.Kenya is generally ahead of tz on almost everything
 
Back
Top Bottom