Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Yanga yapata shavu kwa TANAPA kuwa mdhamini wa mashindano ya kimataifa. Baada jezi zao kuonekana kwa maandishi ya " TANZANIA ROYAL TOURS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa TANAPA Wameamua kuwafuata yanga..4 years with visit Tanzania....
Bila bila ......
Inafikirisha sana .....
Safi na hongera kwao.Sasa TANAPA Wameamua kuwafuata yanga..
Kama kweli basi 'mto unaopita Jangwani' wana Gundu, maana mbona wao hawali shavuYanga yapata shavu kwa TANAPA kuwa mdhamini wa mashindano ya kimataifa. Baada jezi zao kuonekana kwa maandishi ya " TANZANIA ROYAL TOURSView attachment 2821770
Amin amin nawaambia, sijui tutaficha wapi nyuso zetu siyeYanga itafanya makubwa sana africa
Yule mwekezaji wao nahisi sio mtu mzuri!, nafikiri anamambo yake ndio maana inakuwa ni kikwazo hata kwa wengine kupenyeza mkono waweke lupia!Kama kweli basi 'mto unaopita Jangwani' wana Gundu, maana mbona wao hawali shavu
Kwenye hayo ma jezi yenu ya ilimradi msikae uchi..🤣Amin amin nawaambia, sijui tutaficha wapi nyuso zetu siye
Hutujui sisi wewe kumbe!!Amin amin nawaambia, sijui tutaficha wapi nyuso zetu siye
Yanga amekua sasaSasa TANAPA Wameamua kuwafuata yanga..
WamejistiriKwenye hayo ma jezi yenu ya ilimradi msikae uchi..🤣
Kaangalie jezi za Yanga anazotumia katika mashindano ya ndani kama huyo HAIER hayupoHayo maandishi ya MAZIMO ndio ma nini? Wale wachina wa HAIER wameshindwana mapema hivi? Du ila mashabiki tunakazi, maandishi yoyote yatakayobandikwa tunanunua
Mashindano ya ndani ni mkataba wa sportpesaKaangalie jezi za Yanga anazotumia katika mashindano ya ndani kama huyo HAIER hayupo
maskin siye, tunafeli wapi lkn?Hutujui sisi wewe kumbe!!
Tutakuja na kakipande ka gazeti ka mwaka 1924 kameandikwa Simba yaigalagaza Yanga 6-1 ndio tutakomaa nako balaaaa
Kwenye hayo ma jezi yenu ya ilimradi msikae uchi..
We jamaa umenichekesha kishenz yaani nusu boda anigonge huku😂😂😂Hutujui sisi wewe kumbe!!
Tutakuja na kakipande ka gazeti ka mwaka 1924 kameandikwa Simba yaigalagaza Yanga 6-1 ndio tutakomaa nako balaaaa
Tuwatakie kheri kwenye mashindano haya ya kimataifaYanga itafanya makubwa sana africa