Tanzania Royal tour" TANAPA yaidhamini yanga kimataifa baada ya kuikana simba na "Visit Tanzania"

Tanzania Royal tour" TANAPA yaidhamini yanga kimataifa baada ya kuikana simba na "Visit Tanzania"

Mnuli za na wenyewe na kujijibu wenyewe... Kwani ukiwa yanga lazima uwe na akili ndogo?
 
Mashindano ya ndani ni mkataba wa sportpesa
Sportpesa ni main sponsor wa Yanga na HAIER bado yupo kwenye orodha ya wadhamini ila sio main sponsor na kwenye jezi ya Yanga ya mashindano ya ndani yupo nyuma ya jezi.
IMG_20231122_203808.jpg
 
Mpira ni biashara siyo Ufahari mkuu!,Huwezi kutangaza "VISIT TANZANIA" wakati huo huingizi hata mia mbovu,huu uzalendo wa kijinga wanapaswa wafanye watoto wa shule ya msingi siyo timu ambazo zinahitaji pesa!
 
Hutujui sisi wewe kumbe!!

Tutakuja na kakipande ka gazeti ka mwaka 1924 kameandikwa Simba yaigalagaza Yanga 6-1 ndio tutakomaa nako balaaaa
Hahahaa! Kwahiyo zile 5 za kina okwi ni changa la macho?
 
Kama kweli basi 'mto unaopita Jangwani' wana Gundu, maana mbona wao hawali shavu
Unashindwa kujiongeza raisi mwenyewe ni yanga unataka simba I shine kipindi chake wakati unaona kabisa raisi anavyojitoa kwenye matukio ya yanga.
 
Unashindwa kujiongeza raisi mwenyewe ni yanga unataka simba I shine kipindi chake wakati unaona kabisa raisi anavyojitoa kwenye matukio ya yanga.
Poor reasoning
 
Back
Top Bottom