Tanzania Safari Channel hacheni kupotosha umma

Tanzania Safari Channel hacheni kupotosha umma

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Nilikuwa Naangalia Makala Ya Utalii Kwenye Tanzania Safari Chanel, Wakawa Wanasimulia Kwamba Mlima Kilimanjaro Umeanzishwa Mwaka 1973. Nikajiuliza Kwani Kabla Ya Mwaka 1973 Hakukuwa Na Mlima Kilimanjaro Mpaka Uanzishwe Mwaka 1973?
images - 2025-03-10T222412.684.jpeg


Kwa Uelewa Wangu Mlima Huu Ulikuwepo Tangu Kuumbwa Kwa Dunia Maana Ni Kazi Ya Mungu Mwenyewe Sasa Huo Mwaka 1973 Umeanzishwa Na Nani?
1741634603246.jpg


Labda Wangetuambia Kwamba Jina La Kilimanjaro Lilianza Kutumika 1973 Lakini Sio Mlima Umeanzishwa Mwaka 1973, Hii Ndio Ile Ya Kusema Ziwa Victoria Limegunduliwa Na Mzungu Wakati Kaja Kawakuta Wasukuma Wanatumia Kwa Shughuli Zao.
 
Sijatazama kipindi husika, lakini nafikiri kwa huo mwaka 1973 walimaanisha kipindi ambacho mlima kilimanjaro ulifanywa rasmi kuwa "hifadhi ya mlima kilimanjaro".
Wangesema hivyo sawa ila kuhusu kuanzishwa kwa Mlima inaleta dhana ya uongo
 
Nilikuwa Naangalia Makala Ya Utalii Kwenye Tanzania Safari Chanel, Wakawa Wanasimulia Kwamba Mlima Kilimanjaro Umeanzishwa Mwaka 1973. Nikajiuliza Kwani Kabla Ya Mwaka 1973 Hakukuwa Na Mlima Kilimanjaro Mpaka Uanzishwe Mwaka 1973?
View attachment 3266126

Kwa Uelewa Wangu Mlima Huu Ulikuwepo Tangu Kuumbwa Kwa Dunia Maana Ni Kazi Ya Mungu Mwenyewe Sasa Huo Mwaka 1973 Umeanzishwa Na Nani?
View attachment 3266127

Labda Wangetuambia Kwamba Jina La Kilimanjaro Lilianza Kutumika 1973 Lakini Sio Mlima Umeanzishwa Mwaka 1973, Hii Ndio Ile Ya Kusema Ziwa Victoria Limegunduliwa Na Mzungu Wakati Kaja Kawakuta Wasukuma Wanatumia Kwa Shughuli Zao.
Tumia akili ni hifadhi ya mlima Kilimanjaro ilianzishwa mwaka 1973
 
Huwezi tumia akili kujua hilo? Una kipande cha video kuthibitisha? Huenda wewe ndio ulisikia vibaya
Kwani hii ni mara ya kwanza?! Kwahiyo kwa mujibu wako wakisema John Hanning Speke ndo mtu wa kwanza kugundua ziwa Nyaza watakuwa sahihi ama!??
 
Nilikuwa Naangalia Makala Ya Utalii Kwenye Tanzania Safari Chanel, Wakawa Wanasimulia Kwamba Mlima Kilimanjaro Umeanzishwa Mwaka 1973. Nikajiuliza Kwani Kabla Ya Mwaka 1973 Hakukuwa Na Mlima Kilimanjaro Mpaka Uanzishwe Mwaka 1973?
View attachment 3266126

Kwa Uelewa Wangu Mlima Huu Ulikuwepo Tangu Kuumbwa Kwa Dunia Maana Ni Kazi Ya Mungu Mwenyewe Sasa Huo Mwaka 1973 Umeanzishwa Na Nani?
View attachment 3266127

Labda Wangetuambia Kwamba Jina La Kilimanjaro Lilianza Kutumika 1973 Lakini Sio Mlima Umeanzishwa Mwaka 1973, Hii Ndio Ile Ya Kusema Ziwa Victoria Limegunduliwa Na Mzungu Wakati Kaja Kawakuta Wasukuma Wanatumia Kwa Shughuli Zao.
ajira za kujuana
 
hv unasoma na kuelewa ? mleta post kaona mlima ww unajibu uifadhi , ww uliona hiyo video mpm ututoe ulingoni
Ndio maana nimechangia, wewe na akili zako ukiambiwa mlima huo ulianzishwa mwaka huo utakubali? You have to be crazy in the first degree to even think mlima unaweza kuanzishwa
 
Kwani hii ni mara ya kwanza?! Kwahiyo kwa mujibu wako wakisema John Hanning Speke ndo mtu wa kwanza kugundua ziwa Nyaza watakuwa sahihi ama!??
Wako sahihi sana. 50 cent mwenyewe alivumbuliwa na Eminem unadhani 50 cent yeye mwenyewe hakuwa anajitambua ama watu waliokiwa naye hawakumuona? Kuwa wa kwanza kutambua potential ya kitu kimkakati, kimaslahi ama kibiashara ndicho inachomaanishwa hapo
 
Nilikuwa Naangalia Makala Ya Utalii Kwenye Tanzania Safari Chanel, Wakawa Wanasimulia Kwamba Mlima Kilimanjaro Umeanzishwa Mwaka 1973. Nikajiuliza Kwani Kabla Ya Mwaka 1973 Hakukuwa Na Mlima Kilimanjaro Mpaka Uanzishwe Mwaka 1973?
View attachment 3266126

Kwa Uelewa Wangu Mlima Huu Ulikuwepo Tangu Kuumbwa Kwa Dunia Maana Ni Kazi Ya Mungu Mwenyewe Sasa Huo Mwaka 1973 Umeanzishwa Na Nani?
View attachment 3266127

Labda Wangetuambia Kwamba Jina La Kilimanjaro Lilianza Kutumika 1973 Lakini Sio Mlima Umeanzishwa Mwaka 1973, Hii Ndio Ile Ya Kusema Ziwa Victoria Limegunduliwa Na Mzungu Wakati Kaja Kawakuta Wasukuma Wanatumia Kwa Shughuli Zao.
Kile kipindi kinaendeshwa na majitu mapumbavu sana. Achana nacho mkuu.
 
Nilikuwa Naangalia Makala Ya Utalii Kwenye Tanzania Safari Chanel, Wakawa Wanasimulia Kwamba Mlima Kilimanjaro Umeanzishwa Mwaka 1973. Nikajiuliza Kwani Kabla Ya Mwaka 1973 Hakukuwa Na Mlima Kilimanjaro Mpaka Uanzishwe Mwaka 1973?
View attachment 3266126

Kwa Uelewa Wangu Mlima Huu Ulikuwepo Tangu Kuumbwa Kwa Dunia Maana Ni Kazi Ya Mungu Mwenyewe Sasa Huo Mwaka 1973 Umeanzishwa Na Nani?
View attachment 3266127

Labda Wangetuambia Kwamba Jina La Kilimanjaro Lilianza Kutumika 1973 Lakini Sio Mlima Umeanzishwa Mwaka 1973, Hii Ndio Ile Ya Kusema Ziwa Victoria Limegunduliwa Na Mzungu Wakati Kaja Kawakuta Wasukuma Wanatumia Kwa Shughuli Zao.
Labda Itakuwa walitaka kumaanisha kwamba, shughuli rasmi za kiutalii Mt Kilimanjaro zilianza huo mwaka
 
Back
Top Bottom