Tanzania second largest producer of RICE in Africa

Tanzania second largest producer of RICE in Africa

Hiyo labourforce umewajumuisha watoto? ambao ni almost 50% ya population?
 
Tanzania currently produces more than 1mn tonnes of rice, which makes it the second largest rice producer in Africa after Madagascar, which produces about 2.5mn tonnes. However, local authorities see growth potential for the country mainly as a result...
Madagascar: total area: 587,041 sq km (land: 581,540 sq km & water: 5,501 sq km )
with the population of 22,599,098 (July 2013 est.)
Tanzania: total: 947,300 sq km (land: 885,800 sq km & water: 61,500 sq km )
Population 48,261,942 (July 2013 est.)
Ivi kwa nini hatunaga wivu wa maendeleo hawa jamaa tumewazidi idadi ya watu(implies huge labour force) na ata ukubwa wa ardhi tumeashinda yet wanatuongoza kwenye uzalishaji wa mpunga.
I know with government intervention kwenye kilimo cha zao hili kwa kuwawezesha wakulima wa kamsamba,shinyanga,kyela,mahenge,mbalali etc

Kama hiyo ndo factor basi wa kwanza angakua Nigeria akifuatiwa na Misri sisi hata tano bora tusingekuwemo.
 
Niwe mgeni au mwenyeji niwe nje au ndani ya inchi Tanzania deserves to be the first producer given the land and the labour force we have.
Tanzania inastahili kupata 50%ya pato la madini badala ya 3% kustahili kwaweza kuwa na maana nyingi teh teh teh.
 
Tanzania currently produces more than 1mn tonnes of rice, which makes it the second largest rice producer in Africa after Madagascar, which produces about 2.5mn tonnes. However, local authorities see growth potential for the country mainly as a result...
Madagascar: total area: 587,041 sq km (land: 581,540 sq km & water: 5,501 sq km )
with the population of 22,599,098 (July 2013 est.)
Tanzania: total: 947,300 sq km (land: 885,800 sq km & water: 61,500 sq km )
Population 48,261,942 (July 2013 est.)
Ivi kwa nini hatunaga wivu wa maendeleo hawa jamaa tumewazidi idadi ya watu(implies huge labour force) na ata ukubwa wa ardhi tumeashinda yet wanatuongoza kwenye uzalishaji wa mpunga.
I know with government intervention kwenye kilimo cha zao hili kwa kuwawezesha wakulima wa kamsamba,shinyanga,kyela,mahenge,mbalali etc
hakuna cha kujisifu wala nini? wapili katika kundi la wavivu Africa...!
 
Hiyo labourforce umewajumuisha watoto? ambao ni almost 50% ya population?

15-24 years: 19.4% (male 4,689,483/female 4,694,663)
25-54 years: 29.3% (male 7,095,382/female 7,060,506)ni hesabu ndogo tuu za plus na minus
 
Kama hiyo ndo factor basi wa kwanza angakua Nigeria akifuatiwa na Misri sisi hata tano bora tusingekuwemo.
Issue apa ni ardhi kama bonde la Kilombero(acha kyela Mbalali Kamsamba) if well utilised laweza Lisha Africa sasa kama Nigeria na Egypt wana mabonde suitable for ricefarming educate me on that
 
mh hiyo rice inalimwa wapi? Maana juzi tu hapa serikali imeagiza au kuruhusu wafanyabiashara kuagiza mchele toka nje. Naona km kuna walakini hapo

Unakuwa kama huijui serikali yako wao huagiza kila kitu ili mradi wakubwa wana % zao.Tuna cement ya kutosha bado wanaagiza ya toka Pakistan,tuna mpunga wa toka magharani wa mwaka jana bado wanaleta wa Pakistani ila hukuti wameleta Sukari bse wakubwa wana hisa kwenye ivyo viwanda same to DSTV ukuti bei imeshuka ni kupanda tuu daily ili wazee waendelee faidika
 
Naona taarifa hii kwamba Tanzania ni nchi ya pili Africa kuzalisha mpunga mwingi ni mpya imetoa jikoni leo, labda ni nchi ya pili kwa zile zilizoko kusini mwa Ikweta. Nashangaa ni lini Tanzania tumevuka nafasi yetu ya nne na kuwapita Misri na Nigeria!? Siku hizi ubishi sipendi maana lolote linawezekana ninachoomba ni source ya hizi taarifa! Hatuna jeuri ya kuwapita Misri na Nigeria kwa muda huu! Msilete siasa kwenye facts! Watanzania ndani ya nchi huwa tunajifagilia sana na kupandishana chat sana kwamba mambo ni mazuri sana lakini ukishaenda kwenye level ya kimataifa ndiyo utagundua jinsi tulivyo nyuma kwenye mambo mengi tu ikiwamo kilimo, asikudanganye mtu! Subirini Kenya wanajipanga na serikali ya Jubilei muone kama tutawauzia mpunga tena, tutaishia kuhesabu mito, maziwa na mabonde tuliyonayo tumesahau tatizo letu kubwa ni quality of human resource!!
wewe pia umepinga lakini hujatuwekea hiyo source yako?
 
Sio swala la kuridhika au kutokuridhika, ni swala la kwanza kutambua jitihada za watu wengine na kuwapa hongera pale wanapojitahidi halafu mapendekezo ndiyo yanafwata baadae, kwangu mimi kama hiyo Habari ni ya kweli basi nasema HONGERA KWETU tena sana tu, kwani kuwa wa 2 (kama ni kweli) ktk Bara lenye watu bilioni 1 na sisi tuko chini ya milioni 44, tunastahili pongezi kwanza, halafu baadaye ndio kuanza kuangalia kwa nini tusiwe wa 1

Tz bwana tulivyozoea UDAKU ata issue serious unahisi imekaa kiudaku in fact its a semina niko invited kuhudhulia:The fate of Rice farming In Africa.Bse mimi ni mdau kwenye sector ya Kilimo.Think big make use of the internet upate maarifa na ufahamu wa vitu vingi.
 
Kuna kale ka nchi wapo watu 500,000 waliingia AFCAN, sisi 48,000,000 hakuna kitu.pamoja na kuwa wa 2 bado tuna import mchele toka thailand,na mafuta ya kula toka malaysia
Huu ni upuuzi wakati unaweza endeleza kilimo cha ALIZETI maeneo wanayolima kama SINGIDA IRINGA
Tena unawaokoa WATZ na cholestrol
 
Mimi nilifikiri ungeanza angalau kwa kusifu badala ya kulaumu tu kila siku, Kutokana na maelezo yako sisi ni wa Pili ktk Bara la Afrika, hauoni kama tumejitahidi sana, sisi tuko chini ya watu milioni 44 na niwa pili Afrika kwa kulima Mpunga, huuu Hongera zetu!


Hongera ya nini wakati bado tunaagiza second class mchele kutoka Thailand? huo usecond position ni hesabu tu hauna maana yoyote.
 
Tanzania currently produces more than 1mn tonnes of rice, which makes it the second largest rice producer in Africa after Madagascar, which produces about 2.5mn tonnes. However, local authorities see growth potential for the country mainly as a result...
Madagascar: total area: 587,041 sq km (land: 581,540 sq km & water: 5,501 sq km )
with the population of 22,599,098 (July 2013 est.)
Tanzania: total: 947,300 sq km (land: 885,800 sq km & water: 61,500 sq km )
Population 48,261,942 (July 2013 est.)
Ivi kwa nini hatunaga wivu wa maendeleo hawa jamaa tumewazidi idadi ya watu(implies huge labour force) na ata ukubwa wa ardhi tumeashinda yet wanatuongoza kwenye uzalishaji wa mpunga.
I know with government intervention kwenye kilimo cha zao hili kwa kuwawezesha wakulima wa kamsamba,shinyanga,kyela,mahenge,mbalali etc


Ukiwa na serikali makini, anything inawezekana ila kwa utawala huu, sijuwi!
 
Nimekubali mkuu lakini tukijaribu kwenda mbele zaidi kulinganisha na population ya nigeria ya 162+m...vs 44m ya tz...tunaona relative to population bado tz inazalisha zaidi ya Nigeria.

ratios za kawaida tu TZ 1/44m = 0.023
NG 2.8/162M = 0.017.

Kwa context hiyo Tz inazalisha zaidi ya Nigeria....Wasalaam

Kwa staili yako unaweza kukuta tunaongoza dunia nzima maana population ya China, Japan, US, ni kubwa kwa mbali sana kuliko sisi! Kwa context hiyo nadhani Tanzania inaongoza dunia nzima!!! Ha ha haaa
 
Mtu unaweza kuwa wa kwanza wa tiro, sasa hapo ndio pa kujisifia?

Hadi siku tutapozalisha mpunga wa kutosha kukidhi hitaji la ndani, sijaona cha kupongezana bado
 
Back
Top Bottom