mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Waliochoka na vitimbi vya Magoofoori.Wanakandarasi ndo kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliochoka na vitimbi vya Magoofoori.Wanakandarasi ndo kitu gani?
Hapana wako kwako wanatengeneza bibi yako akifikiria ni wazungu.Walitoroka wakaja kwako
Boya wewe, kila siku unalialia kuhusu kutoroka! Usiongee usicho kijua unakua kama kikaragosiHapana wako kwako wanatengeneza bibi yako akifikiria ni wazungu.
Umia pole pole blame it on jiwe aka magoofoori 😀😀😀Boya wewe, kila siku unalialia kuhusu kutoroka! Usiongee usicho kijua unakua kama kikaragosi
Kaka WENGI wanaoliolpwa hiyo fidia ni sehem ya mshamba na wala sio makazi wanayoish ukifuatilia vipind vya trc reli TV utaona wengne wanamaeneo tu ya milima na Sana Sana ni chakula cha kujikimu tu na sio makazi Maana Hata Hyo reli imepita mbali na makaz ya watu huko sio dar NA Kwa dar ka unavyojua Weng wamevunjiwa bure KABISA maana wao NDIO wamefuata reliWatu 2000 wagawiwe USD 18Mln, ambapo kila mtu atapewa kama milioni 20Tzs. Uhamishwe sehemu ambayo labda ndo uliyozaliwa au uliyokulia, usumbufu utakao upata wewe na familia yako kuanza tena Maisha sehemu nyingine unapewa M20!! Serikali kweli mnawapenda Wanyonge.