Tanzania sets aside 18 mln USD for SGR compensation

Tanzania sets aside 18 mln USD for SGR compensation

"Compensation" !! That vocabulary does not exist in our dictionary
 
Ujenzi ulisimama

Videos can always be edited but not pictures...pelekea wadanganyika those CCM propaganda videos wakenya sio washamba kiasi hicho. Bure kabisa tena sana meffi ya kuku.
 
Mwenye Enzi Mungu Tuongoze milele yote!
 
Tanzanian are well educated in railway sector in the regional
 
Watu 2000 wagawiwe USD 18Mln, ambapo kila mtu atapewa kama milioni 20Tzs. Uhamishwe sehemu ambayo labda ndo uliyozaliwa au uliyokulia, usumbufu utakao upata wewe na familia yako kuanza tena Maisha sehemu nyingine unapewa M20!! Serikali kweli mnawapenda Wanyonge.
Kaka WENGI wanaoliolpwa hiyo fidia ni sehem ya mshamba na wala sio makazi wanayoish ukifuatilia vipind vya trc reli TV utaona wengne wanamaeneo tu ya milima na Sana Sana ni chakula cha kujikimu tu na sio makazi Maana Hata Hyo reli imepita mbali na makaz ya watu huko sio dar NA Kwa dar ka unavyojua Weng wamevunjiwa bure KABISA maana wao NDIO wamefuata reli
 
Back
Top Bottom