Waliochoka na vitimbi vya Magoofoori.Wanakandarasi ndo kitu gani?
Hapana wako kwako wanatengeneza bibi yako akifikiria ni wazungu.Walitoroka wakaja kwako
Boya wewe, kila siku unalialia kuhusu kutoroka! Usiongee usicho kijua unakua kama kikaragosiHapana wako kwako wanatengeneza bibi yako akifikiria ni wazungu.
Umia pole pole blame it on jiwe aka magoofoori πππBoya wewe, kila siku unalialia kuhusu kutoroka! Usiongee usicho kijua unakua kama kikaragosi
Videos can always be edited but not pictures...pelekea wadanganyika those CCM propaganda videos wakenya sio washamba kiasi hicho. Bure kabisa tena sana meffi ya kuku.
Kaka WENGI wanaoliolpwa hiyo fidia ni sehem ya mshamba na wala sio makazi wanayoish ukifuatilia vipind vya trc reli TV utaona wengne wanamaeneo tu ya milima na Sana Sana ni chakula cha kujikimu tu na sio makazi Maana Hata Hyo reli imepita mbali na makaz ya watu huko sio dar NA Kwa dar ka unavyojua Weng wamevunjiwa bure KABISA maana wao NDIO wamefuata reliWatu 2000 wagawiwe USD 18Mln, ambapo kila mtu atapewa kama milioni 20Tzs. Uhamishwe sehemu ambayo labda ndo uliyozaliwa au uliyokulia, usumbufu utakao upata wewe na familia yako kuanza tena Maisha sehemu nyingine unapewa M20!! Serikali kweli mnawapenda Wanyonge.