Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

The problem you are not knowledgeable on the matata, only 30% of discovery can be siphoned from the ground, so for Kenya only expect 300barrels, too little for current price
Please go read ....somewea else ujielimishe kuwa wali discover 1.2bn total recoveable ni 700mn barrels

Hata kama ni 300mn that is 15bn$
 
You need to urgently visit a psychiatrist!
 
Please go read ....somewea else ujielimishe kuwa wali discover 1.2bn total recoveable ni 700mn barrels

Hata kama ni 300mn that is 15bn$
Ukitoa gharama zote utakuta faida ni $5-7B, hakuna kampuni kubwa la mafuta litakaloangaika na pesa hiyo, bora muachie wananchi wa Turkana wachimbe kwa kutumia sululu
 
Are you buying bombadiers in 2017
And advertising buildings with lifts in Mbeya?
Kuna mazingumzo yanayoendelea na wawakilishi wa Barick kuhusu wizi waliofanya, leo yanaingia siku ya 71 wapo hapa Dar, tunategemea kulipwa sio chini ya $100B, ninajua utasikia uchungu sana, na hutoamini kama titapata hiyo pesa, lakini deligation ya watu 24 wapo hapa kwa siku 70, hiyo inaonyesha dalili nzuri kwa Tanzania
 
Are you buying bombadiers in 2017
And advertising buildings with lifts in Mbeya?
Tumeshalipia Bombadier 3 cash, CS 300 tumelipia 2 Cash, na tumelipia, Boing 787 driem liner cash. Tukilipwa pesa zetu na Barick, tunajenga Bomba la gesi tunasambaza nchi nzima kwa matumizi ya viwandani na majumbani, na tunapeleka gas Uganda, Museven ameomba
 
Ukitoa gharama zote utakuta faida ni $5-7B, hakuna kampuni kubwa la mafuta litakaloangaika na pesa hiyo, bora muachie wananchi wa Turkana wachimbe kwa kutumia sululu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wananchi wa Turkana wajipimie kwa sululu.. hahaaa. Ths is a good one
 
Hayo yote sawa. Swali ni kulingana na wewe design speed ya kenya ni ngapi... ?
Manake Ethiopia iko ma minimum curvature ndogo zaidi Kuliko kenya na yao ni average of 160km/hr
 
Sammuel999 uko speed sana buddy,Ni vigumu mm kuelewa kila unachoandika hapa...nenda taratibu tujifunze wote
Ulizungumzia kuhusu mafunzo shule za kenya if you dont mind mention a sec school pupil curriculums, najua mnasoma miaka 4 atleast ebu taja masomo gani mnasoma
 
Phase one 30 hectares, na phase 2 watakua 60hectares...hapo tutakua tulishafika 2020, unafikiri ni lini mtafika 500, 2030????
Hivi bado mjajua phases kwa TZ inakuaje! By now kinacho endelea kwenye SGR yetu mlibidi muwe mmejifunza. Ninge waona wa maana mngeanzisha uzi mkituomba tuwashauri how things are happening uku siyo kuja mkitetea projects zenu zilizo kua inflated. Sasa hyo break down ya miaka kuhusu Ruvu ni yako. I think umejichanganya na Lapstock [emoji1] ya Lamu. Sasa naomba utuletee Hizo ICD zenu ulizo jitamba kuwa ni kubwa kuliko za TZ. Tukianza na hiyo ya Kisumu. Toka nikuombe link masaa zaidi ya 6 yamepita [emoji1]
 
Hiyo icd yenu iko kando na project ya SGR, inatolewa pesa kivyake, unlike our icds zimechanganywa ndani ya hiyo tender ya sgr...
Eti 'hivi bado hamjajua phases kwa Tz inakuaje' haha my foot. Pale mtaanza kujenga Moro-Dodoma uje uniamshe.

by now unafaa ujue tofauti kati ya kutia sign kandarasi na actual construction
 
Aawapi pumbavu wewe gharama za SGR Kenya ni tofauti na ICD! Kila project inajitegemea financial
 
Please go read ....somewea else ujielimishe kuwa wali discover 1.2bn total recoveable ni 700mn barrels

Hata kama ni 300mn that is 15bn$
Hahah ati? Unajua maana ya recovable oil? Kenya proven reserves are 600 mln barrels of which less than 300 mln r recovable. End of the story! [emoji115] [emoji23]
 

Kumbe haufahamu Train za Tazara ni za kiwango gani?, we unafikiri ni kama za Mjerumani za rail ya kati?, Tazara na standard ya rail yenu, Madaraja, na hata engine ni almost sawa tu,
Angalia engine za Tazara za 60s alafu tofautisha na mlizoletewa
 
Hahah ati? Unajua maana ya recovable oil? Kenya proven reserves are 600 mln barrels of which less than 300 mln r recovable. End of the story! [emoji115] [emoji23]
Relevancy yako hii section ilienda na fastjet!!...pia wewe kaa korna yako
 
High school
Compulsory subjects
English
:
Kuna written English
Kuna Set book i did River between and a norwegian book.
Kiswahili
Written Swahili paper 1
Fasihi na Isimu jamii Paper 2
Setbook: Nlifanya Utengano na Nimesahau hyo ingine jina Paper 3
Mathematics paper 1 and 2 :
cant remember kama ilikuwa section same yote
Chemistry
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks
in our school it was compulsory identifying chemicals and acids by hiw the react to different substances

Biology
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks
in our school it was compulsory dissecting plants, how to use a micro scope, identifying plant and animal species

Physics
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks
in our school it wasn't compulsory

Geography
paper 1
Paper 2



History
paper 1 -about Kenya,government and Africa
Paper 2 about world wars etc


I did history and lengad geog!
Did CRE Nkaachana na phyic


CRE and or Islamic Education
paper 1
Paper 2
in our school it wasnt compulsory

Agriculture
paper 1
Paper 2
Practicals at the laboratory 30marks
in our school it wasnt compulsory planting crops and getting marks by stages of growth


Business studies
paper 1
Paper 2
in our school it was compulsory


Computer studies
paper 1
Paper 2 practical at the COMPUTER LAB
in our school it wasnt compulsory


Music
paper 1
Paper 2 singing Practicals or using those instruments
in our school it wasnt compulsory


Home science
paper 1
Paper 2 Cooking pracs
in our school it wasnt compulsory



Power Mechanics
paper 1
Paper 2: Studying a car Engine and Tractor practicals Fixing tractors mostly People who do Engineering in University do this subject!
in our school it wasnt compulsory


Electricity
paper 1
Paper 2 Circuit Practicals on electricity for people who will do engineering
in our school it wasnt compulsory

Woodwork
paper 1
Paper 2 kufanya kazi ya useremala
in our school it wasnt compulsory
I have a feeling nimesahau zingine its been a while since i finishes almost two decades

Anyway pia our school was a co- curriculum power house
The following clubs reached Nationals and some International
Europe or EAC or SA

DRAMA CLUB KAKAMEGA HIGH SCHOOL WON GOLD 2002-2004,2006 2008-2010
MUSIC CLUB WON GOLD 3 TIMES
RUGBY
7s aside Gold Kenya 17 times National
(Kenya National Rugby team 7s and 15s has 38members from Kakamega highschool)
3 times EAC games and 1s Europe games
15s rugby we have won 12 times

Hockey we have participated in all Nationals Never won

Football
Yall know
Green comandoes GC
Won National football since 1992-2012
Participated and won several EAC games and SA games

Tennis and other indoor games provincials

Handball, Volley ball, Basketball all Nationals when i was there

Red cross
St.Johns
Scout
Math club
Phyc club
Comp club
SDA
etc

KAKAMEGA African HIGH SCHOOL WAS FOUNDED IN 1915 by Chapman
Started taking Africans in 1932

Notable Alumni
Kenneth marende speaker National assembly
Najib Balala ministry of tourism

Wycliffe Oparanya Governor kakamega

Dennis Oliech

Also Amina Mohamed CS family lives next to the school She was born in Kakamega

anyway poleni kwa kuweka maneno machache bout katch but ya gatsa know am proud of me school!!
 
Nafurahi umeenda ku google. Now some how uko informed kuhusu ICD's za Tz, naona umekua mpole ume shift kutoka ICD za TZ kuwa ndogo sasa hivi unasema za TZ hazipo kwenye SGR [emoji1] . Ssa kuhusu Moro-Dom ujenzi una anza next month, take it or leave it. Vipi kuhusu KISUMU google bado haija kupa majibu unayo yataka [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…