Naxvegas254
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 542
- 316
Where are your bridges bro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where are your bridges bro?
Where are your bridges bro?
The Bridge .
![]()
![]()
Sent from my iPhone using JamiiForums
For more let Tanasha Donna explains to u!
7.4 km of separate sections counted as one!Biggest tunnel is 1.4 km 😁😁 hapa Kenya Ni 7km but anyway congrats boy for having one.
Biggest tunnel is 1.4 km [emoji16][emoji16] hapa Kenya Ni 7km but anyway congrats boy for having one.
Hakuna tunnel yoyote yenye urefu wa 7Km kusini mwa Sahara, huo ni uongo wa wakenya kama kawaida yao, hao wameunganisha tunnels nyingi. Hapa kwetu zipo NNE, the longest ndio hiyo 1.2Km, ukiziunganisha zote nne zinaweza fika 5Km.Ishu ni function yake, huwezi kujenga tunnel for the sake ya kujenga tu. Mchina anawajua akili zenu ndiyo maana amewajengea mivituo ya ajabu ili kuwapumbaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
At 4.5 km long the tunnel is longer than than any dual carriageway in Tanzania 😁7.4 km of separate sections counted as one!
Hvi ni wewe au macho yangu I wish kadoda angekuwepo hapa😂😂😂😂😂😂kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...🙁🙁🙁sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.🙁🙁🙁 yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...🙁🙁🙁 kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Longest in Kenya Ni 4.5km low IQ Bonobo 😁Hakuna tunnel yoyote yenye urefu wa 7Km kusini mwa Sahara, huo ni uongo wa wakenya kama kawaida yao, hao wameunganisha tunnels nyingi. Hapa kwetu zipo NNE, the longest ndio hiyo 1.2Km, ukiziunganisha zote nne zinaweza fika 5Km.
Sent using Jamii Forums mobile app
Evidence? BTW that 4.5 km u claim is nearly 3 km less from 7.4km! That means if 7.4km was for all the tunnels in ur SGR then TAZARA with a combined 22 tunnels will be way longer compared to SGR Kenya.Longest in Kenya Ni 4.5km low IQ Bonobo 😁
Show us any tunnel with 4.5Km long in KenyaAt 4.5 km long the tunnel is longer than than any dual carriageway in Tanzania [emoji16]
We are not competing but clearly you guys are always on a losing streak when you try to outdo Kenya.Evidence? BTW that 4.5 km u claim is nearly 3 km less from 7.4km! That means if 7.4km was for all the tunnels in ur SGR then TAZARA with a combined 22 tunnels will be way longer compared to SGR Kenya.
Na niliwah kusikia waziri akisema from morogoro to dodoma train utaenda speed mpaka zaidi 200km per hrKuhusu speed ya train, soma vizuri maelezo yangu acha kujifanya hujaelewa, nilisema kwenye train muhimu ni reli yenyewe design yake kama itaweza kuruhusu huo wendo, hata kama locomotives zinauwezo mkubwa wa kukimbia speed kali, ninadhani ulielewa vizuri ila unataka kusumbua akili yangu, hivi Tanzania ikiamua kununua locomotives zenye uwezo wa 300km/hr, na imeandikwa hivyo, utaamini kwamba hiyo ndiyo speed itakayosafiri?
muhimu ni design ya railway, how closer curvatures are, what is average radius of the curves, what is inclinations and slopes, ndivyo vitu vinavyo determine speed ya train, hata gari la kawaida hivi vinaueika sana, sema gari utaongezea mashimo, matope, mchanga, mawe na hali ya tairi za gari
For more let Tanasha Donna explains to u!
Aisee umekufa kiume siamini ujue 😂😂😂 sijui kadoda yuko wapi walau na yeye alipambana sana tusisahau mchango wakeyaani nimeumia sana ndugu kuona treni hizi za kisasa wakati zetu zinatuchosha kwa kelele na moshi....ina maana Kenya imekosa umeme wa kutosha? apana...hii itakua ni wizi mkubwa ulitendeka kule kati ya serikali na wachina...haiwezekani reli yetu ikawa ndio bei ghali ila nje ya stesheni, hamna jambo la maana...bridges ni za kawaida sana ila ona tu za wenzetu...duh! tuliibiwa...
Anafanya pia jambo kubwa kwa phase za kwanza kutumia pesa za ndani ili iwe rahisi kurudisha pesa na kwanza kujiendesha kabla treni na reli hazijaanza kuchoka 🤗🤗🤗🤗🤗Dah kwa kweli Vivaa Magufuli leo nimeshangaa kumbe mpaka hii phase two ya Moro to Dom financier ni serikali Dah well done president ni kweli tunapaa ila kwa zijazo Nashauri tutafute soft loans.
Na pia afahamu hata hio moro to dom gharama zimekua kubwa kwasababu ya kukwepa mto mkondoa amabao ni korofi sanaKwanini usifanye wewe unataka nikufanyie mimi, ninachojua ni kwamba wastani wa nusu ya reli imegharimu $3.1B, kwa hesabu za haraka nusu iliyobaki itatumia kiasi hicho hicho, kumbuka Dar, reli itapita juu ili ipishane na watu na Magari zaidi ya urefu wa Kilometa moja na nusu, hivyo kipande cha Dar hadi Dodoma kuwa ghali zaidi kuliko Dodoma Mwanza
Hapana bro bado wasafiri ni wengi sana na usisahau pia watu wanaongezeka kila leosipati picha reli ikianza kunyanyulia apa Dar,nadhani itakuwa raha sana,ila mkuu project ya Dar-Moro ilikamilika watu wa mabasi si watafilizika