ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sio lazima mamviSasa Mkuu huyo mamvi mbona kaiba sana ww bado haujamchoka?
Tatizo wewe hufuatilii mambo umebaki kubisha tu, sasa hayo mapesa yote yaliyotumika kufanya utafiti hadi kugunduliwa hiyo gasi huko kusini kuanzia miaka ya 1970 hadi leo unajua ni kiasi gani na nani alitoa?, Uganda unadhani waligundua lini mafuta yao, karibu miaka kumi iliyopita, ndiyo wanaanza kuchimba mwakani, huu ni mradi mkubwa unaofanywa na makampuni makubwa, nchi inatoa ardhi tu, pia miradi mikubwa kama hii inachukua muda mrefu hadi kuanza kazi, ikimaanisha hadi gasi ianze kutoka, ila nchi inaanza kufaidika kuanzia siku ya kwanza ya ujenzi kwa wananchi kupata ajira, naserikali kupata kodi mbalimbali.
Hahaha kumbe hata nyie mliliona hili, ni kweli kabisa Habari za Kenya kubadili treni zao kua za umeme ni baada ya Tanzania kuanza ujenzi ndio wanasiasa wa kenya wakawatuliza wananchi kwa ahadi hewa cha kushangaza wao wameamini hii danganya totoHilo lilijulikana Mkuu wao mpango wao ulikuwa wa treni za makaa ya mawe na diesel hiyo umeme ni mihemko baada ya kuona kwetu,nilichokiona ni roho za kichawi kuwajaa kila zuri kutaka na kuiga.
Wewe kweli ni tabularasa eti wafadhili, nenda katoe ujinga kichwani kwako kuhusu hii project ndio uje hapa sababu hata hujui kinachoendelea or otherwise rudi jukwaa la mapenzi sababu ndio unalimuduInawezakana ikawa ni kusadikika manaake kufanya clearance ya maeneo sio kwamba ndio kuanza kutandaza rails & its components.
What if wafadhili wakizingua mradi unaweza ukaishia hewani tukabaki tume~clear maeneo tu.
Mradi wa mji mpya pale kigamboni umefikia wapi kwa mfano wakati utekelezaji ulikuwa umekwisha anza?
Aisee ume-mention point muhimu sana hiyo ya uendeshaji wa reli navyomjua Mchina aliyekabidhiwa lazma atake kurudisha fedha zake. Kuifanya ya umeme si kipaumbele maana zitahitajika si chini ya $2 bln plus new electrical run locomotives na kubadilisha diesel-run (combustible) to electrical-run (electromagnetic) si rahisi hivyo. Kwa maana hiyo kama another $300 mln to $500 mln for locomotives of electromagnetic run engines.Wala hakuna kuweka umeme wala nini, unajua serikali ya Kenya iko very poor in planning, hawakuwa kabisa wakifikiria umeme, kwa sababu hakukuwa na sababu yoyote ya kujenga reli ya diesel wakati walikua na uwezo wa kujenga ya umeme moja kwa moja, na kama sababu yao ni kwamba hakuna umeme wa kutosha, jambo ambalo sio kweli, wangejenga lakini wakatumia hizo locomotive za diesel lakini miuondombinu ya umeme tayari ipo, hatahuku Tanzania, tutakuwa na uwezo wa kutumia diesel engine katika reli hiyohiyo ya umeme.
Waliposikia Tanzania inajenga ya umeme kwanza walibisha, baadae walipoona ni kweli, wananchi wengi wa Kenya wakaanza kuisakama serikali yao, ndipo pale ili kuwatuliza wananchi wakawaambia msiwe na wasiwasi tutaweka umeme msijali, sio rahisi kuanza tena kununua locomotives wakati sasa hivi wamenunua locomotive nyingi za diesel, pili wachina wanaendesha reli ya Kenya kwa kipindi cha miaka kadhaa, mchina hawezi kuingia tena gharama ya kuweka umeme wakati lengo lake ni kutengeneza faida haraka
Mradi wa Kenya sio wa kusadikika na wala sikusema hivyo rudia kusoma vizuri nilichoandika.kwa hiyo hata ile ya kenya , Nairobi to naivasha then Kisumu ni ya kusadikika kwa vile hawajaanza kutandaza reli?
mradi wa tz unafadhiliwa na serikali ya Tanzania, siku tunazindua tutasema tunawashukuru wananchi wa Jamhuri ya Tanzania, na sio wananchi wa Jamhuri ya china.
Mradi unafadhiliwa na serikali ya Uturuki baada ya wachina kuzingua. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza mkuu.Wewe kweli ni tabularasa eti wafadhili, nenda katoe ujinga kichwani kwako kuhusu hii project ndio uje hapa sababu hata hujui kinachoendelea or otherwise rudi jukwaa la mapenzi sababu ndio unalimudu
Kweli kabisa uliyosema, mimi huwa ninakaa na kufikiria sana nini kinakuja kutokea mbeleni, Magufuli sio diplomatic person neither a politician, yeye ni mtendaji with very solid face, kama viongozi wa Kenya hawatastuka na kutafuta njia ya kufanya kazi na yeye kwa ufasaha, uchumi wa Kenya anaweza kuuweka kwenye very tight angle, Tanzania geographically imependelewa na Mungu zaidi Kenya, kwa sababu ukiacha Uganda, nchi zingine zote zilizopakana na Kenya ni useless, hiyo Ethiopia hata sijui siasa zake za uchumi zikoje, Kenya inaitegemea sana Uganda kuitumia Bandari ya Mombasa, kitendo cha serikali ya Tanzania kuamua kuijenga reli ya Uganda toka Port Belly hadi Kampala, ni wazi kwamba ushindani utakuwa wa hali ya juu sana, sasa kama Uganda ambayo ni tegemeo pekee kwa bandari ya Mombasa lakini Magufuli bila aibu ameamua kufanya hivyo, huku ananyenyua viwanda kama uyoga, anadhibiti madini na mazao kutoka nje ya nchi kiholela, utalii anataka wasipitie tena JKIA, hivi hali itakuwaje?. Akiamua kulitenga soko la SADC ili Kenya isiweze kulifikia kiurahisi kwa sababu bidhaa nyingi za Kenya zinatumia barabara kwenda Zambia, Malawi na Zimbabwe, uchumi wa Kenya utayumba sana.Aisee ume-mention point muhimu sana hiyo ya uendeshaji wa reli navyomjua Mchina aliyekabidhiwa lazma atake kurudisha fedha zake. Kuifanya ya umeme si kipaumbele maana zitaitajika si chini ya $2 bln plus new electrical run locomotives kubadilisha diesel-run (combustible) to electrical-run (electromagnetic) si rahisi hivyo. Kwa maana hiyo kama another $300 mln to $500 mln for locomotives of electromagnetic run engines.
Siku zote nawaita hawa jamaa wazee wa kukurupuka! Hupenda kutuita wazembe ila pipeline timewanyang'anya na biashara ya usafirishaji wa reli kwenda Uganda tunawanyang'anya Rwanda, Burundi na DRC tayari wako mfukoni. Navyowaona wao ni Wazembe wa kufikiri ila mabingwa wa kukurupuka.
<br />CC: <br /><b><b>nomasana</b>, <b><b><b>sam999</b>, <b>NairobiWalker</b>, <b>hbuyosh</b>, <b>msemakweli, <b>simplemind, <b>Kimweri, <b>Bulldog, <b>MK254, <b>Kafrican, <b><b>Ngongo, <b>Ab_Titchaz, <b>mtanganyika mpya, <b>JokaKuu, <b>Ngongo</b>, <b>Askari Kanzu, <b>Dhuks, <b>Yule-Msee</b>, <b>waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo</b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b></b>, <b>Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11</b>
Wengi unaowaona wakitetea huu mradi belongs to house of Mumbi! We chunguza 99%! Halafu utaniambia, ni fikra za ukabila mwanzo mwisho!!Kweli kabisa uliyosema, mimi huwa ninakaa na kufikiria sana nini kinakuja kutokea mbeleni, Magufuli sio diplomatic person neither a politician, yeye ni mtendaji with very solid face, kama viongozi wa Kenya hawatastuka na kutafuta njia ya kufanya kazi na yeye kwa ufasaha, uchumi wa Kenya anaweza kuuweka kwenye very tight angle, Tanzania geographically imependelewa na Mungu zaidi Kenya, kwa sababu ukiacha Uganda, nchi zingine zote zilizopakana na Kenya ni useless, hiyo Ethiopia hata sijui siasa zake za uchumi zikoje, Kenya inaitegemea sana Uganda kuitumia Bandari ya Mombasa, kitendo cha serikali ya Tanzania kuamua kuijenga reli ya Uganda toka Port Belly hadi Kampala, ni wazi kwamba ushindani utakuwa wa hali ya juu sana, sasa kama Uganda ambayo ni tegemeo pekee kwa bandari ya Mombasa lakini Magufuli bila aibu ameamua kufanya hivyo, huku ananyenyua viwanda kama uyoga, anadhibiti madini na mazao kutoka nje ya nchi kiholela, utalii anataka wasipitie tena JKIA, hivi hali itakuwaje?. Akiamua kulitenga soko la SADC ili Kenya isiweze kulifikia kiurahisi kwa sababu bidhaa nyingi za Kenya zinatumia barabara kwenda Zambia, Malawi na Zimbabwe, uchumi wa Kenya utayumba sana.
bado hawaamini kwamba tunaweza jenga reli km 600 kwa pesa zetu, wao hata km 1 wameshindwa, kwa hiyo miaka mchina atayokuwa ana-operate reli ya kenya hataruhusu ushindani mwingine mpaka pesa yake irudi, wakati sisi kwetu makampuni yenye uwezo yanaruhusiwa kufanya biashara kwenye reli yetu. Na hata ikitokea ufadhili sehemu zilizobaki sidhani kama magufuli ataruhusu upuuzi huu wa kumpa mtu/kampuni ili kurudisha fedha zake.Em nipe link au leta article huku kuonesha huo ufadhili wa Turkey kwenye SGR ya Tanzania.
Engine hutofautishwa na vitu kama HP,traction, torque na wala sio mapichaKumbe haufahamu Train za Tazara ni za kiwango gani?, we unafikiri ni kama za Mjerumani za rail ya kati?, Tazara na standard ya rail yenu, Madaraja, na hata engine ni almost sawa tu,
Angalia engine za Tazara za 60s alafu tofautisha na mlizoletewa
View attachment 602669
Kutofautisha ICD za kenya na Tz ilikua nalenga kuongelea kuhusu tofauti ya bei za reli zetu, yaani moja wepo ya sababu ya kenya sgr kugarimu ni kwamba hata hizo ICD ziko ndani ya gharama....Nafurahi umeenda ku google. Now some how uko informed kuhusu ICD's za Tz, naona umekua mpole ume shift kutoka ICD za TZ kuwa ndogo sasa hivi unasema za TZ hazipo kwenye SGR [emoji1] . Ssa kuhusu Moro-Dom ujenzi una anza next month, take it or leave it. Vipi kuhusu KISUMU google bado haija kupa majibu unayo yataka [emoji1]
Reli ya Ethiopia ni 160km/hr perssenger -- GCR - News - Djibouti-Ethiopia railway opens for businessKafrica, kwanini unapenda kutunga uongo na kulazimisha mambo yasiyowezekana ili ujiliwaze?, kwanza speed ya Ethiopia SGR sio 160km/hr, ni 120km/hr kama ya Kenya, pili unapojenga reli uwezi kusema unajenga reli ya speed ya 120Km/hr, with provision up to 200km/hr, kama inauwezo wa kupitisha kasi ya 200km/hr, hiyo sio tena reli ya 120km/hr, kwa sababu kinachofanya iwe ya speed ndogo, ni centrifuge and centripetal forces, ambazo zinategemea very much diameters za curves na ukaribu wa hizo curves zenyewe, kama reli ya Kenya na Ethiopia ukiziangalia, lazima curves zitakuwa karibu ulilinganisha na Tanzania, haitotokea hii ya Dar-Moro ambayo design yake ni 160km/hr, ikimbie 200km/hr, vivyo hivyo, hiyo iliyofanyiwa design ya 120km/hr, haitokaa ifikie 160/hr, labda mvunje reli mpunguze hizo curves na radius zake, kumbuka hii ni purely science of motion, usiingize maneno mengi ya kutaka kuchanganya watu, watu wa aina yako ni hatari sana kuwa driver wa hizi train, kwa sababu hutofuata maelezo ya kisayansi badala yake utatunga yako.
Ingia hapa unangalie treni zenu za DF4 series za Tazara za 1960s China Railways DF4 - Wikipedia
http://www.africanews.com/2017/05/10/ethiopia-djibouti-electric-railway-begins-regular-test-run//Reli ya Ethiopia ni 160km/hr perssenger -- GCR - News - Djibouti-Ethiopia railway opens for business
Addis Ababa–Djibouti Railway - Monopedia
Railway development in Ethiopia
China-built electric railway opens up landlocked Ethiopia - Business News | The Star Online
Sasa the thing is, pale reli ilipoletwa Kenya walifanya testing na hio perssenger locomotive pamoja na wagons zilipelekwa hadi 158km/hr .... Explain that
Hii hapa iliandikwa next to the door of the engine coach, hua inaandikwa hapo only after the train achieves that speed on that particular rail that the train is intended for
Ingia hapa unangalie treni zenu za DF4 series za Tazara za 1960s China Railways DF4 - Wikipedia
Alafu ukimaliza uingie hapa unangalie DF8 series ambazo zinatumika kenya kubeba mizigo
China Railways DF8 - Wikipedia
DF8B diesel locomotive, as the mainline freight diesel locomotive with the highest power for single diesel engine in China, is the ideal traction power for speedup of heavy mainline freight transportation. Equipped with 16V280ZJA diesel engine, JF204D synchronous main alternator and ZD109C traction motor, the locomotive has speed of more than 90km/h at maximum constant power. It was awarded “Second Prize of MOR Scientific & Technological Progress” and Jiangsu Province Excellent New Product “Golden Ox Prize”.
New technologies such as microcomputer control system, large-screen color liquid crystal display, dynamic brake unit for self-load test at full power and etc., are utilized in this locomotive. It is modern in electric control technology and excellent in dynamic performance.
Kuhusu speed ya train, soma vizuri maelezo yangu acha kujifanya hujaelewa, nilisema kwenye train muhimu ni reli yenyewe design yake kama itaweza kuruhusu huo wendo, hata kama locomotives zinauwezo mkubwa wa kukimbia speed kali, ninadhani ulielewa vizuri ila unataka kusumbua akili yangu, hivi Tanzania ikiamua kununua locomotives zenye uwezo wa 300km/hr, na imeandikwa hivyo, utaamini kwamba hiyo ndiyo speed itakayosafiri?Reli ya Ethiopia ni 160km/hr perssenger -- GCR - News - Djibouti-Ethiopia railway opens for business
Addis Ababa–Djibouti Railway - Monopedia
Railway development in Ethiopia
China-built electric railway opens up landlocked Ethiopia - Business News | The Star Online
Sasa the thing is, pale reli ilipoletwa Kenya walifanya testing na hio perssenger locomotive pamoja na wagons zilipelekwa hadi 158km/hr .... Explain that
Hii hapa iliandikwa next to the door of the engine coach, hua inaandikwa hapo only after the train achieves that speed on that particular rail that the train is intended for