Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Resources sio pesa
Bro Tanzania SGR can never fail tuna resources ya kutosha ya kufanikisha hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro Tanzania SGR can never fail tuna resources ya kutosha ya kufanikisha hili.
Kilaza Magufuli au huyo Rais wenu na wenzake waliona njia pekee ya kumaliza korona kufungua watu ndani lakin leo wote mashaidi waliotumia njia hiyo bado wana hali mbaya lakini hata cku moja hujawah kupongeza chochote inamaana Magufuli alioyofanya yote mabaya ? Tatizo unaonesha unachuki zako tu binafsi na JPM wasiokua na akili huwasemi, kiongoz wenu si alitoa ushauri mradi wa umeme mwl.nyerere usimamishwe pesa zichukuliwe zitumike kupambana na korona sasa JPM angekua fisadi si ndio ingekuwa fursa hiyo kwake ila alikataa na mpaka leo mradi unaendelea na korona hamna kwahiyo ukiwa na chuki zako moyoni na mtu fulani bc jaribu kujizuia mda mwengine maana unaonekana una mapungufu bro au kama vile mtu alieasilika kisaikolojia sijui wewe Kati ya wale wenye vyeti feki maana si Kwa chuki hizoDuh!duh!duh!!!Unaishi Tanzania mkuu?Hukumbuki hata kisa cha CAG Hassad kuundiwa zengwe na kutimuliwa kazi?Hadi wachora katuni akina Masoud wamechora sana katuni za huu ufisadi kama hiyo niliyotuma hapa!Wewe hufuatilii mambo kazi yako ni kusema ndiyo kila kitu cha Magufuli?
Ninaposema kuwa Magufuli is a country bumpkin sisemi hivyo kwa sababu za kishabiki za kisiasa bali kwa sababu ya mambo maovu ya kutisha aliyofanya Magufuli akiwa Rais
Hahahaha wewe ni takataka kweli bank kubwa kama CRDB iwe na branch 3? Wakati huwezi kutibiwa kwenye public hospitals bila kuhudumiwa na CRDB since every transactions made in public hospitals should be channeled by CRDB and they got multiple windows in them!OK nmeona kwa google maps hiyo CDRB ina branch 3 maeneo ya Kilimanjaro na Arusha
Unaelewa kuwa Magufuli alikuwa anabeti roho za Watanzania na alikuwa ameshaanza kuzika watu usiku wa manane ila kilichookoa jahazi ni kwamba Corona haikuzipiga nchi za Afrika kama ilivyopiga Ulaya,Asia na Marekani?Kilaza Magufuli au huyo Rais wenu na wenzake waliona njia pekee ya kumaliza korona kufungua watu ndani lakin leo wote mashaidi waliotumia njia hiyo bado wana hali mbaya lakini hata cku moja hujawah kupongeza chochote inamaana Magufuli alioyofanya yote mabaya ? Tatizo unaonesha unachuki zako tu binafsi na JPM wasiokua na akili huwasemi, kiongoz wenu si alitoa ushauri mradi wa umeme mwl.nyerere usimamishwe pesa zichukuliwe zitumike kupambana na korona sasa JPM angekua fisadi si ndio ingekuwa fursa hiyo kwake ila alikataa na mpaka leo mradi unaendelea na korona hamna kwahiyo ukiwa na chuki zako moyoni na mtu fulani bc jaribu kujizuia mda mwengine maana unaonekana una mapungufu bro au kama vile mtu alieasilika kisaikolojia sijui wewe Kati ya wale wenye vyeti feki maana si Kwa chuki hizo
Kwani vifo vinaweza kufichwa? Kwani Kenya ipo ulaya mbona wametumia njia ya WHO na bado wanateseka mpaka leo?, kama sababu nchi za Afrika Corona haijasumbua inakuaje TZ tunakula bata Kenya wamefata njia hizo unazopenda wewe au ungezifata kama laiti wewe ndiye ungekua Rais sasa nashindwa kuelewa shida yako njia au kufanikiwa ? Tatizo kubwa kama nilivyokwambia mwanzo mtu ukiwa na chuki nae moyoni bc we lazima kila Jambo utatafutia sababu tu ndio kama hivyo katumia njia yake akifanikiwa ohhh kabeti roho zetu ,hao waliofata njia ya ulaya unajua sasa hivi wana hali gani au unapiga domo tu hapa . Fatilia jiran tu hapo kenya kama haitoshi fatilia A.kusini , Nigeria na misri harafu ulete propaganda yako corona Africa sababu ijapiga Sana . Tatizo ukilijua msingi wake kulitatua linakua lahisi kiasi kwamba mpaka watu watakuona kichaa sababu wao wanatumia akili nyingii halafu wewe unafanya kinyume na unafanikiwa sababu Magafuli alijua msingi wa Corona kama unakumbuka alisema hii ni vita na kama vita kila nchi itatumia mbinu zake hio ndio sababu Magufuli alifanikiwa sababu akuchukulia kama ugonjwa alichukulia vita . Na huu ugonjwa ulikuwa unatumia mbinu ya hofu mfano mafua yale ya homa toka zaman tunaumwa yanapona yenyewe ila ungeumwa kipindi cha korona ungeenda kupimwa ungeambiwa korona tu na ungewekwa karantini huku ukiwaza nchi yenye uchumi mkubwa kama marekani Kwa siku wanakufa watu zaidi ya 2000 itakuaje kuhusu mimi bc hapo ndio ugonjwa unaongezeka sasa uwezi ukasema eti kabeti maisha yetu ulitaka utumie njia gani afanikiwe ili umsifie kajitahidiUnaelewa kuwa Magufuli alikuwa anabeti roho za Watanzania na alikuwa ameshaanza kuzika watu usiku wa manane ila kilichookoa jahazi ni kwamba Corona haikuzipiga nchi za Afrika kama ilivyopiga Ulaya,Asia na Marekani?
Unaelewa kuwa Corona ingekuwa serious hapa Afrika kama ilivyokuwa serious Italy Watanzania wangeisha?Unaelewa kuwa Alichofanya Magufuli siyo kupambana na Corona bali ilikuwa ni kutoa watu sadaka na ponea yetu ilitokana na Corona kutoiathiri sana nchi za Afrika?Unaelewa kuwa kilichotuokoa na Corona siyo Magufuli bali ilitokana na Corona kutokupiga sana nchi za Afrika kama ilivyopiga Asia,Ulaya na Marekani?Unawezaje kumsifu Rais aliebeti rohoo za watu?!Una akili timamu?!
Kama Magufuli hakubeti rohoo zetu na alitumia mbinu nzuri sana kupambana na corona ni kwa kivipi mbinu aliyoitumia kuzuia Corona Tanzania ingetuvusha salama kama ingetokea Corona ingezipiga nchi za Afrika Kama ilivyozipiga nchi za Asia,Ulaya na Marekani?Kwa sababu hakuna ambae alikuwa anajua kuwa Corona haitaishambulia sana Afrika,hata WHO walikuwa hawajui
Ulitaka aje ajenge nyumbani kwenu,kwani alipojenga ni ardhi ya Kenya.Kumbuka TZ ardhi sio mali ya Mabwanyenye ni mali ya taifa tuna haki ya kuitumia tunavyotaka.Ni halali yake kujenga madhali kuna watu wanaishi na watz[emoji23][emoji23][emoji23] amejenga airport kijijini Chato kama Mobutu Seseseko. No economic viability sifa tu.
Bora amejinga kiwanja Chato kuliko kuto kujenga kabisa...Ulitaka aje ajenge nyumbani kwenu,kwani alipojenga ni ardhi ya Kenya.Kumbuka TZ ardhi sio mali ya Mabwanyenye ni mali ya taifa tuna haki ya kuitumia tunavyotaka.Ni halali yake kujenga madhali kuna watu wanaishi na watz
Sijakuelewa? JPM ni fisadi, auoni vitu anavyofinya kwa miaka mitano..? Wwee ni mfuasi wa gaidi nini? Au mfiasi wa MwenyeKiti au katibu wa Mashoga ulaya..Asiejielewa ni wewe pamoja na Magufuli ambae amefanya ufisadi wa TZS trillion 1.5 ila wewe bado unaona kuwa una Rais asiependa ufisadi!View attachment 1595283
Huwezi kuelewa kwa sababu hauna utayari wa kuelewa.Ripoti ya CAG profesa Assad ilithibitisha pasipo shaka yoyote kuwa serikali ya Magufuli ilifanya ufisadi wa kutisha ambao haujawahi kufanyika tokea uhuru.Wewe ni nani hadi upingane na CAG?Sijakuelewa? JPM ni fisadi, auoni vitu anavyofinya kwa miaka mitano..?
Unazungumzia lile gaidi la kujitoa mhanga kutoka CCM ambalo lilikuwa ni gaidi mfia dini pia?Wwee ni mfuasi wa gaidi nini?
Kwenye nchi hii hakuna chama ambacho kimepigania ushoga na kuunga mkono juhudi za ushoga kuliko CCM.Wote tunakumbuka kwa ufasaha kabisa Mheshimiwa sana Paul Makonda alipoanzisha vita ya kupambana na kupinga ushoga kupitia chama chake cha CCM serekali ya CCM iliibuka mara moja na kusema kuwa ushoga siyo tatizo na vita aliyoianzisha Mheshimiwa sana Paul Makonda ni vita yake binafsi na wala siyo vita ya Serekali.Tena bila aibu serekali ya CCM iliyasema haya kwa maandishi.Ni mambo ya aibu!Au mfiasi wa MwenyeKiti au katibu wa Mashoga ulaya..