Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

Sasa hapo mbona hatuoni zege ikikorogwa, ni mapicha mapicha tu ya jamaa wamevaa mavazi ya kazi usiku ambao hatujui saa ngapi, inawezekana mida ya saa moja usiku.
Tatizo Waswahili maneno mengiii kabla ya kuanza kazi yenyewe.

Sisi wakati tunajenga SGR tuliwajazia huku picha za wanaume wakiwa kazini, sio huu urembo mnatuonyesha hapa. Halafu mkumbuke mambo ya SGR kwetu sio habari tena kwetu, kwenu sawa maana ndio bado mnaanza kushangaa shangaa, naskia hata fly over bado mnashangaa wakati sisi tulishachoka nazo.

SGR+2.jpg
Hii reli mvua ya kwanza tu inabebwa na maji.
Niwambie mapemaa, sitaki kuzuiwa kucheka na kushangilia.
Hongera KENYA.
 
Hadi mlete picha za zege ikikorogwa, hayo mengine yatabaki kuwa stori, nakumbuka mlituzungusha sana na mapicha ya kihivi ya kuonyesha sura kipindi kile cha bandari ya Bagamoyo.

Halafu SGR yenu gharama yake sio nusu ya Kenya, haya tuliyajadili huku kwa kina na mahesabu yakadadavuliwa balaa, lakini kwa jinsi huwa mlivyo, mkikaririshwa huwa hamuachi.
Haha, ndio maana madaraja na nyumba zenu za Kenya zinaaguka kila mara. Inaonekana mnaanza na kumwaga zege kabla ya maadalizi ya uhakika. Zege litakuja tuu, na kama ukitaka tukupigie ngoma siku zege likianza tutakupigia.

Kwahiyo unataka kusema SGR ya Tanzania ni gharama sawa na Kenya? Wakati nyinyi mnalala na kukoroma usiku mpaka Tanzania tunawasikia, huku wanaume tunapiga kazini.
 
Hiyo yenu tulishaijengaga 1960's huko,
In fact this have to be news to you as well,
Sababu SGR Tz is the Modern in the entire region.
Halafu hiyo picha kaweka ni chini ya ardhi ndio maana kuna taa, hapo ni mchana kweupe. Wakati wao wanalala na kukoroma, wazee huku tunatinga kazi.
 
Hadi mlete picha za zege ikikorogwa, hayo mengine yatabaki kuwa stori, nakumbuka mlituzungusha sana na mapicha ya kihivi ya kuonyesha sura kipindi kile cha bandari ya Bagamoyo.

Halafu SGR yenu gharama yake sio nusu ya Kenya, haya tuliyajadili huku kwa kina na mahesabu yakadadavuliwa balaa, lakini kwa jinsi huwa mlivyo, mkikaririshwa huwa hamuachi.
Aliyesema ni nusu ya ile ya Kenya, ni mkenya mwenzenu wa Gazeti la Standard, kwanini hasira za kuibiwa na wachina unazimalizia TZ?
 
Mbona unapitiliza kuweka maelezo bila kusoma yaliyomo, zege itawekwa kwa wakati wake, kinachofanyika sasa ni kusawazisha maeneo yote. Cha msingi ni kazi itafanyika USIKU NA MCHANA kama mkataba ulivyosema na muda utafupishwa. Yani ni usiku na mchana kwa hela nusu ya Kenya SGR, sijuwi kama umeliwaza hilo au lilikupita. [emoji23]
Huyo jamaa ana tabia za kipunga nimependa that part "at half the cost"!
 
Haki za binaadamu akina mama Bisimba wataanza kulalamika. Na akina mch. Msigwa wataanza kupinga. Subiri utaona.
 
Hadi mlete picha za zege ikikorogwa, hayo mengine yatabaki kuwa stori, nakumbuka mlituzungusha sana na mapicha ya kihivi ya kuonyesha sura kipindi kile cha bandari ya Bagamoyo.

Halafu SGR yenu gharama yake sio nusu ya Kenya, haya tuliyajadili huku kwa kina na mahesabu yakadadavuliwa balaa, lakini kwa jinsi huwa mlivyo, mkikaririshwa huwa hamuachi.
Wewe ukija kukimbilia Tz kukilipuka huko Kenya nitahakikisha unakamatwa na kurudishwa kwenyu mara moja.
 
Huyo jamaa ana tabia za kipunga nimependa that part "at half the cost"!
Hii ni Tanzanian model, hard bargain, splits work in section, do it all at once. Bomba la mafuta watatumia same model. Tulijifunza jinsi wachina walivyo tubabaisha na bomba la gesi Mtwara - DSM. Wachina mpaka wamalize section moja ndio waanze nyingine. Nadhaani hata SGR ndio waliposhindwa kuelewana na JPM.
 
Back
Top Bottom