Mmeishia kujenga minara.. Jengeni floors na si minaraPinnacle Tower, Nairobi [U/C]
The twin tower consisting of a 70flr and a 45flr Towers will stand at 300m and 200m respectively upon finishing to become Africa's Tallest Tower
View attachment 605608
Aliyesema ni nusu ya ile ya Kenya, ni mkenya mwenzenu wa Gazeti la Standard, kwanini hasira za kuibiwa na wachina unazimalizia TZ?
Afunge tu, kama sheria zimemshinda. Kwanza amejaza maforeigners. Aachie kiwanda watu wenginedangote anafunga kiwanda
Nyie tayari mmeshaliwa na wachina bhana, wameshawadharau, na watawachezea kweli kweli, na hao viongozi wenu walivo mafisadi, more is coming. Hii issue wala usilaumu wa Tz, akina Ndii ndio walianzisha hizi hoja za your overpriced sgr compared to ours, sie tunanukuu maneno ya raia zenu.Haya ya kudai kwamba mumetengeneza kwa nusu ya gharama yetu yashakua kama wimbo wa taifa kwenu, badala mkomae kutengeneza reli, mnatumia nguvu nyingi kuwapotosha Watanzania kwa kulinganisha gharama za reli zetu, wakati mkijua mnatumia uwongo.
Mimi nashauri, mfanye kazi tu, reli ianze kuonekana na hapo mtaungwa mkono na hao Watanzania, hizi propaganda za kudanganya kwamba reli yenu gharama yake ni nafuu nina uhakika Watanzania wengi hawana muda na hayo, wao wanataka kutumia huo usafiri mpya.
Wako Nairobi kukusanya michango, kwani kupona LiSSU ni mipango ya mungu(mtaji 2020)Ila nyumbu hawataona humu
nyie vichaa wachache mnatakiwa mnyongweAfunge tu, kama sheria zimemshinda. Kwanza amejaza maforeigners. Aachie kiwanda watu wengine
Hawalali?Ndio, kwani tofauti ni nini?? Unadhani wanafanya gizani??
Mtanyongwa nyinyi sympathizers wa wanaotukandamiza.nyie vichaa wachache mnatakiwa mnyongwe
kwanini usinyongwe wewe?nyie vichaa wachache mnatakiwa mnyongwe
Swali la kitoto!!Hawalali?
Sasa mbona hiyo yenu tulishaijenga tokea 60s au na nyie mna ya umeme? Shut up, the only one to talk with us is SA and EthiopiaSasa hapo mbona hatuoni zege ikikorogwa, ni mapicha mapicha tu ya jamaa wamevaa mavazi ya kazi usiku ambao hatujui saa ngapi, inawezekana mida ya saa moja usiku.
Tatizo Waswahili maneno mengiii kabla ya kuanza kazi yenyewe.
Sisi wakati tunajenga SGR tuliwajazia huku picha za wanaume wakiwa kazini, sio huu urembo mnatuonyesha hapa. Halafu mkumbuke mambo ya SGR kwetu sio habari tena kwetu, kwenu sawa maana ndio bado mnaanza kushangaa shangaa, naskia hata fly over bado mnashangaa wakati sisi tulishachoka nazo.
Sio kwamba wanafanya kazi usiku badala ya mchana, ni kwamba pote usiku na mchana wanapiga kazi.Kazi kazi ucku kazi inafanyika vzr zaidi kuliko mchana mchana kuna changamoto nyingi zakupoteza muda
Ya kati, pale morogoro (mikese) ruvu na dodoma.Reli gani Tanzania iliwahi kusombwa na maji?
mkuu utawauwa bureWakenya wapo hoi pesa ya kulipia mkopo wa sgr ya kitapeli wanaikamua mpaka kwenye vinywaji na vitafunwa, andazi moja buku 2View attachment 606106