Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
SGR Mliyojenga Kenya, hapa Tanzania ilishajengwa mwaka sabini. Kwetu sio vitu vya kushangaaa. Kama unabisha noo upande treni ya TAZARA.Sasa hapo mbona hatuoni zege ikikorogwa, ni mapicha mapicha tu ya jamaa wamevaa mavazi ya kazi usiku ambao hatujui saa ngapi, inawezekana mida ya saa moja usiku.
Tatizo Waswahili maneno mengiii kabla ya kuanza kazi yenyewe.
Sisi wakati tunajenga SGR tuliwajazia huku picha za wanaume wakiwa kazini, sio huu urembo mnatuonyesha hapa. Halafu mkumbuke mambo ya SGR kwetu sio habari tena kwetu, kwenu sawa maana ndio bado mnaanza kushangaa shangaa, naskia hata fly over bado mnashangaa wakati sisi tulishachoka nazo.
Kweli kabisa namuona ni mpambanaji sana mkuu, wangempaa ukurugenzi kamili tu
Masanja Kadogosa ni Mkurugenzi wa TRL na kaimu mkurugenzi wa RAHCO. RAHCO na TRL zitaunganishwa siku si nyingi kutengeneza TRC ndio maana hali ipo hivyo.
Vitu vya kawaida sana hivi.Local Maintenance crew wanazidi kupata mafunzo pale Kenya railway training institute
wanafunzi wa kenya wanaosomea taalam mbali mbali za mambo ya reli kule uchina Jiaotong university -- Wakimaliza hao ndo watakuja kushikilia msukani na kuwaondoa wachina katika operationi zote za reli ya SGR ya kenya. Garama ya mafunzo haya inalipiwa na wachina wenyewe, hii ilikua moja wepo ya makubaliano
7000-7500 masaa 4mkuu kwa basi ni Tsh ngapi na unatumia muda gani
Hawa nao waache sifa, mchana walikuwa wapi ndio wanaenda huko usiku na tochi kama walinzi?
ajira zipo za kutosha hadi mama ntilie. wana kambi tatu na wamesaini phase two so ajira nyingi munoMchakato WA ajira kwenye huu mradi upoje jamani wale mnaofanya kazi huko nahitaji kupata ajira huko?
Utaratibu ukoje mkuu?ajira zipo za kutosha hadi mama ntilie. wana kambi tatu na wamesaini phase two so ajira nyingi muno
Ya kisasa? Are you kidding? Gari Moshi hilo unaita la kisasa??Initoe jasho kivipi wakati leo hii tunachana mbuga zetu kwa SGR, nyie hapo wakati mnawashangaa Waturki waliovalia helmets, sisi tunapata raha huku tukisafiri kwa muundo mbinu wa kisasa.
Soma tena ulichoandika halafu utume tena.Wee bonge la pimbi kweli kweli kumbe... Kenya ina husiana na nini humu kama sio ushabik wako maandazi ni kitu Gani humu ati?
Mwenzetu Uhuru kesha ya maliza hayo kitambo alafu unataka ku competition nawe... Plus na roho
Mbaya uliyo nayo juu ya Uhuru.. Bora upige kimya tu fanya yako Wachana na Uhuru hamuwez hata Kidogo... Is got Golden heart [emoji813] Uhuru.. Is another levels kabisa... Pambana na hali yako wee vp bana... Aibu tupu