Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahindi bei chee utakulaje reliviva magu viva, mwaka huu tutakula reli
Toka lini Ulaya wamekuwa wenzako. Maendeleo siyo kujilinganisha na wengine bali ni namna gani unafanikiwa kutatua matatizo yako kwa wakati husika. Hata sisi itafikia kipindi tutahutajikuta hizo lakini sio sasa koz hatuna hitaji hilo.Wenzetu ulaya wanakuja na hii: Hyperloop ina speed ya 1,200 km/h
![]()
![]()
![]()
Duh aisee haya mkuuToka lini Ulaya wamekuwa wenzako. Maendeleo siyo kujilinganisha na wengine bali ni namna gani unafanikiwa kutatua matatizo yako kwa wakati husika. Hata sisi itafikia kipindi tutahutajikuta hizo lakini sio sasa koz hatuna hitaji hilo.
safi sana....naona mambo yanaendalooks like all set,I was heading to the airport today and more than 6 new cars getting out at 6 AM, looks busy, they have put flag and new board with all the information, you now the designer, consultant etc.
Designer : COWI & SENER
Consultant: KORAIL JV KOREA RAIL ROAD
Completion date:07/11/2019
HAPA KAZI TU
![]()
![]()
hatuwezi kuitengeneza hii kwa sasa kama nchi, hatuna hizo fedha, labda sekta binafsi ijenge na iendeshe kwa muda maalum hadi watakaporudisha gharama walizotumiaWenzetu ulaya wanakuja na hii: Hyperloop ina speed ya 1,200 km/h
![]()
![]()
![]()