Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

Mzee ulitoka nchini miaka 11 iliyopita. wakati hayati JPM akiwa bado ni waziri. Na ipo mizigo iliyomtajirisha Laizer mmasai wa Arusha, hatuna uhakika kama hilo jiwe ni mmojawapo ya mawe hayo.
No mawe ya Sanilu Laizer ni jiwe la Tanzanite ya Mererani, hili jiwe ni Ruby ya Longido, haina thamani sana kivile, hivyo ili kuiongezea thamani, wakatengeneza certificate of origin fake kuonyesha ni ruby ya Dodoma. Wakatengeneza certificate of valuation fake kutoka Italy.
P
 
Kwamba unaweza kuchota na kuondoka pasi kujulikana?.
No linasaidia kujua udhaifu wa huko nyuma, yaani wajanja wanaweza kutengeneza certificate of origin fake za madini na watu wakapigwa!. Hili jiwe ni fake, certificate of origin ni fake, certificate of valuation ni fake na ndio sasa liko sokoni!.
P
 
Matapeli ni hao wanunuzi wa Dubai?.
 
Matapeli ni hao wanunuzi wa Dubai?.
No matapeli sio hao wanunuzi wa Dubai, mpaka hapa tulipo, hao wanunuzi wa Dubai hawajui kuwa hiyo ruby yao ni fake, wao wanajua ni genuine ndio maana wanauza openly.

Jiwe hili liko on display for public kwa mwezi mzima Dubai, tuna ubalozi wetu pale, tungekuwa ni nchi tunaojua economic intelligence, by now tungekuwa na data zote za jiwe hili at finger tips. Mtu wetu wa ubalozini angepose kama interested party, angeonyeshwa jiwe na papers zake ili kulifanyia due diligence kujiridhisha na its authenticity.

Angetuma tuu hiyo certificate of origin, Ingefanyiwa search na within no time wangebaini it's fake.
P
 
Nenda mpwapwa,winza
Na nenda longido,mundarara katengeneze stori uikusanye
Utapiga bingo we mtoto wa magorofani drive in

Ova
Mkuu mrangi, neno magorofani drive in, umenikumbusha mbali!.
Wewe utakuwa unanijua haswa, heshima mbele.
Asante.
P
 
No linasaidia kujua udhaifu wa huko nyuma, yaani wajanja wanaweza kutengeneza certificate of origin fake za madini na watu wakapigwa!. Hili jiwe ni fake, certificate of origin ni fake, certificate of valuation ni fake na ndio sasa liko sokoni!.
P
Good but...
Wamesubiri jamaa aondoke na baada ya kuondoka kweli wameona fulsa ya kupiga ipo hapa ndipo wakalitoa hilo jiwe fake, they mean kuna udhaifu on time they can use to win.

Hapo ndipo tunamuona tycoon akisaini mkataba as Tanzania businessman amiri jeshi akishuhudia.

Haya mambo haya kaka ni kutafuta nafasi na sisi tuingie tule Asali, vinginevyo tutabaki kupiga zumari kumfurahisha mfalme meza kuu.
 
Umeongea point kubwa sana na jambo la msingi sana. Ili tuweze kuinuka kiuchumi ni lazima tulinde rasilimali zetu, Leo hii nchi zote zilizoendelea huwezi kuona watu wanacheza na rasilimali zao.
Ila shida ni Nani atamfunga paka kengele?
Mama Samia akitaka kuona uraisi mgumu basi aanze kudeal na hao cartels.
 
JPM alisema kweli vita ya kiuchumi ni vita mbaya!. Unaweza kukuta waliomtoa roho sio karma ya matendo yake bali ilikuwa ni lazima aondoshwe ili kupisha njia. Kuna vitu tulivisema humu kama utani, vikaja kutokea.


Halafu hapa nikaonya tena

Haikusaidia kitu, jamaa ama akaondoka, ama akaondoshwa.
P
 
Nigeria ni nchi ya 3 wao wanazalisha mafuta lkn rasilimali za mafuta haziko
Mkononi mwao!hawafaidiki kivile

Sababu ni viongozi wetu kutokua na msimamo na ubinafsi

Ova
 
Duh...!. Mkuu fundimchundo!, That is the base kabisa!. Kumbe watu humu mnatufahamu hadi home!. Tuwe tunatambulishana utakuta mtu unamtukana kumbe ni mtu wako kabisa.
P
We nlikosakosa kukupiga haha
We Wenzako watoto mboga 7 hapo
Gorofani nliwapigaga
Nkitoka hapo nakwenda kota za tanesco mule
Ss ndy tulikuwa wajanja wenu,mipango yote tunawaletea
Sema ttz we ukikuwa mkuda,John kisomo

Ova
 
Hebu peruse mitandaoni uone ni nini kilitokea huko Winza hadi kupelekea eneo hili maarufu kwa madini ya Vito likageuka kuwa mufilisi kabisa. Ukienda huko hutaamini kwamba hata yale maendeleo ya Mji wa Mpwapwa sasa ni hadithi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…