Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mwanakijiji,
Wapo Watanzania kule....ingawaje walienda kwa njia tofauti kwenye zoezi zima la kuhudumia janga hili.......
Miji iliyo kwenye hatari kwa Tanzania sio Mbeya tu, miji yote ambako bonde la ufa linapita kuna hatari kubwa ya kutokea janga kwani "plate tectonics" inaendelea na bara linaendelea kumegeka ili kupisha bahari hivyo tutegemee mengi katika mchakato huo asilia.
Mwaka 1996 MV Bukoba ilibinuka kulikuwa na chance naweza sema 98% ya kuokoa maisha karibu ya 80% ya waliokufa. Meli ilipinduka ikawa inaelea kilichotakiwa ni kuivutia kwenye maji mafupi na kuitoboa kwa technolojia ya wakati huo, Ila kila mtu alikuwa na mawazo yake matokeo wakatoboa meli kwenye kina kirefu kutoa mtu mmoja na meli kuzama, walisahau kuwa kilichokuwa kinaifanya ielee ni traped air inside.
Sasa tukiwa na watu wenye uzoefu katika uokoaji baada ya kwenda kujifunza kwa kujionea vifaa na mbinu zitumikazo huko kweli tunaweza kuwa na initial responders wazuri.
guess what is the hurdle.. ?
Hebu fafanua zaidi. Wapo kule kama nani? Wafanya kazi wa umoja wa mataifa? msalaba mwekundu? wfp?
Halafu vipi kuhusu Watanzania huko Haiti? Ina maana kulikuwa hakuna hata mbongo mmoja? Hatuna mahusiano ya kibalozi na Haiti?
For a while I have been thinking of using an opportunity brought by a natural disaster somewhere else in the world as a learning tool to prepare ourselves by training our own people for disaster preparation and management. It'll help us understanding practically the whole concept of search and rescue, search and recovery and disaster management, operations and rebuilding.
I know.. but this one will be different.. the Americans would do something that the French never tried to do. They will rebuild Haiti from bottom up..
Well.. you must think it is a bad idea; you might think, we have our own problems why should we? you might even ridicule the idea as "overly ambitious" and "unnecessary". Others might even consider the thought of sending a team to Haiti in some kind of a relief mission to incredibly wasteful and not a welcome idea.
For a while I have been thinking of using an opportunity brought by a natural disaster somewhere else in the world as a learning tool to prepare ourselves by training our own people for disaster preparation and management. It'll help us understanding practically the whole concept of search and rescue, search and recovery and disaster management, operations and rebuilding.
I believe this is one of those moments. Remember that in late December last year an earthquake hit around the faulty lines of Lake Nyasa and its tremors felt up to Mbeya Town (over 80 miles away).. imagine if it had hit in Mwanjelwa or Mbeya town center! would we have been prepared!? (somebody might say.. unatuchuria, this will never happen to Tanzania because we have peace, harmony and unity!)!
The team should consists of:
a: Medical Doctors
b. Military Engineers
c. Nurses and Medical Assistants
d. Security Officers - Police and Military
e. Translators (French).
Why?
a. To give our own people much needed experience, knowledge and understanding of operating a major relief effort that will help us when the "hour of our need" comes.
b. When the group returns to Tanzania, it should brief the national leadership about its experience and how as a nation can prepare for a major natural or man made disaster. From the group we should be able to constitute emergency preparedness program. Call me nut but I like preparation better and suprises!
c. We will show the world that from our own poverty and national challenges we can still help. People should bear in mind that US is helping in Haiti while international its fighting two unpopular wars, the economy is in recession and internally there are more Americans in desperate conditions than at any other time in their recent history. Why does America in the midst of these challenges still raises to help a country that has no any major national interests to the US?
I believe we too in the midst of our own challenges and incredible realities can and indeed must help the Haitian in this our of darkness!
Who should finance?
I know the most quick reaction to this proposal will be "we don't have money, unless the UN or the US should reimburse us, we will not be able to do this".
I believe we have the means to carry this mission of Help from the Tanzanian People. Something like TZAID. I believe if the President and the Cabinet would sit down and ask the question "how we can help" you'll be amazed at how much resources we have to be able to accomplish this.
Intellectually, i know it is a good idea and if I was somehow in power I would carry it on. Somebody else might think it is a very bad idea.
Tell me why this is a very bad idea.
Wazo la kupeleka waokoaji kwa sasa naona litakuwa limepitwa na wakati, watakuwa wameshachelewa. Kuanzia kesho waokoaji wengi watakuwa wanafanya kazi ya kuibua maiti.
Kwa sasa ma-Injinia, Town Planners, Doctors, Nurses n.k. naona ndio watakaohitajika.
Kwa hiyo nafasi ya kujifunza itakuwa imetupita kwa vile hatuna viongozi wanaofikiria haraka au labda viongozi wetu hawafikirii kabisa.