figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Baada ya Tanzania kulaumiwa na Jumuiya za kimataifa kwa kumiliki kikundi cha watu wasiojulikana ambao kazi yao ni kuteka, kuua kutesa, kubambikizia kesi, Tanzania imetoka kuwa nchi ya kwanza yenye amani Afrika na kuwa ya 16. Ila kuwaliwaza wanasema ni ya 7
Ifuatayo ni Orodha ya Nchi zenye amani.
1:Mauritius🇲🇺
2: Botswana 🇧🇼
3:Ghana🇬🇭
4: Zambia 🇿🇲
5:Sierra Leone 🇸🇱
6:Senegal 🇸🇳
7:Tanzania🇹🇿
8: Namibia 🇳🇦
9:Liberia🇱🇷
10: Malawi🇲🇼
Kazi kwa Watanzania kufanya Nchi iwe na amani. Panya road bado tishio Nchini Tanzania
Hii ndo Tanzania inakubali, ila kwa takwimu na uhalisia, Tanzania ni ya 16 katika bara la Afrika kwa vigezo zilivyowekwa. Kama siasa safi, Utawala bora nk
Soma
africa.businessinsider.com
Pia soma Watu wasiojulikana
Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Ifuatayo ni Orodha ya Nchi zenye amani.
1:Mauritius🇲🇺
2: Botswana 🇧🇼
3:Ghana🇬🇭
4: Zambia 🇿🇲
5:Sierra Leone 🇸🇱
6:Senegal 🇸🇳
7:Tanzania🇹🇿
8: Namibia 🇳🇦
9:Liberia🇱🇷
10: Malawi🇲🇼
Kazi kwa Watanzania kufanya Nchi iwe na amani. Panya road bado tishio Nchini Tanzania
Hii ndo Tanzania inakubali, ila kwa takwimu na uhalisia, Tanzania ni ya 16 katika bara la Afrika kwa vigezo zilivyowekwa. Kama siasa safi, Utawala bora nk
Soma
Mauritius, Ghana and The Gambia are the top 3 most peaceful countries in Sub-Saharan Africa
Read the latest news across entertainment, sports, business and more
Pia soma Watu wasiojulikana
Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana