Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Madagascar ilipowahi kua.
Ilipogeuka na kua dark horse.
Kuna somo ilitakiwa tulijue.
Anyway, timu ya taifa hua nzuri ikiwa wachezaji wake wengi wanacheza ligi za nje zenye ushindani au ligi ya ndani ila ina ushindani.
Hao uliotaja angalia kikosi kinaundwa na wachezaji wanatokea wapi. Rais wa Madagascar alivyoona timu yao ya Taifa inafanywa shamba la bibi kila mashindano akafanya mpango watoto wengi wakaenda nchi za Ulaya kwenye academy na hatimaye timu za huko.
Wakaja Afcon walikua on fire si mchezo.
Ilipogeuka na kua dark horse.
Kuna somo ilitakiwa tulijue.
Anyway, timu ya taifa hua nzuri ikiwa wachezaji wake wengi wanacheza ligi za nje zenye ushindani au ligi ya ndani ila ina ushindani.
Hao uliotaja angalia kikosi kinaundwa na wachezaji wanatokea wapi. Rais wa Madagascar alivyoona timu yao ya Taifa inafanywa shamba la bibi kila mashindano akafanya mpango watoto wengi wakaenda nchi za Ulaya kwenye academy na hatimaye timu za huko.
Wakaja Afcon walikua on fire si mchezo.