Tanzania sio nchi ya mpira tunalazimisha tu

Tanzania sio nchi ya mpira tunalazimisha tu

Madagascar ilipowahi kua.

Ilipogeuka na kua dark horse.

Kuna somo ilitakiwa tulijue.

Anyway, timu ya taifa hua nzuri ikiwa wachezaji wake wengi wanacheza ligi za nje zenye ushindani au ligi ya ndani ila ina ushindani.

Hao uliotaja angalia kikosi kinaundwa na wachezaji wanatokea wapi. Rais wa Madagascar alivyoona timu yao ya Taifa inafanywa shamba la bibi kila mashindano akafanya mpango watoto wengi wakaenda nchi za Ulaya kwenye academy na hatimaye timu za huko.

Wakaja Afcon walikua on fire si mchezo.
 
Toka najitambua kweny soccer bara la ulaya timu za taifa ninazo zisikia ni France, Spain, Italy, Belgium, Portugal, england, Wales, Czech republic, German, Croatia uholanzi , na zingne ila mara nyingi ni hizi hizi aga zinajirudi

Ukienda American kusini, Brazil, Argentina, Colombia, Peru, Ecuador, Chile na zingne
Sawa na mabara mengne mara nyingi nchi zinakuwa zile zile lkn kiuhalisia yapo mataifa mengi lkn why nchi zinakuwa zile zile ndio zinafanya vzr means mpira nje ya kuweka misingi mizuri ya kuwezesha kupata wachezaji Bora

Lkn pia mpira ni nature ya sehemu husika kuna mataifa Yana nature hiyo ndio maan wahindi hata wajenge uwanja kila nyumba ila mpira sio asili Yao wanalazimisha tu Ndio maan hata hapa Tanzania kuna mikoa ni ngumu kukuta mchezaj mkubwa anatoka huko Nahisi kama taifa tungetafuta sisi kwa asili tunaweza nn Ili tujikite uko ila mpira tutaendelea kudanganyana kila siku inshallah tukutane awamu nyngn tutafny vzr

NB: Watanzania tujikite kweny ukocha maan hii nchi kila mtu anajua kuliko hat walimu wenyew wanaokaa na wachezaji nahisi kwny hiyo nyanja tutazalisha akina pep gerdiola na jurgen klopp wakutosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora hata sisi mkuu . KENYA ndo wamekula Ban kabisa na FIFA..
 
Madagascar ilipowahi kua.

Ilipogeuka na kua dark horse.

Kuna somo ilitakiwa tulijue.

Anyway, timu ya taifa hua nzuri ikiwa wachezaji wake wengi wanacheza ligi za nje zenye ushindani au ligi ya ndani ila ina ushindani.

Hao uliotaja angalia kikosi kinaundwa na wachezaji wanatokea wapi. Rais wa Madagascar alivyoona timu yao ya Taifa inafanywa shamba la bibi kila mashindano akafanya mpango watoto wengi wakaenda nchi za Ulaya kwenye academy na hatimaye timu za huko.

Wakaja Afcon walikua on fire si mchezo.
Nimekuelew mkuu kbx unachozungumzia ila aujaelew maan yangu ndio maan hata Madagascar baada ya hapo tena wamepotea means kwa asili sio taifa la mpira
 
Back
Top Bottom