Tanzania summons Kenyan High Commissioner to explain xenophobic remarks

Tanzania summons Kenyan High Commissioner to explain xenophobic remarks

Stupidity. Serikali ya Tanzania haina kazi?
Kila mwanasiasa anayesimama kuongea lazima mmepe jibu?

Cha ukweli ni kwamba Tanzania ndio imejaa xenophobia, na hili sio jambo la wanasiasa tu. Ni government policy.
Sasa hivi mnataka kuipa Kenya kidole cha lawama, ili mkiulizwa kwa nini mnawatendea Wakenya vibaya huko, mseme kwamba Watanzania wanatendewa vivyo hivyo hapa Kenya.

Msidhani hatuelewi reverse psychology.

Lakini serikali ya Kenya haina utoto kama inayoongozwa na supremo makufuli.

Hii ndio statement ya GOK leo.

View attachment 1138569
Nonsense statement ,when you go to Tzed you can never have peace as a Kenyan if you wanna live and invest there.Mscheeew ,rubbish statement it should be an eye for an eye.
 
Usibadilishe topic, ninyi ni watu wa hovyo sana na roho mbaya, mnataka ninyi tu ndio mpate. Hakuna wa kuwaamini, tubaki kusalimiana kwa mbali, inatosha.
See ya good riddance ,nyie afadhali mlambe matako ya mzungu wa Afrika Kusini eti ndio wanabiashara na wawekezaji wazuri kwenu Tz.
 
Wangefanya hivi mambo ya Bagamoyo Port, aibu Hii haingekuwa na mambo yangetatuliwa kitambo na njia mbadala kupatikana. Hivi Hawa wabunge wako na mikakati ipi ya kuhakikisha Watanzania hawahami Nchi yao kutafuta njia za kujikimu maisha? Hili si swali la Tz peke yake mbali Afrika nzima.
nenda ukakojoe wewe nyang'au, vipi deni la wachina mmemaliza?
 
Hahahahaha, umesahau kampeni ya " play Kenyan music"?. Ninyi ndivyo mlivyo, mkishindwa mnatafuta hujuma. Hivi haya anayosema Jaguar na "Play Kenyan music', kuna tofauti gani?. Ila msijaribu kumgusa mtanzania hata mmoja, mtatafutana hapo Nairobi, sisi ni zaidi ya Alshabab, tutawacharaza viboko ndani ya Nairobi.

Bongolala bure. Fanya kazi, labda dunia itamtambua kwa jambo angalau moja.
Kazi yako ni Jamiiforums kila saa.
Mimi hushindwa sana kama wewe huwa na kazi ya kufanya. 😂 😂 😂
 
Utamsikia joto la upuzi akisema kuwa ni ndugu wetu, tuliwakomboa na kwa hivyo wanatupenda. But you will agree with me that Joto la upuzi is just another retard with access to the internet.
Eti joto la upuuzi... km undugu ni ule wa kuuana...basi sioni visa vya albino vikiisha...

Halafu juzi tu aliomba ebola....
 
wabunge wapumbavvv tuu, jiwe alipopiga mnada ngombe zetu na kuchoma vifaranga mbona walikaa kimya..further more jiwe mwenyewe alifurahia watz kutimuliwa kule msumbiji hivyo watulieee..
 
I disagree with the young MP on his remarks, it is certainly a speech meant to rouse the crowd and gather cheap political points. I do agree with him that we need to get rid of illegal workers. A lot of the hawkers in gikomba from other east african countries do not have work permits, yet as Kenyans we are not allowed the same in neighbouring countries. The non east africans on the other hand should completely be banned from these sectors. We should get rid of all illegal immigrants. Where I live there is a lot of construction going on and I know about 20 burundi nationals who do not have a work permit, yet they work as masons in construction sites. Ugandans and Rwandans get work permits without the charges because of a protocol signed by the three countries in 2015. Tanzanians and Burundi nationals have to pay a fee to get work permits but they do not instead a lot of them have used the eac system to get into kenya and start competing with kenyans on menial jobs like farm hands, hawking, night guards etc. No country can allow this and i highly doubt that even Tanzania can accept this.

I agree with you on the aspect of checking illegal workers.

However, I disagree with you on banning non-East Africans from any sectors. Instead we should better regulate the sectors by giving priority to East Africans in sectors where we have the human and technological capacity to do so. Otherwise, let's be pro-active in equipping our people to be competitive and innovative. We should also invest in securing IP rights for every technology, innovation and creation by our people. In short, if we become inward looking we limit our perspectives, opportunities and it's a never ending 'cancer'. We will close off the world from EA, then countries will close off their borders, then regions...slippery slope. We should just be smart on how we engage the world and how we position ourselves on the world map.
 
I agree with you on the aspect of checking illegal workers.

However, I disagree with you on banning non-East Africans from any sectors. Instead we should better regulate the sectors by giving priority to East Africans in sectors where we have the human and technological capacity to do so. Otherwise, let's be pro-active in equipping our people to be competitive and innovative. We should also invest in securing IP rights for every technology, innovation and creation by our people. In short, if we become inward looking we limit our perspectives, opportunities and it's a never ending 'cancer'. We will close off the world from EA, then countries will close off their borders, then regions...slippery slope. We should just be smart on how we engage the world and how we position ourselves on the world map.
I agree 100% with your sentiments, this was envisioned in the Free movement of labor protocol but so far only Kenya, Uganda and Rwanda have signed that is why ugandans and rwandans do not pay any work permit fees to work in Kenya.
 
I agree 100% with your sentiments, this was envisioned in the Free movement of labor protocol but so far only Kenya, Uganda and Rwanda have signed that is why ugandans and rwandans do not pay any work permit fees to work in Kenya.
I agree with you that sometimes our countries have been taking too long to arrive at constructive conclusion, let alone put them into practise. However, we need as citizens to continue advising and pushing our politicians to make the right decisions, and timely ones too. It's also important to note that albeit all this lagging, citizens of all EA countries still find ways to engage, trade and invest, through the limited opportunities currently available. We should not allow divisive and short-sighted people, no matter who they are, pull as back even further.
 
Bongolala bure. Fanya kazi, labda dunia itamtambua kwa jambo angalau moja.
Kazi yako ni Jamiiforums kila saa.
Mimi hushindwa sana kama wewe huwa na kazi ya kufanya. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahaha, nimekuambia jaribu kuwagusa watanzania muone cha moto.
 
Kamwe usimuamini mkenya yoyote hapa duniani, watu ambao waliwasaliti waafrica kipindi cha ukoloni na kuamua kuwaunga mkono wazungu ambao waliwadhalilisha na kuwanyonga wakenya wengi wakati wa vita vya mau mau, sio watu wa kuwaamini.
Nigga wee huna life,How is this related to this topic[emoji85] Kila saa nyi hushindia kitu moja tu,story za ukoloni[emoji53] Swali ni huo uhuru ulipigania wewe,Enyewe we Kalale tu
 
hii debate ya kenya na tz will be decided on 27th June 2019. when samata and wanyama meets in AFCON 2019. wanao tapika humu ndani wakijidai kuwakilisha tz na kenya waweke pic zao humu kama nyie ni wanaume. acheni ujinga munaturudisha nyuma. tunawaza vile tungeweza kuunganisha wana east africa kuwa kitu kimoja .
 
Back
Top Bottom