Tanzania swaps old J-7 fighters for new ones J-7G & J-7N from CHINA

that was nothing can u tell me where are the 100 man strong USA special force disappeared too? hata jeshi chakafu kama liko na uptodate info laweza kushinda vita, pentagone was providing the UN army with both air and saterite data, so why not finish the m23 who had no air support or saterite data?
 

You have saidi it well...kuna watu walisema watanunua au wataachiwa drones za msaada sijui watakuwa wanafuatilia wizi wa mifugo na mapigano ya kikabila. Maana ndio naona yamechachamaa kwao. Ndio hiyo kazi ya drone kweli?
 
Interesting article....some chaps are so knowledgeable about defense issues. Amazing!!
 

vifaa vya kisasa na teknolojia mpya vina mchango ktk vita au ulinzi kwa kipindi hichi... tusitegemee ujuzi wa vita vya mstuni (golira war)
 
vifaa vya kisasa na teknolojia mpya vina mchango ktk vita au ulinzi kwa kipindi hichi... tusitegemee ujuzi wa vita vya mstuni (golira war)
Kwa technology bado tuko nyuma inchi za kiafrika nyingi ikiwemo Tanzania hata East African tu Kenya na Rwanda wapo juu kijeshi,.
Ni vile watanzania tunajua kusifia hata vitu amnavyo Si kweli .
Tunatawaliwa na Uongo kwa sababu serikali inajua raia wengi ni mburula utasikia eti GDP ya taifa imekuwa kwa 6%!
Serikali yenye ukuaji mkubwa wa uchumi haiwezi kudhurum hela za msaada wa hanga wa matetemeko
 

Unajuaje kuwe teknolojia ya kivita ya Tanzania ipo nyuma ya Kenya na Rwanda?

Umetumia vigezo gani? Vifaa vyote vya kivita unavifahamu?
 
No nzuri inapendeza.. Hii inamaanisha tumekuwa tayari kwa lolote linaloweza kujitokeza..
 
PK aliishia sana kuzitaka MLRS lakini hakuuziwa
 
Mpka naandika hii taarifa only two countries in theWorld were owning MLRS_A100 from China.Ni Tanzania na Pakistan tu.
Ni kweli unafuatilia sana[emoji106]
Ila hata mchina mwenyewe amecopy kwa Mrusi
 
Ni vizuri. Kubadili hali ya zana zetu za kivita, for sure bado tuko nyuma sana kwenye hili..

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sio hili Tanzania tupo nyuma sana kwa kila kitu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…