Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
I wish ningekuwa ofisini nikawawekea Live hapa JF. Bahati mbaya nipo mbali sana.
Nina wasiwasi kama wewe ni Mexence kweli. Mimi siwezi kukupigia simu. Laini yangu nimesajili. hahaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I wish ningekuwa ofisini nikawawekea Live hapa JF. Bahati mbaya nipo mbali sana.
Kama kawaida nishafika uwanjani, timu zote zishaingia na zinapiga jaramba hawa Wamorocco wanaonyesha wako fiti na wepesi na wazee wa touch sana inabidi tutulie kama twahitaji kuondoka na chochote...JK bado hajaingia na mashabiki ni wengi kiasi...
Ngassa tupe rahaa mwana
Ni mimi mkuu. Mimi pia nimesajili hahahahahaNina wasiwasi kama wewe ni Mexence kweli. Mimi siwezi kukupigia simu. Laini yangu nimesajili. hahaha!
Golini ataanza Kaseja mmmh sijajiridhisha kwanini aanze mbele ya Kado
Ni mimi mkuu. Mimi pia nimesajili hahahahaha
Morocco wanaanza kushambulia sasa, dakika ya 5
Dakika ya 8 inakwenda, bado mambo ni Tanzania 0 - 0 Morocco
Usije ukaleta mambo ya +358
JK hajavaa fulana hizo, sidhani kama watanzania wanaweza kuigeuza mechi hii ya chama.Vipi fulana za Chama zipo hapo?
Ntajitahidi kusaidia nikiweza. Kuna Nditi, Mrwanda, Joseph, Nsajigwa, Kaseja, Nizar n.kAhasnteni... endeleeni kutuhabarisha. Tupeni na full lineup.
JK hajavaa fulana hizo, sidhani kama watanzania wanaweza kuigeuza mechi hii ya chama.
Nizar kafanya shambulizi la kwanza zuri kiasi chake.
Tumebanwa, dakika ya 13 Morocco wanapata kona
number za norwayHivi hii ilitoka wapi maana hata nchi yenyewe siielewi