Tanzania Tech Gurus Special thread

kila kitu mtandaoni kitakachokupa faida ya uhakika ziko deep sana ila ukiwa mvumilivu kiukweli internet ina fursa nyingi sana mfano amazon zipo smartwatch zinazouzwa mpaka $5 unaweza ukanunua na ikifika hapa bongo unaweza kuuza hata zaidi ya $7 sasa hapo hauoni fursa?
 
sure mkuu, tuyatafute maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…