Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Saa hii watu 270 wamekufa Kenya, 11 a day countywide, that is a number easy to hide if you ignore and give other reasons for deaths. Tanzania should be able to ignore such numbers and say there is no corona, watasema ni diabetes ama blood pressure au cancer

Lakini .... south africa walikua hapa papo 1 month ago

Je vifo zikifika 500 a day, Tanzania wataendelea kusema corona imeisha? Au wanahabari wataambiwana ccm wanyamaze au stesheni ifungwe?
Five months down the line tangu tumeripoti mgonjwa wa kwanza, no knockdown, no face masks, no social distance, no nothing, kwanini tusingekua zaidi ya South Afrika ambayo imechukua na kuweka sheria Kali sana za kudhibiti Corona.

South Africa pamoja na kuweka "stringent measures" lakini bado wanakuwa kwa wingi, iweje Tanzania ambayo haijachukua hatua hizo bado inasema muda bado?
 
Unapima maiti ya kazi gani,ili ugundue nini. ..!!hivi nyie mnajielewa kweli...!!
Basi muache kupayuka
Ila naona umekuja na hasira kwel, sasa unakataa nn km kwenu haiui wakati hampimi wazima wala maiti[emoji382][emoji382]
 
Basi muache kupayuka
Ila naona umekuja na hasira kwel, sasa unakataa nn km kwenu haiui wakati hampimi wazima wala maiti[emoji382][emoji382]
Nimeona watalii toka Israel wanasema Tanzania is our second home halafu wakatoa barakoa na kutupilia mbali...
 
Saa hii watu 270 wamekufa Kenya, 11 a day countywide, that is a number easy to hide if you ignore and give other reasons for deaths. Tanzania should be able to ignore such numbers and say there is no corona, watasema ni diabetes ama blood pressure au cancer

Lakini .... south africa walikua hapa papo 1 month ago

Je vifo zikifika 500 a day, Tanzania wataendelea kusema corona imeisha? Au wanahabari wataambiwana ccm wanyamaze au stesheni ifungwe?
Wacha umama ww corona haipo Tz ukubali ukatae au ulie mpk uzimie, watu tunakusanyika tu kwenye makongamano mbalimbali na hata kwenye mabanda ya mpira bila mask na saa zingine tushasahau hata kunawa japo maji na sabuni vipo.
 
Na were nawe kwani hujui huko Kenya tuna familia, Nasib Junior na mama yake, nasikia hata wewe utachumbiwa na ichoboy01 very soon🙂
Kwn mwenzangu we ushachumbiwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana jomba kw kupata mume, nawaombeeni maisha mema
 
Back
Top Bottom