Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

The only thing I can think of Kenyans is Looting You lead in Looting everything that is not yours The Question is What Tanzania can do with a Looting neighbor?
 

MY TAKE: Jambo la kushangaza ni kwamba hakuna hata nchi moja ya Africa yenye kutaka kuja kujifunza badala yake zinaendelea kuiga nchi ambazo maambukizi na vifo vinaongezeka kila siku. Nani ameondoka na akili za Waafrika?

Kusema hapa Tz corona imeisha ni imani tu kaka, lakini kisayansi inabidi ufanye research na upime watu kuona kama imeisha (Kitu ambacho hakijafanyika Tz). Tanzania hatujachukua tahadhari yoyote na wala hakuna mbinu tunayoitumia ila maombi (ukiacha nyungu za hapa na pale), kwahivyo hakuna kitu tunachoweza kuwafundisha nchi zingine, waje kijifunza nini sasa!
 

Kenya is recording as part of terms and conditions from the loans they have received. Kenya is sooo corrupt, they use a little of loaned money for the intended purpose but the rest is put in their pocket.
 
Eti Tanzania imeangamiza Corona. Okay. Hata rais wa Burundi hatukuambiwa ameaga baada ya madhara ya Covid. Hata lenu litajitokeza tu nyakati zake
 
Eti Tanzania imeangamiza Corona. Okay. Hata rais wa Burundi hatukuambiwa ameaga baada ya madhara ya Covid. Hata lenu litajitokeza tu nyakati zake
kuna nchi imezuia vifo vya covid??
 
It's not beyond our imagination. It was 10 yesterday.
Tanzania is where we have to use our imagination to guess how many are dying silently.
No death can happen silently!! No one can manage to weep silently!! No death can be kept secretly¡ If there is no death noise it means there is no death!
 
Ile siku mtaanza kupima maiti ndipo nitajua km vyanzo vya vigo vyao vimechangiwa na nn. Wala sio kuwadanganya watu eti matatizo ya kupumua.
Hatuna vifo vya matatizo ya kupumua!! Utasubiri Sana mpaka uchoke bila kuona vifo vya Corona Tz!. K*nya you are in the best 10 for covid 19 cases in Africa! jealousy for Tz is killing you out!
 
Huwezi kupima bila dalili za ugonjwa!! Ninyi mnapima kwa sababu dalili za covid mnazo!!
 
Basi waende kujifunza huko marekani na Kenya wanakokufa kila siku kwa Corona!! Wajifunze kupima na kufa!!!
Tanzania hatupimi kwa kuwa hakuna wenye dalili ya Corona!
Huku mitaani hatuoni wenye dalili za Corona ambazo hazifichiki Kama zipo!! Kifo hakifichiki!! Watu wangekuwa wanakufa tungeona maana hakuna kifo Cha Siri!!!
 
Hatuna vifo vya matatizo ya kupumua!! Utasubiri Sana mpaka uchoke bila kuona vifo vya Corona Tz!. K*nya you are in the best 10 for covid 19 cases in Africa! jealousy for Tz is killing you out!
Kwn mpka mtu afe kw kukosa kupumua, mbna kenya wengine wanakufa kawaida lkn maiti ikipimwa inakutwa na corona..
Kwhyo hata usishtuke bure, corona ipo na ikikupata vibaya inakuua tu..

Unataka kunambia tanzania tangia april watu hawafi, tatizo hampimi maiti...
Km hku niliko sasa kuna mzee kafariki na kisukari lkn alipopimwa akakutwa na corona.. ikabidi habari serikali waseme ni corona lkn mke na watoto wake bado wanadunda licha ya kumhudumi zaidi ya wiki nzima..

So usijitoe ufahamu eti corona haipo, lile janga likikupata at the wrong side halitocheka na wewe
 
Saa hii watu 270 wamekufa Kenya, 11 a day countywide, that is a number easy to hide if you ignore and give other reasons for deaths. Tanzania should be able to ignore such numbers and say there is no corona, watasema ni diabetes ama blood pressure au cancer

Lakini .... south africa walikua hapa papo 1 month ago

Je vifo zikifika 500 a day, Tanzania wataendelea kusema corona imeisha? Au wanahabari wataambiwana ccm wanyamaze au stesheni ifungwe?
 
Kwa maendeleo haya ya kitechnologia huwezi kuficha kitu maisha yanaendelea kama kawaida mitaani Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…