Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #21
only 6% whereas Kenya is 3% plus massive loans that at the moment 45% of their budget covers debt repayment.Hivi bajeti ya Tanzania haichangiwi na wafadhiri?
Then ratio ipoje ili useme unajitegemea kwenye miradi yako..??only 6% whereas Kenya is 3% plus massive loans that at the moment 45% of their budget covers debt repayment.
Achana nao hawa jamaa ni watu wa kulia lia tu. Tangu wamejiunga na Jf kwa takriban miaka kumi iliyopita wao ni kulia lia tu. Hata ukija miaka kumi baadaye utawakuta hapo hapo wanalia lia tu. Hawajielewi.Wewe mwepesi sawa
Last month we collected more than 1.6 trillion, kipindi cha jakaya the huge collection ilikua 800 billionMie huwa sikurupuki. Miezi kumi iliyopita walikuwa wanastruggle kupata funding sasa leo wanadai watafund miradi mikubwa bila mikopo huo ni UONGO WA HALI YA JUU! ukusanyaji wa kodi nchini hautoshelezi hata chembe katika kugharamia miradi ya kimaendeleo.
Tanzania struggles to finance SGR
Hiyo ilikua ni mipango lakini jpm aliikansel kutokana na masharti yao kua magumu, hao wachina ndio wanaowatapeli wakenya mpaka keshoDuu...Jamaa mgumu wewe....
CORRECTION: 50% of their budget covers debt repaymentonly 6% whereas Kenya is 3% plus massive loans that at the moment 45% of their budget covers debt repayment.
only 6% whereas Kenya is 3% plus massive loans that at the moment 45% of their budget covers debt repayment.
Naona watanzania wenzenu wanajadili kuhusu nchi yao kwa weledi. Sasa nyinyi wazee wa ligi mmeanza kwa kuitaja Kenya. Swali langu, deni la Kenya ndio litawasaidia kufadhili miradi yenu? Maksi20CORRECTION: 50% of their budget covers debt repayment
Watu wa kusamehewa deni hawachelewi.Naona watanzania wenzenu wanajadili kuhusu nchi yao kwa weledi. Sasa nyinyi wazee wa ligi mmeanza kwa kuitaja Kenya. Swali langu, deni la Kenya ndio litawasaidia kufadhili miradi yenu? 20marks
Huelewi mzee, Jamaa kule NSSF, PPF, PSPF, LAPF hawatoi Mafao tena,Pure lies! Tax collections base is not sufficient to fund various development projects in the country. Serikali ya wasema uongo.
Mkuu kuna wastaafu tangu mwaka jana hawajapata mafao..ni yaki ku divert resources za wanachama kwa mgongo huo?Huelewi mzee, Jamaa kule NSSF, PPF, PSPF, LAPF hawatoi Mafao tena,
So sad Hata Mimi hapa nilitaka nipige chini kazi yangu hivi karibuni nikakombe mkwanja wangu NSSF but jamaa inasemekena hawatoi hela tena,
Hizi ndio hela za ndani mzee, magufuli sio mjinga, pesa ipo ya kutosha kujenga miradi yote hiyo.
Unafanya kazi BOT?Mkuu, Point ni kwamba "MAKUSANYO YA KODI HAYATOSHI" ku-fund hii Miradi yote inayozungumzwa...
Hii inaitagwa kupanick. 😀Unafanya kazi BOT?
kwani ajalipiaKuwalipa wafanyikazi ni shida kweli je kulipia miradi itakuwa rahisi kivipi?