Tanzania to fund its own projects

Tanzania to fund its own projects

Miradi inajengwa at the expense ya maisha bora ya watanzania.
 
Hakuna pesa wewe! Usiamini hii Serikali ya waongo!!! Fungua akili yako! Za kuambiwa changanya na zako!!!

Miradi haitekelezwi kwa fedha taslimu. Bali kwa awamu baada ya malipo ya awali kutolewa.
 
Tena kwa sasa hizo ongezeko za mishahara msahau,
How can we build a 2100MW HEP Dam kama watu wajinga kama wewe mnasimamia kuongezwa mishahara? Hivi unajua ili nchi irndelee inahitaji Miundombinu thabiti ya Reli na Barabara?
This time tena mfungwe kabisa midomo hakuna kuongeaongea ujinga, tunahitaji maendeleo siasa za ccm na chadema is a wastage of time,
Magufuli ni hadi 2025.

Hivi miaka yoote iliopita waliokuwa wakipayuka kisa uhuru wa KUONGEA tumefika wapi kama NCHI?
 
Back
Top Bottom