Tanzania to fund its own projects

Na hapo Mkuu bado hujatoa recurrent expenditures za kila mwaka kwenye hiyo 40% inayokuwa collected kila mwaka.
Itakuwa vizuri ukileta evidence budget dependence ni 60%! Ninavyojua ni 8% na hivi ndivyo Wastaarabu hu-argue! Leta yako..

$14b draft budget leaves Tanzania in a fix

SATURDAY MARCH 17 2018


A natural gas well site. Tanzania plans to develop major infrastructure projects in the 2018/19 financial year. PHOTO | AFP

In Summary
  • Tanzania has lined up major infrastructure projects that it hopes to implement in the 2018/19 financial year in order to spur economic growth.
  • The government faces a Tsh14.3 billion ($6.3 million) shortfall.


By ERICK KABENDERA
More by this Author
Tanzania is planning to spend Tsh32.5 trillion ($14.3 billion) in the next financial year, even as it struggles to meet its revenue targets in the current one, amid shrinking sources including donor support.

The current financial year’s budget is Tsh31.7 trillion ($14 billion).

The government has lined up major infrastructure projects that it hopes to implement in the 2018/19 financial year in order to spur economic growth.

But questions are now being raised on whether the government will realise its expenditure goals following failure to achieve its revenue collection targets.

During a budget ceiling session with MPs last week, the minister for Finance and Planning, Dr Phillip Mpango said poor tax collection was caused by tough conditions imposed by foreign lenders and a change in policies governing foreign assistance.

Revenue collection in the 2016/7 financial year reached Tsh20.64 trillion ($8.98 billion) against a target of Tsh27.42 trillion ($13.26), according to an overview by Hanif Habib and Co certified public accountants. That was a performance rate of 75 per cent.

In the current financial year, the government expects a performance rate of 85 per cent but will still face a Tsh14.3 billion ($6.3 million) shortfall.

The government had hoped to significantly increase domestic revenue collections and reduce dependence on budget support.

Instead, it is now counting on the Development Co-operation Framework (DCF) which is expected to revive poor relationship between the government and development partners. The framework was mediated by former AfDB president Donald Kaberuka who led the government and development partners in addressing the constraints affecting development co-operation.

“The government will continue to improve relationships with the development partners using the DCF with the aim of increasing investment, production, jobs and subsequently revenue collection,” said Dr Mpango.

Revenue collection

Despite donors not meeting their commitments last financial year, the government expects to raise Tsh2,676.6 billion ($1.1 billion) from development partners which is equivalent to eight per cent of the proposed budget total funding.

At 6.8 per cent economic growth registered by September 2017, Dr Mpango said Tanzania’s economy is growing faster than any of its East African member states. The mining sector contributed the highest to growth at 20.3 per cent despite government introducing major policy changes in the sector.

The government said that water distribution in urban areas increased to an average of 79 per cent, electricity to 67.5 per cent and that 3,306 industries had been built.

Domestic revenue increased to Tsh1.3 trillion ($574 million) on average per month from Tsh850 billion ($375,266,000) in 2015.

The government further said that the focus of 2018/2019 budget will be on the Rufiji hydropower project on which it has already spent Tsh3.2 billion ($1,412,760) for feasibility studies, standard gauge railway project whose implementation is expected to reach 15 per cent by June, and reforming its national carrier for which the government has already paid Tsh7.85 billion ($3,465,690) for purchasing new aircrafts.

However, these same projects were highlighted in the 2017/2018 budget estimation except the construction of the liquefied natural gas plant.

$14b draft budget leaves Tanzania in a fix
 
Mambo mazuri sana. Tusubiri actions tu. Kuanza ndiyo hatua na ndiyo pagumu.
 
Its Shocking to see Tanzanians Complain about Little Salary Increament by GoT. In Kenya, Salaries are being REDUCED, Nurses, Teachers and doctors who strike due to salary issues are fired!
I think JPM is very right to ban free speech, these kind of tanzanians should not be allowed to speak, their ignorance is contagious and a threat to national security!
 
Gosh! Stop pretending that you know me!! Who told you that I am employed by the government? That is the main problem with you people with low levels of IQ to kake comclusion on something that you know nothing about.

Nikiandika hapa huwa saindiki kuhusu mimi naandika kuhusu Watanzania sijawahi kuajiriwa na Serikali na wala sina mpango wa kuajiriwa na Serikali acha dhana yapo potofu ya kudhani ninapoandika kuhusu kutoongezewa mishahara wafanyakazi wa Serikali inanihusu mimi.

It seems your Biggest Problem is Low Salary and No Increament. Do this,
1) Quit Gvt work, Go into business, High risk high returns
2) Stop living a life that you cannot afford.
 



Im a Tanzanian but this is holy bullshit...

Nchi gani ilisha-fund their own infrastructure from China to Brazil?

Bunch of hyenas!
 
Acha upumbavu wewe taahira mkubwa. Hivi unajua katika kila shilingi inayokusanywa na TRA ni kiasi gani kinaenda kulipia riba badala ya kulipia gharama za maendeleo nchini? Umeshasikia onyo kutoka WB na IMF kuhusu Serikali kuendelea kukopa nje ya uwezo wake?

DAR ES SALAAM, Jan. 12 (Xinhua) -- The International Monetary Fund (IMF) on Friday stepped up its warnings against economic slowdown in Tanzania, saying the government needs to take urgent measures to reverse the downward trend.

DAR ES SALAAM, July 20 (Reuters) - The International Monetary Fund told Tanzania on Wednesday to curtail public spending as it seeks to invest in several major infrastructure projects and urged it to implement structural reforms.

Tanzania’s new president, John Magufuli, wants to invest in a number of projects, including construction of a new standard gauge railway, ports, airport, roads and the revival of the cash-strapped national airline.


But the IMF warned that Tanzania needs to prioritise its development plans and avoid spending beyond its means.

DAR ES SALAAM, Jan. 12 (Xinhua) -- The International Monetary Fund (IMF) on Friday stepped up its warnings against economic slowdown in Tanzania, saying the government needs to take urgent measures to reverse the downward trend.

"Tax revenue collections are lower than expected and credit growth has stagnated reflecting in part banks' rising non-performing loans (NPLs)," said the statement.


Sikurupuki mie juha wewe na ushahidi wa kile nilichoandika nakuwekea hapa mpumbavu mkubwa. Wapumbavu kama wewe ndiyo mnamvimbisha kichwa huyodhalimu na sera zake za kukurupuka zinazoliyumbisha Taifa.



We jamaa ni nyumbu sijawahi ona aisee.. We unajua deni letu ni asilimia ngapi katika uchumi wote?? Yani unaongea Pumba za mwisho Duniani..
 
Umeongea utumbo tuu.. Nimekuuliza Deni letu ni asilimia ngapi ya uchumi wetu wote??? Au kama kiswahili kinakupa tabu basi what's our Country's debt to GDP ratio?? Na ni kiwango gani ambacho nchi ikifikia kwa madeni IMF wanakuweka kwenye kundi la hatari linaloweza kusababishwa kushushwa uwezo wako wa kukopa?? Kama huwezi kujibu hili swali hapo ulipo paza Sauti useme wewe ni kiongozi wa nyumbu..
 
Sasa kama hakuna shortage kwenye budget iweje haya yatokee ya Serikali kushindwa kutoa bajeti husika katika wizara zote za Serikali? Eti unavyojua wewe!!! Hahahahahahaha lol! Tangu lini umekuwa Sheikh Yahya na kuanza kutabiri kuhusu mambo ya Serikali? Serikali ambayo ni ya kweli KAMWE haiwezi kuviogopa vyombo vya habari waloa Bunge lake.

Ukiona Serikali inaminya uhuru wa Bunge lake na vyombo vya habari ujue Serikali hiyo inaficha UOZO mwingi sana ambao hawataki ujulikane kwa Wananchi kwa kuhofia hasira za Wananchi kwa Serikali husika na vyombo vya habari pia kuminywa katika kuwa huru kwenye kusambaza habari muhimu kuhusu Serikali.

Saturday, November 19, 2016
Revealed: Govt projects underfunded






In Summary
A Bank of Tanzania (BoT) report has established that the government released only Sh387 billion for development projects, down from Sh824.4 billion it planned for disbursement in September.

Advertisement

By Deogratius Kamagi @Deogratiuskamagi dkamagi@tz.nationmedia.com
Dar es Salaam. Concerns are rising as development projects are being underfunded and revenue collection is falling.

A Bank of Tanzania (BoT) report has established that the government released only Sh387 billion for development projects, down from Sh824.4 billion it planned for disbursement in September.

BoT’s October 2016 economic review also showed that the government missed its domestic revenue collection target by 16 per cent in the month.

Only Sh82.2 billion of non-income revenue was collected, down from the projected Sh225.7 billion during the period.

The collection income tax target of Sh573.6 billion was missed by 10 per cent. Foreign-financed projects got only Sh100.6 billion instead of the targeted Sh993.6 billion.

The report has shown that the Central Government collected 84.3 per cent of the planned Sh1.3 trillion.

Sh41.2 billion against the target of Sh55.5 billion was collected from Local Government sources.

Grants received were less by Sh400.9 billion. Taxes on imports were Sh27.8 billion below the target.

The goal was also missed in income tax by Sh55.8 billion

Finance and Planning minister Philip Mpango was not immediately available to comment on the trend yesterday. But Mzumbe University economics professor Prosper Ngowi said the decline in revenue has been attributed by the government’s cutting-cost measures.

He said the government would have spent the collected money to stimulate the economy. “It is not healthy to spend below the collected revenue. This reduces the value of money into the circulation. We don’t have to cut costs even for the approved budget.”

Prof Ngowi said failure to return the money collected from economic activities into the circulation through government expenditure would lead to the shrinkage of sources of income that would eventually affect the government itself.

Recently Shadow Finance minister Halima Mdee told Parliament that the government was broke as it has failed to finance even its priority areas.

The Kawe legislator on a Chadema ticket said in her alternative budget framework for 2017/18 that the government had failed even to act on its key priority area of building an industrial based economy. She noted that since the first quarter of 2016 the government had failed to disburse even a single cent out of the Sh40 billion development budget of the ministry of Industry, Trade and Investment.

Earlier, MP Mwita Waitara (Ukonga — Chadema) said if government had not run out of money why it had failed to disburse the constituency funds to all seats.

“I would use the language that our leaders want to hear, that the government is financially sound. But if that is the case, then why the money, which is purely going to development projects in constituencies is yet to be issued? We have already made promises to our voters but we can’t honour them and now they think we are liars,” said Mr Waitara.

Prime Minister Kassim Majaliwa insisted that the government was financially sound.

He insisted that delayed disbursement of the constituency funds should not be taken as a sign of financial problems. “There are priority areas; but I assure all MPs that the money will be issued in due course.”

He also said the government had started issuing funds for development projects.

Meanwhile, the BoT report indicated that the the current account deficit narrowed from $4,910.2 million in the year ending August 2015 compared with $1,912 million in the year ending August 2016. “The improvement was mostly driven by an increase in exports and a fall in imports,” said BoT.

The report indicate that imports decreased by six per cent thus allowing the country to save a lot of its foreign reserves.

“All categories of imports declined, except industrial raw materials. This is partly attributed to an exchange rate appreciation and completion of major projects, such as construction of cement factory, power plants and exploration activities,” reads part of the report.


 
Link iko wapi ya ulichoandika? Inaweza kuwa 2015 unaongelea Leo! IMF latest news hazina on onyo!
 
Huwezi kuelewa nilichoandika mpumbavu wewe. Taasisi muhimu duniani kama WB na IMF zinaionya Serikali kuhusu matumizi kuhusu uwezo wake lakini mpumbavu wewe hulioni hilo. Nyumbu ni babaako na mamaako ndiyo sababu hata onyo la IMF na WB kuhusu kutumia nje ya uwezo wa Serikali wewe taahira hulion tatizo hilo.

 
IMF raises concern over Tanzania's economic slowdown
Source: Xinhua| 2018-01-13 03:43:49|Editor: Zhou Xin


Video PlayerClose

DAR ES SALAAM, Jan. 12 (Xinhua) -- The International Monetary Fund (IMF) on Friday stepped up its warnings against economic slowdown in Tanzania, saying the government needs to take urgent measures to reverse the downward trend.


Hiyo ni habari ya January 18, 2018 Miezi miwili tu iliyopita.


Link iko wapi ya ulichoandika? Inaweza kuwa 2015 unaongelea Leo! IMF latest news hazina on onyo!
 
Kakurupuka kwenda kununua ndege bila kutafakati kwa kina kama kuna wasafiri wa ndege nchini. Matokeo yake ndege hizo zinasafiri tupu pamopja na gharama kubwa za kuziendesha. Ndani ya miaka miwili tu hasara kwa ATCL ni bilioni 223.1 na bado maana ndege nyingine zinakuja July na bila shaka atafanya utafiti wake na kutaka pia ziende chato hata kama zinakwenda tupu.

Matokeo yake ni kwamba hasara ya ATCL itazidi kuwa kubwa kutokana na gharama kubwa za kuziweka ndege hizo angani huku mapato yake yakiwa kiduchu.

PIC: Kampuni ya ndege Tanzania (ATCL) imejiendesha kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo

Tuna pesa nyingi sana!!! Sasa kama una pesa nyingi sana inakuwaje ushindwe kukomboa pangaboi iliyokamatwa kule Canada kwa deni la $40 million na kuiacha ikiendelea kupata kutu?

Ni janga kubwa la Taifa huyo dhalimu mkurupukaji na ushahidi uko kila sehemu. Waliomsukumizia Ikulu hawalitakii mema Taifa la Tanzania na raia wake.


 
Hii ndio sababu comment za nyumbu kama wewe naziruka tu, yani watu kama nyie ni hasara kwa Taifa.. Kukuelewesha MTU kama wewe ni dhambi hata kwa mungu.. Hamuelewagi hata mnachokiongea, mpo mpo tu yani hapa Duniani.. Ngoja nikuache na matahira wenzako mjifurahishe..
 
Sina haja ya kukuelimisha nimeona akili yako ni ndogo mno, wala hata vitu nitakavyokuelezea hutaweza kuvielewa, Baki kwanza kuwa nyumbu ukikua na ukipata elimu ntarudi kuanza kukuelewesha..
 
ZWAZWA huna cha kunielewesha mpumbavu wewe! Nenda kawadanganye MAZWAZWA wenzio pale Lumumba. Unataka kunielewesha UJINGA WAKO taahira wewe!!!! Wapumbavu kama wewe ndiyo mnaifanya Tanzania kuongoza na kuanza kuonekana ni Taifa lenye wapumbavu wengi duniani kuliko nchi yeyote ile.

Usisahau kupita bandarini labda nawe unaweza kuokota vichwa vya treni ambavyo havina mwenyewe kisha ukaviuza kwa Serikali. Ju.ha mkubwa sana wewe.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…