Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Hawa ndio JPM anawaongelea ambao kazi yao ni kunukuu takwimu za kupikwaWajinga kama BAK ndiyo wanataka kukabidhiwa nchi kwa akili hizi, acha CCM iendelee kutawala hadi siku tutakayo kuwa na upinzani wenye akili.
Kuna siasa za upotoshaji, wengine wanatunga hadi story za uongo mwanzo mwisho, ukiruhusu wajinga kama hawa wapate jukwaa la kuropoka wataishia kukupotezea muda tu.Hawa ndio JPM anawaongelea ambao kazi yao ni kunukuu takwimu za kupikwa
Hakuna pesa wewe! Usiamini hii Serikali ya waongo!!! Fungua akili yako! Za kuambiwa changanya na zako!!!
Tena kwa sasa hizo ongezeko za mishahara msahau,
How can we build a 2100MW HEP Dam kama watu wajinga kama wewe mnasimamia kuongezwa mishahara? Hivi unajua ili nchi irndelee inahitaji Miundombinu thabiti ya Reli na Barabara?
This time tena mfungwe kabisa midomo hakuna kuongeaongea ujinga, tunahitaji maendeleo siasa za ccm na chadema is a wastage of time,
Magufuli ni hadi 2025.