rais wako
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 605
- 513
zikiwa zimebakia siku chache kuelekea kile kivumbi na jasho cha mashindano ya african cup of nation kwa vijana waliochini ya miaka 17 huku nchi ya Tanzania ikiwa mwenyeji wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi tarehe 14 mpaka tarehe 28 mwezi huu wa nne, maandalizi yote yamekamilika ikiwa na viwanja vitakavyotumika ambavyo ni uwanja wa mkuu wa taifa (tanzania national stadium) almaarufu kama kwa MKAPA au TAIFA na kiwanja cha Azam complex Chamazi
na pia uwanja wa uhuru ambao utatumika kwa ajiri ya mazoezi ya team shiriki.
mshindi wa kwanza mpaka wa nne wa mashindano haya ataingia moja kwa moja kwenye kombe la dunia la vijana wa chini ya miaka 17 wakiwa kama wawakilishi wa Bara la Afrika, mashindano hayo ya dunia yatakayofanyika nchini Brazil mwaka 2019.
nchi zilifuzu katika mashindano hayo ya AFCON U17 2019 ni
1.Tanzania (mwenyeji)
2.Uganda
3.morocco
4.senegal
5.Guinea
6.cameroon
7.Nigeria
8.Angola
ambapo kutakua na magroup mawili
group A litakua na team za
1.Tanzania
2.Nigeria
3.Uganda
4.Angola
Group B
1.cameroon
2.morocco
3.Guinea
4.Senegal
Sent using Jamii Forums mobile app
na pia uwanja wa uhuru ambao utatumika kwa ajiri ya mazoezi ya team shiriki.
mshindi wa kwanza mpaka wa nne wa mashindano haya ataingia moja kwa moja kwenye kombe la dunia la vijana wa chini ya miaka 17 wakiwa kama wawakilishi wa Bara la Afrika, mashindano hayo ya dunia yatakayofanyika nchini Brazil mwaka 2019.
nchi zilifuzu katika mashindano hayo ya AFCON U17 2019 ni
1.Tanzania (mwenyeji)
2.Uganda
3.morocco
4.senegal
5.Guinea
6.cameroon
7.Nigeria
8.Angola
ambapo kutakua na magroup mawili
group A litakua na team za
1.Tanzania
2.Nigeria
3.Uganda
4.Angola
Group B
1.cameroon
2.morocco
3.Guinea
4.Senegal
Sent using Jamii Forums mobile app