pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Mimi nimeona tu hapo kwa DR. John M! Hivi anakuwaga daktari wa macho, meno, masikio au ni daktari wa mifugo? Nimejiuliza hilo swali siku nyingi tu. 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa cha Magufuli akiwekewa Kenyatta Anakufa within 0 sec.Mimi nimeona tu hapo kwa DR. John M! Hivi anakuwaga dakatri wa macho, meno au ni daktari wa mifugo? Nimejiuliza siku nyingi.
😀😀 Kwanini jombaa, ni kwasababu ya lishepu lake, uzito au frastireshen? 😀Kichwa cha Magufuli akiwekewa Kenyatta Anakufa within 0 sec.
First Class P-C-M imejaa hapo.. Anaakili mpk zimepitiliza.😀😀 Kwanini jombaa, ni kwasababu ya shepu au uzito? 😀
Tulia jirani, nilikuwa natania tu. Ila namheshimu sana rais wenu JPM huwa hanaga time na nonsense. Huku Kenya hangeweza lakini, wakenya kawaida yao ni vichwa vibov. Wangemmaliza kwa stress za kila siku.First quality P-C-M imejaa hapo.. Anaakili mpk zimepitiliza.
AND THIS IS DR. JOHN POMBE MAGUFULI CV || Tanzania News |Tanzania TodayMimi nimeona tu hapo kwa DR. John M! Hivi anakuwaga daktari wa macho, meno, masikio au ni daktari wa mifugo? Nimejiuliza hilo swali siku nyingi tu. 😀
East African Community Secretariat; Arusha, Tanznaia; 07 April 2017:Hakuna serikali ya Afrika Mashariki. Hii ni pasipoti imechukua sura mbili, ya Tanzania kwenda nje ya Afrika mashariki na ya Tanzania kwenda ndani ya Jumuia ya Afrika Mashariki.
Ni kwamba, hapo awali tulikuwa na Pasipoti ya Kawaida (Ordinary Passport) ambayo ilikuwa huwezi kupewa Visa ya zaidi ya miezi mitatu ndani ya Afrika Mashariki wakati huo huo tukiwa na Pasipoti ya Afrika Mashariki ambayo kutokana na makubaliano ndani ya Jumuiya mmiliki wake anaweza kupewa visa ya hadi miezi sita.
Sasa basi, hii mpya ya kielektroniki imeunganisha ya kawaida na ya EA ndio maana ya kuitwa hivyo. Otherwise am standing to be semwasemwaaad
Kujiharishia ni haki yako so go ahead ...idiotim telling you if it were not for kenya hawa watu wangekua nyuma sana,
kufwata tu ,,mara sgr ,mara airline, mara port, mara bomba ,mara new cities ,mara ....etc
kenya ndo benchmark