Maintain some 70 kilometers away monster 👾, we're southerners, gerarahia men from kakumaThere's no brotherhood.... Lol😀😀😀
There's just one country dick-riding the other that's not even aware.😀😀😀
The average South African gives no damn about Tanzania. To the average South African, there is South Africa (that is rich) then there is the rest of Africa (that is poor). Go talk to then about your silly brotherhood when they start killing your poor brothers trying to earn a living down there.😀😀😀
unyang'au proper...this time around hatuwapi nafasi ya kupumua, tunaenda sambamba na nyinyi bampa to bampa.Wameannounce tu wanataka kufunza kiswahili wengine wamejipeleka huko kujipendekeza. No wonder mnadharauliwa huko.
wivu wa kike huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Believe me wengi watakuwa WaKenya, sioni Tz wakitoboa kule kama masomo ya kwao imewashinda ya south afrika wataweza na zile ze ze zeze zao?
This means you've always been envious of our unyang'au. No wonder mnatuchukia.unyang'au proper...this time around hatuwapi nafasi ya kupumua, tunaenda sambamba na nyinyi bampa to bampa.
mlitudharau sana enzi za utawala wa jk.
Watanzania kwa mdomo hawajambo. Kote kote duniani Kiswahili hufunzwa na Wakenya wakiongozwa na hayati Proff. Ali Mazrui, hapa wako tu kujisifu jinsi wao huongea kiswahili bora. Kiswahili chenyewe wanachoongea ni madhalau, foreni na chibudi chibude hadi unashangaa kama hicho ndicho Kiswahili sanifu.
Wivu ama ukweli? Wewe si unasema ulikuwa Kenya, je ulipona Barabara zilizoko hapa Kenya, je kuna kama hizo Tz?wivu wa kike huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti wakiongozwa na hayati, huu ujinga na upumbavu hamtapona walahi.Watanzania kwa mdomo hawajambo. Kote kote duniani Kiswahili hufunzwa na Wakenya wakiongozwa na hayati Proff. Ali Mazrui, hapa wako tu kujisifu jinsi wao huongea kiswahili bora. Kiswahili chenyewe wanachoongea ni madhalau, foreni na chibudi chibude hadi unashangaa kama hicho ndicho Kiswahili sanifu.
Muda wa decades sio years my Friend.Unawaongelea watanzania wepi ??...
Hao walioishi kwenye ujamaa huku wamefungiwa ndani ya nchi
Hao waliokuwa wasomi wachache waliosoma katika vyuo vikuu vilivyohesabika
Au unawaongelea wale waliokuwa wakisoma wanapata ajira moja kwa moja...
Braza haujui kuwa watanzania wanaiona SADC hasa RSA kama nchi isiyo na ugumu kwenda na ndo maana wanapaita bondeni...
siku hizi kuna graduates wengi kuliko uwezo wa serikali kuwaajiri, kuna social networks kibao zinazofanya access ya taarifa kuwa rahisi, watu wanatafuta green pastures kama vichaaa na kama hili limevaliwa njuga na serikali bhasi jiandaeni kwa maumivu.. wakenya ni lazma muwepo ila kuwa wengi kuwazidi waTz ..hilo muda utaamua
mbona kama unataka kunilazimisha nikupe jibu unalotaka wewe?Wivu ama ukweli? Wewe si unasema ulikuwa Kenya, je ulipona Barabara zilizoko hapa Kenya, je kuna kama hizo Tz?
Most doctors, teachers, lecturers and other professionals in SA are Kenyans.Ahaaa haaa haaa
the poor Swahili teachers try to give a feel good story.
Teh teh teh tihiii
we don't need to rumble just wait and see where the RSA will go to ask for teachers.
Kwasababu hilo jibu linakuumiza sana.mbona kama unataka kunilazimisha nikupe jibu unalotaka wewe?
linaniumiza?!!... smh [emoji23] [emoji23]Kwasababu hilo jibu linakuumiza sana.
Sasa tunawashukuru sana,Kenya has been pushing adoption of Kiswahili as a lingua franca for Africa. Due to Kenya's influence and visibility internationally, Kiswahili is slowly gaining ground. Kenyans pushed twitter to have Kiswahili as one of the language, it succeeded, Kenya petitioned AU to have it as one of the language, it succeeded, Other example where Kenya has worked hard to have Kiswahili adopted is Google, Facebook, Microsft, etc . Kenya is the real force behind visibility of Kiswahili. Tanzania has nothing to do with all these. Inatazama tu!
Bararbara ulizo pitia hujawahi kuziona Tz sio?😉😉linaniumiza?!!... smh [emoji23] [emoji23]
Kwa hili la kiswahili mmeangukia puaMost doctors, teachers, lecturers and other professionals in SA are Kenyans.
Una cheti?Ngoja nifungashe nisepe zangu bondeni daaahhh [emoji6][emoji6]
Angalia dunia mzima wacha hata SA walimu wengi wa kiswahili ni Wakenya. Najua inauma lakini huu ndio ukweli.Kwa hili la kiswahili mmeangukia pua