Tanzania to support S. Africa in teaching Kiswahili: minister

Maintain some 70 kilometers away monster 👾, we're southerners, gerarahia men from kakuma
 
Niite mswahili na siyo mswahili nusu nusu nakipenda kiswahili u-magharibi haunihusu

Tema ng,eng,e nizue vita hapa na ukija kakadege nakuja kama mnyapa kwa lugha nakuchapa mbele ya wenzako.. Mswahili.

Bila shinikizo hii lugha mim naipenda ntaipgia chapuo popote napokwenda ntaisambaza kwa sanaa miongo kwa miongo nisalie kuwa shujaa kama fumo liongo..
 
..wa-Sauz nao waje Tanzania kutufundisha KIINGEREZA
 
Wameannounce tu wanataka kufunza kiswahili wengine wamejipeleka huko kujipendekeza. No wonder mnadharauliwa huko.
unyang'au proper...this time around hatuwapi nafasi ya kupumua, tunaenda sambamba na nyinyi bampa to bampa.

mlitudharau sana enzi za utawala wa jk.
 
Believe me wengi watakuwa WaKenya, sioni Tz wakitoboa kule kama masomo ya kwao imewashinda ya south afrika wataweza na zile ze ze zeze zao?
wivu wa kike huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
unyang'au proper...this time around hatuwapi nafasi ya kupumua, tunaenda sambamba na nyinyi bampa to bampa.

mlitudharau sana enzi za utawala wa jk.
This means you've always been envious of our unyang'au. No wonder mnatuchukia.
 
wivu wa kike huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu ama ukweli? Wewe si unasema ulikuwa Kenya, je ulipona Barabara zilizoko hapa Kenya, je kuna kama hizo Tz?
 
Eti wakiongozwa na hayati, huu ujinga na upumbavu hamtapona walahi.
Hayati anaongoza walimu wa Kenya.
 
Muda wa decades sio years my Friend.
 
Wivu ama ukweli? Wewe si unasema ulikuwa Kenya, je ulipona Barabara zilizoko hapa Kenya, je kuna kama hizo Tz?
mbona kama unataka kunilazimisha nikupe jibu unalotaka wewe?
 
Ahaaa haaa haaa
the poor Swahili teachers try to give a feel good story.
Teh teh teh tihiii
we don't need to rumble just wait and see where the RSA will go to ask for teachers.
Most doctors, teachers, lecturers and other professionals in SA are Kenyans.
 
Asante waziri, William Ole Nasha..

Watanzania wakamate hii fursa mara moja.

Hakuna nchi yoyote duniani, Afrika, na Afrika mashariki yote yenye kuzungumza Kiswahili fasaha kama Tanzania.
 
Kenya has been pushing adoption of Kiswahili as a lingua franca for Africa. Due to Kenya's influence and visibility internationally, Kiswahili is slowly gaining ground. Kenyans pushed twitter to have Kiswahili as one of the language, it succeeded, Kenya petitioned AU to have it as one of the language, it succeeded, Other example where Kenya has worked hard to have Kiswahili adopted is Google, Facebook, Microsft, etc . Kenya is the real force behind visibility of Kiswahili. Tanzania has nothing to do with all these. Inatazama tu!
 
Sasa tunawashukuru sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…