Wewe dunia nzima umeingalia wapi? Kwa takwimu walimu kutoka Tz ndiyo wametapakaa kufundisha kiswahiliAngalia dunia mzima wacha hata SA walimu wengi wa kiswahili ni Wakenya. Najua inauma lakini huu ndio ukweli.
If so then Good, you did a good job for us.Kenya has been pushing adoption of Kiswahili as a lingua franca for Africa. Due to Kenya's influence and visibility internationally, Kiswahili is slowly gaining ground. Kenyans pushed twitter to have Kiswahili as one of the language, it succeeded, Kenya petitioned AU to have it as one of the language, it succeeded, Other example where Kenya has worked hard to have Kiswahili adopted is Google, Facebook, Microsft, etc . Kenya is the real force behind visibility of Kiswahili. Tanzania has nothing to do with all these. Inatazama tu!
Weka data nikupige kichapo cha mbwa.Wewe dunia nzima umeingalia wapi? Kwa takwimu walimu kutoka Tz ndiyo wametapakaa kufundisha kiswahili
Sana mkuu hata bakita wanajua hilo [emoji4] labda paspot na vizaUna cheti?
Kiufupi ni kwamba sio wakenya ndiyo wanaojua kiswahili kwani ni wasomi wachache sana wa kiswahili Kenya ukilinganisha na Tz, ila tatizo linalotuzuia sisi Tz tusipate fursa ni urasimu was kupenda rushwa hasa kwa wale wanaopata michongo hii, mtu anataka uumpe miloni 2 ili akuunganishe wakati hata laki tano ya mtaji wa mpesa huna [emoji22] [emoji22] [emoji22] unafanyaje hapoAngalia dunia mzima wacha hata SA walimu wengi wa kiswahili ni Wakenya. Najua inauma lakini huu ndio ukweli.
wabongo kuingia SA, haina VISA Mkuu! Wee andaa Passport tuSana mkuu hata bakita wanajua hilo [emoji4] labda paspot na viza
Powa sana mkuu ngoja nifanye hivyowabongo kuingia SA, haina VISA Mkuu! Wee andaa Passport tu
Kuna jamaa anaitwa shibekijijini aliaga humu anaenda huko.... thou hajawahi kurudisha mrejesho lkn ni vizuri ukaanza uswahiba nae pm ili upate pa kufikia!Powa sana mkuu ngoja nifanye hivyo
Kwani we mkuu haupo huko [emoji4]Kuna jamaa anaitwa shibekijijini aliaga humu anaenda huko.... thou hajawahi kurudisha mrejesho lkn ni vizuri ukaanza uswahiba nae pm ili upate pa kufikia!
Mkuu mi nipo Misugusugu, karibu sanaKwani we mkuu haupo huko [emoji4]
Wewe mbona hujaweka picha ya dunia nzima nikupige kichapo cha panyaWeka data nikupige kichapo cha mbwa.
Stop fooling yourself once in your life. Our minister had not spoken out of nowhere, but from the extensive consultation with their South African counterparts.
mlivyo fast, kesho tutasikia nu imesaini mkataba na ministry of educaton ya sa. mkawafundishe sheng.
Nakumbushia tuu.Nimefuatilia kumbe SA walishatuma maombi kitambo ya Swahili teachers. Hili deal letu uzuri siku izi hakuna kulala.
Walimu wanaofundisha kiswahili sekondari walisoma HKL hivyo kiingereza hakiwapigi chenga.Walimu watakaoenda pia wanatakiwa wajue kutema yai...la sivyo huko darasani Lugha zitakuwa gongana.
Wewe hujui walimu wa kiswahili hua wanasoma na English-language, Au kiswahili na history so kingereza wanajua japo hakina uzito sana kilingana na kazi wanayoenda kuifanyaWalimu watakaoenda pia wanatakiwa wajue kutema yai...la sivyo huko darasani Lugha zitakuwa gongana.
Eti dunia nzima lol Mwasit kapike tuAngalia dunia mzima wacha hata SA walimu wengi wa kiswahili ni Wakenya. Najua inauma lakini huu ndio ukweli.
Ushamba mzigo sasa hii inahusiana nn na kiswahili?Bararbara ulizo pitia hujawahi kuziona Tz sio?😉😉
Je bwana Kadoda uliona na kupitia hapa?
View attachment 871996
Yaaani kuingia SouthAfrica ni kama kwenda Kampala na Nairobi.Ahaaa haaa haaa
RSA wanajua fika wapi watatoa walimu wa lugha hiyo adhimu ya kiswahili.
acha tukafundishe bana, na hivi visa ni bure, MAMBO ni mujarabu.
Teh teh teh tihiii
Jamaa yangu nakuonea mpaka huruma duh.....Sisi watu wa ajabu sana
Badala ya kutafuta soko la kahawa, korosho , mbaazi , karafuu , tumbaku nk tunakwenda kuomba tupeleke walimu wa kiswahili ambapo kiukweli walimu ni suala la uwezo na qualification. Na sana mtapeleka walimu wangapi ? Kwani SA wanataka kuongea Kiswahili ?
Sana watachukua walimu wa 5 !