Tanzania tops East Africa in poverty.

No such kind of English..but ok,good night!
 
I use this when i wanna deal with fools, the dudes who are coming my way to complete my deals,the dudes who can't walk the swahili way
In this forum everybody understand Swahili, so why are you using Queen's language?
 
"Sasa learn how write"si uelewe tu ni makosa ya uandishi ..mtu akikosea kingereza km unakielewa utajua,na pia vile vile km ni makosa tu ya uandishi utaelewa tu..wenye akili kubwa nadhani watanielewa
 
Asa ww mkuu kumbe unalielewa hilo??
Huyo mwenzako Teargrass hujifanya mjuaji sana to the infinity.
"Sasa learn how write"si uelewe tu ni makosa ya uandishi ..mtu akikosea kingereza km unakielewa utajua,na pia vile vile km ni makosa tu ya uandishi utaelewa tu..wenye akili kubwa nadhani watanielewa
 
Kwhyo unapinga km kuna wakenya wamewazidi hao wahindi na wazungu kw kila kitu...sio km nyinyi hko...ukitaja moh..basi hamna ka yeye..kawafinika watanzania wote weusi
We jamaa kwa kuropoka hujambo.
 
Swali ni kwamba anatekeleza hatekelezi?!
Na kabla ya utekelezaji hali ilikuaje?!
Na pia nchi aliikutaje?!
Na kwa alivyoikuta nchi ulitegemeaje afanye vitu kwa mkupuo?!
Na je,kabla ya utekelezaji wa hili na wakat wa utekelezaji,wakat upi ni nafuu??
Hakuna nafuu wakati idadi ya watu inakua kuliko huduma huku viwango vya umaskini havishuki,imagine madaraja ya juu ya ziwa au sgr etc vitapunguza vipi maskini?
 
Acha upumbafu..tofaut za data unaweza kuzionaje kwa observation tu ya maisha ya watu?
 
Na wewe unayeropoka bila kudadisi mambo huijui Rift valley railway pia inakua Kwa Kasi Sana halafu pia kuna new kid in the room SGR , and stop shouting you are not quarrelling .
 
Hakuna nafuu wakati idadi ya watu inakua kuliko huduma huku viwango vya umaskini havishuki,imagine madaraja ya juu ya ziwa au sgr etc vitapunguza vipi maskini?
Hv haujui km ongezeko la miradi ni ongezeko la pato la taifa ??
It means pato la taifa litakuwa kubwa na bajeti itakuwa na hela toshelezi kutekeleza huduma za kijamii.
Halafu usiseme hakuna afadhali ilhali kuna vijiji vilikua havina ht dispensary ndio vimepatiwa awamu hii.
 
Acha upumbafu..tofaut za data unaweza kuzionaje kwa observation tu ya maisha ya watu?
Na ukweli wa data unawezaje kuuona pasi na reality husika ya maisha ya watu??
We mfano kwenu huko wanatoa takwimu kuwa Turkana inaongoza kwa social development in kenya.
Then ukienda kutembelea Turkana unaona kuna unpassable roads,unsafe and inadequate water and food insecurity.
How does the life or situation you met at Turkana reflects the data of Turkana been the well in social development ??
 
Kwhyo unapinga km kuna wakenya wamewazidi hao wahindi na wazungu kw kila kitu...sio km nyinyi hko...ukitaja moh..basi hamna ka yeye..kawafinika watanzania wote weusi
Wewe kenya mmemzid muindi yupi??
Au mwarabu yupi??
Asa nyie didanganyeni,hakuna mkenya wa kumzidi mwarabu hela.Wale mafala hawana umaarufu ila wana hela kuliko watu maarufu.
Huku wamekuja kukaa tu,hela zao wamewekeza kwao wale ohooo.
Mfano manji Tz ana $ 50 millions.
Ila huko kwao ana more than wealth of $ 2 billions.
Kaka huwez mshinda mwarabu kwa hela.
Usiseme kisa Anerlisa maarufu na net worth yake yajulikana $ 900 millions ukasema kawazid waarabu wakaao Kenya laaa.
Wenzenu nchin wameficha Mamilion ya Dinar.
Sisi huku mtaan kuna mwarabu aliunguliwa nyumba.
Asa katika kuzima moto aliita maaskar wakawa wanatoa hela ktk handaki.
Hakuna dollar babake.
Yalitoka makablasha ya kujaza nusu suzuki carry ya Dinar tuu.Hela ambayo lazma uwe na dollar mbili unusu upate Dinar moja.
Hawa watu sio poa.
Achana nao.
 
Na wewe unayeropoka bila kudadisi mambo huijui Rift valley railway pia inakua Kwa Kasi Sana halafu pia kuna new kid in the room SGR , and stop shouting you are not quarrelling .
Ah that new stubborn kid Sgr anayewaletea hasara daily ??
Hongereni kwa kumpata mtoto asiyefunzika na mama daily kutia hasara.
 
We kweli kanjanja,GDP growth inatakiwa angalau iwe mara mbili ya population growth ndio hicho unachoongea kutaleta maana lakini kwa sasa hali ni kinyume chake afu mbaya zaidi sekta zinazokua ndo kama hizo madaraja ya bahari na maziwa sijui ndege kwa nini maskini wasiongezeke zaidi?
Wakulima,wafanyabiashara,wafugaji,uvuvi ajira huduma za jamii ni hoi,hujamsikia PM juzi anasikitika kila watzn 100 mmja tu ndio graduate wakati kwa Uganda na Kenya ni watu 4 kumbuka pia Tzn pia ina watu wengi zaidi simply mbulula ni wengi,sasa mbulula atachangia nini kwenye nchi zaidi ya kuwa mzigo ikiwa msomi ndo kama wewe hivi 😫😫😫😫
 
These are base points as defined by the national poverty line boundary.
 
Kenya mna akili fupi sana aiseee.
Labda nikuulize,
Hii Tz imetokea wapi na inaenda wapi ??
Unafaa kujiuliza hvyo nyang,au wewe.
Hii nchi imekutwa ni mbovu usipime.
Acha usizungumzie madaraja.
Tuzungumzie kuboreshwa kwa metre gauge TRC na kufufua reli ya kanda ya kaskazini na kanda ya pwani(Tanga na kwingineko).
Hii itafanya ajira iongezeke kwasababu watu watatakiwa kufanya kazi ktk maeneo ambayo reli itafufuliwa.
Pia pato la taifa litaongezeka kulingana na shughuli za reli zitakavyoongezeka,km ubebaji abiria na mizigo kuelekea kanda ya kaskazini na pwani.
Vivo hvyo tukiiangalia ATCL kama itaboreshwa pato la taifa litaongezeka pia.
Na standard gaguge ikikamilika vivyo hvyo.
Kumbuka kuwa social development is brought by economic development.
Usitegemee huduma za jamii zitolewe sufficiently ilhali pato la taifa duni,embu tumia akili.
Na inachojitahidi serikali ni kuongeza vyanzo vya pato la taifa ili iweze kutoa huduma za kijamii kwa uhakika.
Ndio maana nampongeza jamaa kwasababu alivyoikuta nchi na. Alipoipeleka ni afadhali.
Huijui Tz imetokea wapi ww.
1)Vifaa tiba hafifu serikali imejitahidi imeongeza.
2)Dawa hafifu serikali imejitahidi imeongeza.
3)kuna maeneo aibu hayakufikiwa na huduma za afya wala za maji serikali imejitahidi imeweka.

Tofauti na awamu iliyopita pesa zinakopwa halafu zinaingia mikononi mwa watu.
Awamu hii inataka kuepuka kukopa kwingi ndio maana wanaboresha MIUNDOMBINU ilimradi wawekeze ktk viwanda na pato la taifa liongezeke ilimradi wafanye mambo yao ya kimaendeleo pasi na. Kukopakopa kwa whites.
Wafaa lielewa hilo bwege wewe.
Hayo madaraja yaachwe yajengwe watu tulikua tunachelewa sehem zetu za uzalishaji mali.
Mfano unafanya kazi Posta unakaa kigamboni kisiwani.
Kazini ama sehem yako ya kujiajiri unatakiwa uwahi saa mbili subhi uwe umefungua.
Inakutaka uzunguke utokee kongowe mpk utoboe mbagala masaa manne yashakupotea mpk kufika posta.
Kama mfanyakaz boss unae km umejiajiri hutozalisha faida itakikanayo.
Ila daraja kuwepo limerahisisha piga shortcut unawahi ktk deal zako unatengeneza faida na pato lako lawa sawa na mpk hela ya kodi kwa taifa unapata.
USIANGALIE TU SASA HV NCHI IKOJE,ITAZAME IMETOKEA WAPI.
NA NAONA UNATOLEA MFANO MADARAJA TU,MBONA MIRADI KAMA STIGLERS GORGE,STANDARD GAUGE,METRE GAUGE HUIZUNGUMZII MZEE BABA??
NI SAWA NA WW ULIKUA UNASHINDIA MLO MMOJA WA ANDAZI MIAKA ILIYOPITA,KUFIKA MWAKA HUU UKAONGEZA MLO MMOJA IKAWA MIWILI NA UKAWA UNA KULA MAANDAZI MATATU,UNAFAA KUJIPONGEZA NA. KUONGEZA SPEED UFIKE MBALI ZAIDI KWANI KIPINDI CHA NYUMA ULIKUA UNA HALI MBAYA SANA.
NDICHO KINACHOTOKEA AWAMU HII YA MAGUFULI.
HII NCHI ILIKUA PABAYA.
AU WW ULITARAJIA VUUUP UCHUMI UKUE TU??
AU WW ULIPOANZA KAZ MWEZ WA. KWANZA HAPOHAPO UKAJENGA NA KUPATA GARI?
ACHAGA UJINGA MAZEH
 
Au hizo ndege unazozitaja pato linaenda wapi,kwa bakhresa au??Pato si linaingia serikalini??
Au hujui kuwa shirika la ndege likiboreshwa zaidi litavutia ht soko la utalii na kuongeza pato la taifa,au hujui km hiko ni chanzo cha moja wapo miongoni mwa vyanzo vya taifa??
Embu tumia akili kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…