Tanzania tuchukue tahadhari kuzuia wakimbizi toka Rwanda

Tanzania tuchukue tahadhari kuzuia wakimbizi toka Rwanda

kaputula

Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
97
Reaction score
128
Kuna kila dalili kuzuka vita kati ya DR Congo na Rwanda. Nchi kubwa ya Congo inaweza kuamua kupigana vita na Rwanda ambayo ni ndogo kabisa kulinganisha na DRC.

Mwanzo wa vita pamoja na kiburi na kujiamini kwa watutsi wenye kutawala Rwanda DRC inaweza kuwavuruga vibaya. Pamoja na uzembe ufisadi na uongozi usiokidhi wananchi wa Congo wana chuki kubwa na Rwanda na kwa muda mfupi wanaweza kuharibu na kuleta maafa Rwanda kwa kutumia mizinga ya masafa marefu na missiles.

Nchi ndogo ya Rwanda inaweza kujikuta kumiminika watu wake kwenye mipaka ya Tanzania. watanzania hatuhitaji wakimbizi wenye hila mbaya na kisasi kisichoisha.

Pia wananchi wa Rwanda wa mbari ya kibantu ambao ndio wengi wanaweza kuchukua fursa kujikomboa toka ubeberu na ukaburu wa kitutsi na kuzuka mgogoro mkubwa kwenye mpaka na nchi yetu.

Kutokana na hivyo yafaa nchi yetu kujiandaa kuzuia wakimbizi wasiingie nchini kwetu wamalizane huko kwao maana hawa watu kazi yao imekua kuvusha matatizo yao nchi jirani.
 
hivi vita siyo vya mnyarwanda wala mkongo,ni sehemu ya vita vya mabeberu katika kugombea rasmali na utajiri uliopo Africa.Kila kikundi kinapigania maslahi ya matajiri Fulani.Ni wakati wa kuamka kwa viongozi wetu wasitumike vibaya na mabeberu.Hawa wazungu Mbinu wanayotumia ni ya zamani sana ya Divide and rule(plundering and rooting)iliyoasisiwa na Lord Lugard.Bado wanaweza wakajichotea Mali bila vita na kusumbua wamama na watoto wasio na hatia...Hii ndiyo neo-colonialism....Wake Up Africa
 
Kuna kila dalili kuzuka vita kati ya DR Congo na Rwanda. Nchi kubwa ya Congo inaweza kuamua kupigana vita na Rwanda ambayo ni ndogo kabisa kulinganisha na DRC.

Mwanzo wa vita pamoja na kiburi na kujiamini kwa watutsi wenye kutawala Rwanda DRC inaweza kuwavuruga vibaya. Pamoja na uzembe ufisadi na uongozi usiokidhi wananchi wa Congo wana chuki kubwa na Rwanda na kwa muda mfupi wanaweza kuharibu na kuleta maafa Rwanda kwa kutumia mizinga ya masafa marefu na missiles.

Nchi ndogo ya Rwanda inaweza kujikuta kumiminika watu wake kwenye mipaka ya Tanzania. watanzania hatuhitaji wakimbizi wenye hila mbaya na kisasi kisichoisha.

Pia wananchi wa Rwanda wa mbari ya kibantu ambao ndio wengi wanaweza kuchukua fursa kujikomboa toka ubeberu na ukaburu wa kitutsi na kuzuka mgogoro mkubwa kwenye mpaka na nchi yetu.

Kutokana na hivyo yafaa nchi yetu kujiandaa kuzuia wakimbizi wasiingie nchini kwetu wamalizane huko kwao maana hawa watu kazi yao imekua kuvusha matatizo yao nchi j
Tuwafukuze wakimbizi vipi?
Refugees go to the nearest place they can run to.
 
Hakuna jeshi la DRC lenye uwezo wa kujaribu kuishambuliai Rwanda, hao DRC wenyewe wanatiatia huruma tu.
 
Hawa jamaa wanajiona wa maana sana na wa viwango vya juu.Shida inaanzia hapo,ukabila na ujuaji,
Wakipigwa na DRC itakuwa sawa tu kwanza nashangaa uvumilivu wa miaka mingi wa DRC!
 
Mkuu hivi wewe unaitamazaje Rwanda?
Unaitazama kwa perspective view ya udogo wake!
How far are you sure na Rwanda ina makombora ya masafa ya kufika Kinshasa?
Huenda Congo inapumua kwa sababu ya Jeshi letu bora JWTZ na MUNUSCO!
Uwezo wa kijeshi wa nchi hautegemei ukubwa au udogo wa nchi.
Mkuu Tuombee AMANI ipatikane kati ya Congo na Rwanda.
 
Hao mwaka 93 walitwangana huko na wako kigoma mpaka leo.
Wacongolee, watutsi,hutu bantu, wote wapo hapo mjini na waethiopia na waeritrea, Somalia pia.
Wako mtaa wa Congo na msimbazi hapo wanauza second hand things.
Sioni hata la ajabu hapo
 
Kuna kila dalili kuzuka vita kati ya DR Congo na Rwanda. Nchi kubwa ya Congo inaweza kuamua kupigana vita na Rwanda ambayo ni ndogo kabisa kulinganisha na DRC.

Mwanzo wa vita pamoja na kiburi na kujiamini kwa watutsi wenye kutawala Rwanda DRC inaweza kuwavuruga vibaya. Pamoja na uzembe ufisadi na uongozi usiokidhi wananchi wa Congo wana chuki kubwa na Rwanda na kwa muda mfupi wanaweza kuharibu na kuleta maafa Rwanda kwa kutumia mizinga ya masafa marefu na missiles.

Nchi ndogo ya Rwanda inaweza kujikuta kumiminika watu wake kwenye mipaka ya Tanzania. watanzania hatuhitaji wakimbizi wenye hila mbaya na kisasi kisichoisha.

Pia wananchi wa Rwanda wa mbari ya kibantu ambao ndio wengi wanaweza kuchukua fursa kujikomboa toka ubeberu na ukaburu wa kitutsi na kuzuka mgogoro mkubwa kwenye mpaka na nchi yetu.

Kutokana na hivyo yafaa nchi yetu kujiandaa kuzuia wakimbizi wasiingie nchini kwetu wamalizane huko kwao maana hawa watu kazi yao imekua kuvusha matatizo yao nchi jirani.
drc hawaiwezi rwanda kwa lolote
 
Back
Top Bottom