The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hello members.
Hivi karibuni nchi ya Uganda imeanza ujenzi wa barabara za kimkakati zinazolenga kukuza biashara baina yake na nchi ya DRC Congo..
Barabara hizo zinajengwa ndani ya Mipaka ya DRC kwa makubaliano maalumu na kuharakisha kukuza biashara na uchumi.
Kwa mtizamo wangu ,hili ni wazo zuri na la kiubunifu wamefanya Uganda badala ya kusubilia DRC wajenge wenyewe.
Hii ni mbinu nzuri ya kibiashara ambaya Tanzania tunaweza kuiga na kujenga barabara na hata bandari zinazoweza kukuza biashara na kuimarisha usalama baina ya Tanzania na nchi jirani hususana DRC,Msumbiji na Burundi..
Kwa sababu unakuta kuna maeneo tumefikisha barabara lakini upande wa pili wao sio kipaombele au hawana pesa ni vyema tukawajengea kwa makubaliano maalumu.Wakati wanatulipa taratibu basi na biashara zinasonga.
Mfano Serikali imejenga bandari nyingi Sana tena kwa mabilioni ya Shilingi Ziwa Tanganyika na baadhi ya barabara za lami kufika kwenye hizo bandari .Bahati mbaya upande wa pili hakuna cha barabara wala bandari za maana mwisho wa siku miradi yetu inageuka kuwa tembo mweupe.
Tukitumia hii mbinu ya Africa kwa Afrika itasaidia Sana kutufikisha kwenye maendeleo ya fasta.Hongera Uganda kwa kuonyesha njia.
👇
Hivi karibuni nchi ya Uganda imeanza ujenzi wa barabara za kimkakati zinazolenga kukuza biashara baina yake na nchi ya DRC Congo..
Barabara hizo zinajengwa ndani ya Mipaka ya DRC kwa makubaliano maalumu na kuharakisha kukuza biashara na uchumi.
Kwa mtizamo wangu ,hili ni wazo zuri na la kiubunifu wamefanya Uganda badala ya kusubilia DRC wajenge wenyewe.
Hii ni mbinu nzuri ya kibiashara ambaya Tanzania tunaweza kuiga na kujenga barabara na hata bandari zinazoweza kukuza biashara na kuimarisha usalama baina ya Tanzania na nchi jirani hususana DRC,Msumbiji na Burundi..
Kwa sababu unakuta kuna maeneo tumefikisha barabara lakini upande wa pili wao sio kipaombele au hawana pesa ni vyema tukawajengea kwa makubaliano maalumu.Wakati wanatulipa taratibu basi na biashara zinasonga.
Mfano Serikali imejenga bandari nyingi Sana tena kwa mabilioni ya Shilingi Ziwa Tanganyika na baadhi ya barabara za lami kufika kwenye hizo bandari .Bahati mbaya upande wa pili hakuna cha barabara wala bandari za maana mwisho wa siku miradi yetu inageuka kuwa tembo mweupe.
Tukitumia hii mbinu ya Africa kwa Afrika itasaidia Sana kutufikisha kwenye maendeleo ya fasta.Hongera Uganda kwa kuonyesha njia.
👇