HARUNI IDDI
Member
- May 31, 2024
- 8
- 3
Tanzania tuitakayo katika miaka mitano ijayo na kuendelea Vyombo vya habari kama vile vituo vya redio, magazeti, na vituo vya runinga, vinapaswa kutoa fursa kwa vijana ambao wana ubunifu& maarifa na ujuzi na badale yake huajiri watu wasio kuwa na taaluma ya uandishi na utangazaji na kuajiri watu maarufu wasio kuwa na ujuzi katika maswala ya habari na utangazaji.
Pia vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikijikita katika kugombania wandishi wenye majina makubwa badala ya kukuza vijana wenye vipaji ambao wana maliza katika vyuo vikuu kama chuo kikuu Cha Dar es salaam kwenye shule ya utangazaji na uandishi wa habari na taasisi nyingine zinazotambuliwa na serekali ilikuvindoa vyombo vya habari kwenye matatizo ya kukiuka sheria, kanuni, na miongozo inayo ongoza sekta ya habari kutokana kuwepo wa watu wasio kuwa na ujuzi kwenye maswala ya habari.
Serekali kupitia mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Baraza la habari la taifa (MCT) wizara ya bahari Teknologia ya habari na mawasiliano na taasisi nyingine ambazo Zina husika na maswala ya habari na kuandaa miongozo inayotaka mwandishi angalu kuwa na elimu ya cheti, (certificate ).au astashahada (Diploma). Ilikuwapa fursa vijana wanamaliza kusoma katika fani za uandishi wa habari na utangazaji kuweza kupata ajira na kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana wanaohitimu vyuoni.
Vyombo vya habari vina dhima ya kutoa elimu, kufichua maovu, na kushirikiana na serekali katika kutangaza fursa za kimaendeleo zilizopo kwenye jamii.
Pia vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikijikita katika kugombania wandishi wenye majina makubwa badala ya kukuza vijana wenye vipaji ambao wana maliza katika vyuo vikuu kama chuo kikuu Cha Dar es salaam kwenye shule ya utangazaji na uandishi wa habari na taasisi nyingine zinazotambuliwa na serekali ilikuvindoa vyombo vya habari kwenye matatizo ya kukiuka sheria, kanuni, na miongozo inayo ongoza sekta ya habari kutokana kuwepo wa watu wasio kuwa na ujuzi kwenye maswala ya habari.
Serekali kupitia mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Baraza la habari la taifa (MCT) wizara ya bahari Teknologia ya habari na mawasiliano na taasisi nyingine ambazo Zina husika na maswala ya habari na kuandaa miongozo inayotaka mwandishi angalu kuwa na elimu ya cheti, (certificate ).au astashahada (Diploma). Ilikuwapa fursa vijana wanamaliza kusoma katika fani za uandishi wa habari na utangazaji kuweza kupata ajira na kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana wanaohitimu vyuoni.
Vyombo vya habari vina dhima ya kutoa elimu, kufichua maovu, na kushirikiana na serekali katika kutangaza fursa za kimaendeleo zilizopo kwenye jamii.
Upvote
1