Kujitawala kupi kaka wakati hata zoezi dogo tu la kuchaguana wenyewe kwa wenyewe kupata viongozi wetu kwa kutumia katiba na sheria za nchi hatuwezi..aibu kubwa sana hii kwa Taifa.Hii inferiority complex tutakuwa nayo mpaka lini? Inaonekana hatujataka kujitawala! Au ndiyo maana Lissu anawachumbia wakoloni warudi?
You're uncircumcised baboon from lumumba streetThat’s all you can expect to hear from a blind follower of Lissu and his Chama Cha Demokrasia ya Matusi (CHADEMA)!
Dunia iko kiganjani Yoda,sio lazima uwe Marekani kujua yanayoendelea huko,amka.Wewe mnywa balimi wa tandale ndio ujue dunia inaelekea wapi. Wewe endelelea kukariri tu conspiracies zisizo na mbele wala nyuma
Kujitawala kupi kaka wakati hata zoezi dogo tu la kuchaguana wenyewe kwa wenyewe kupata viongozi wetu kwa kutumia katiba na sheria za nchi hatuwezi..aibu kubwa sana hii kwa Taifa.
You mean kuletewa Balozi shoga, au kuandamwa makanikia yetu?Kwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na viongozi sao.
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?
Huwezi fananisha Democrats party na hapa kwetu ccm, kule angalau Wana vyombo vinavyoaminika. Trump analalamika wizi wa kura hata ushahidi hana
Wewe ndiye unayeota kwa ktoa tuhuma zisizo na uthibitisho wa kisheria. Endelea kuota kwamba siku moja wewe pamoja na genge lenu kuongoza nchi ya Tanzania labda uhamie upande wa pili.Unaota ndoto za mchana. Hakuna awezaye kuua UPINZANI Nyerere aliupiga marufuku kikatiba, kwa miaka 30, lakini ulipofunguliwa tu ukaumuka utazania ulikuwepo siku zote. Upinzani uliongeza presence yake kila miaka 5, mpaka ulipozimwa kwa wizi wa kura 2019 na 2020. Angalau Nyerere alikuwa mstaarabu kwa kubadili katiba. Magufuli na ccm yake ni vibaka wa demokrasia na katiba. Hamna tofauti na wezi wa kuku mtaani.
Huo utabiri wako kuhusu Marekani sijui umeokota wapi. Baada ya Neo-cons kuchemsha kipindi cha Bush, wamarekani walimweka madarakani Obama ili arekebishe uchumi. Wakati kipindi cha Bush ilifikia hatua ukimkosoa Bush kidogo tu unaitwa Traitor! Kipindi anaondoka hakuna hata alietaka jusikia habari ya kina Rumsfeld na ma neocon wengine.
Sasa hivi hata supporters wa Trump, wengi wao wanampinga. Taifa la Marekani lina historia yake, weakness zake na strengths zake.
Wengi wa majaji waliotupilia mbali kesi za kupinga matokeo za Trump, ni Republicans. Wengi wa wakuu wanaohusika na uchaguzi katika states muhimu, ni Republicans, na alijaribu kuwashawishi, wakamkatalia.
Nitakukumbusha siku zijazo tutakaposhuhudia kukwama kwa "utabiri" wako
Hili neno wakuu lina maana gani ?inferiority comple
Donald Trump ndiye aliwashawishi watu waandamane, huku akiwaita ni watu mhimu sana. Siku hii ya jana katika hotuba yake anasisitiza kuwa Marekani inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na Katiba, na watu wote waliofanya maandamano na kusababisha MADHARA watachukuliwa HATUA
Trump akili zake sometime kama za Bashiru wa CCM
Ukweli kuhusu Trump wa Republic party na Joe Biden wa Democratic nchini Marekani tunapolinganisha na Tanzania, yaani CCM ya Jiwe na CHADEMA ya Mbowe ni hivi:
Kama Tundu Lissu wa CHADEMA angelishinda uchaguzi Mkuu wa Oktoba,2020 basi Magufuli angelica ya vituko kama vya Trump.....believe it or not.
- Donald Trump-Republican ni sawa na Magufuli- CCM.
- Joe Biden- Democratic ni sawa na Aikael Mbowe- CHADEMA.
Kuna mfanano wa karibu sana kitabia, kihaiba na kimatamshi baina ta hawa watu 2 yaani Trump na Jiwe....!!!
Majitu kama haya aghalabu hayatakiwa kabisa kushika madaraka hasa ngazi za Urais.....!!!!!
Yaani acha tu. Africa safari yetu ngumu sana. Hata watumwa waliuzwa na machief wetu kabisaaaHii inferiority complex tutakuwa nayo mpaka lini? Inaonekana hatujataka kujitawala! Au ndiyo maana Lissu anawachumbia wakoloni warudi?
Haya mambo ya kulilia nchi nyingine ije kukusaidia ndo udhaifu wa akili. Hakuna mfano wowote ktk dunia hii ambapo US imesaidia maendeleo na wakaendelea. Watu kama wewe, nikiuliza unamtaka Biden kwa lengo gani, nadhani unataka aje akusaidie kumtia adhabu Magufuli, which is filing for bankruptsy!Kwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na viongozi sao.
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?
Ni mapungufu ya mtu ambaye ana nafasi ya kugusa keyboard. Kabla ya mitandao watu kama huyu walikuwa hawasikiki, tatizo ni hali ya sasa ambayo hata bwenge anaweza itisha mkutano/press conference.Hii inferiority complex tutakuwa nayo mpaka lini? Inaonekana hatujataka kujitawala! Au ndiyo maana Lissu anawachumbia wakoloni warudi?
Kilichotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 kinafahamika.Wewe ndiye unayeota kwa ktoa tuhuma zisizo na uthibitisho wa kisheria. Endelea kuota kwamba siku moja wewe pamoja na genge lenu kuongoza nchi ya Tanzania labda uhamie upande wa pili.
You are uncircumcised baboon from lumumba streetThat’s all you can expect to hear from a blind follower of Lissu and his Chama Cha Demokrasia ya Matusi (CHADEMA)!
ukweli mchungu mkoloni mweusi dawa yake ni mkoloni mweupe tu. Karibu Biden
Kama Magufuli aliyaogopa hayo maandamano kiasi cha kuwakamata viongozi wa CHADEMA usiku na kuwaficha, kama maaskari kibao walisambazwa mitaani kukamata na kuwatesa yeyote atakayejitokeza, ni wazi kwamba Serikali ya Magufuli ilikiuka sheria ya vyama vingi inayoruhusu maandanmano kupinga serikali. Hatua ya kwenda barabarani ilikuwa hatua ya kidemokrasia, kuonesha kutokubaliana na mambo kadhaa katika uchaguzi.Uliambiwa uingie barabarani ukagwaya sasa acha kutupotezea muda wetu sisi tuko busy na kazi uchaguzi umeshaisha mpaka 2025 tena.
Kumbe walikuwa ni waandamanaji siyo wahasi?Hii dhana ya kupenda kujiona unatawaliwa muda wooote imekukaa Kichwani sana. Huko Marekani mbona Waandamanaji wameuwawa nje ya Jengo la BUNGE mnaojifanya Wanaharakati mmekaaa kimiaaaaaa pimbi nyie.
Unajitawala kwa uchumi upi ulionaoHii inferiority complex tutakuwa nayo mpaka lini? Inaonekana hatujataka kujitawala! Au ndiyo maana Lissu anawachumbia wakoloni warudi?