Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Akwambie una akili huku hauna akili wewe kenge kweli
That’s the best your brain can offer. May the Lord have mercy on you!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akwambie una akili huku hauna akili wewe kenge kweli
Wewe ni Kawe Alumni?
Ujitawale KWA lipi wewe, mbona mnapenda maneno ya ushabiki Sana,ambayo yapo juu ya uwezo wenu,Hii inferiority complex tutakuwa nayo mpaka lini? Inaonekana hatujataka kujitawala! Au ndiyo maana Lissu anawachumbia wakoloni warudi?
Be blessed the son of bitch like youThat’s the best your brain can offer. May the Lord have mercy on you!
Jibu swali kenge wewe acha ngonjera zako hapaNazungumzia uzoefu wangu. Wewe umewahi kukutana na chizi akakusifia kuwa una akili sana?
Hawa democrats kama wa kijani?
Kila mmoja anashutuma ya Wizi wa kura
Sijui unawaongelea wepi?
Chadema walifungua kesi ngapi wakawa na ushahidi kuwa waliibiwa kura?Acha uongo! Democrats wameiba kura wapi? Trump alifungua kesi 62 kuhusu wizi wa kura hakuwa na ushahidi hata chembe wa kuthibitisha madai yake mahakamani hivyo kesi zake zote zikapigwa chini.
Chadema walifungua kesi ngapi wakawa na ushahidi kuwa waliibiwa kura?
Nyie wa pinzani ni maskini wa akili na kwa taarifa yako mnaenda kupotea jumla na huyo Joseph Robinette Biden (Baɪdən)-wait for a good opportunity before doing something or a bitchKwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na viongozi sao.
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?
Tunajiandaa kwa kuanza kuombaomba, kama tulivyoomba kwa waziri wa China. Yaani mkulu wetu anaombaomba kwa waziri?Kwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na viongozi sao.
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?
Unaota ndoto za mchana. Hakuna awezaye kuua UPINZANI Nyerere aliupiga marufuku kikatiba, kwa miaka 30, lakini ulipofunguliwa tu ukaumuka utazania ulikuwepo siku zote. Upinzani uliongeza presence yake kila miaka 5, mpaka ulipozimwa kwa wizi wa kura 2019 na 2020. Angalau Nyerere alikuwa mstaarabu kwa kubadili katiba. Magufuli na ccm yake ni vibaka wa demokrasia na katiba. Hamna tofauti na wezi wa kuku mtaani.Nyie wa pinzani ni maskini wa akili na kwa taarifa yako mnaenda kupotea jumla na huyo Joseph Robinette Biden (Baɪdən)-wait for a good opportunity before doing something or a bitch
USA is not a democratic country to be a role model state by african countries
There are eight groupings in the USA that will cause the country to be torn apart within four years to come and it is exposed to terrorist attack.
1. White people originating from Europe (EU countries)
2. White people originating from Russia and Germany
3. White people originating from UK & Australia
4. Jewish and Hebrews originating from middle east
5. Asians originating from middle east and far east
6. Asians originating from India, Pakstani and Afaghanstan
7. Asians originating from China, Korea (N/S), Vietnam, Singapore, Malaysia
8. Africans as africa descedants and migrant from africa
9. Latino/Italian Americans
The above mentioned groupings will be in a deadly frictions in two years to come whereas each contending for superiority status appealing to be respected as a result advertent hate speech and lethal assault to surface across rival stronghold staining records in human rights violations.
Mr. Biden a 78yrs old and a one term president won't destabilize the USA interests to Tanzania despite your evil campaigining for sanctions imposition that neither won't be proposed nor the international relationship staggered.
Mungu wabariki WazunguKwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na viongozi sao.
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?
Donald Trump ndiye aliwashawishi watu waandamane, huku akiwaita ni watu mhimu sana. Siku hii ya jana katika hotuba yake anasisitiza kuwa Marekani inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na Katiba, na watu wote waliofanya maandamano na kusababisha MADHARA watachukuliwa HATUA
Trump akili zake sometime kama za Bashiru wa CCM
Ujitawale KWA lipi wewe, mbona mnapenda maneno ya ushabiki Sana,ambayo yapo juu ya uwezo wenu,
Taifa lolote ili kupiga au songa mbele lazima pawepo na ushirika mzuri na nchi zingine,bila kujali uchumi wako unakiwango gani.
So kwa dunia ya leo hakuna nchi yenye kujitawala nyenyewe kwamba yajitosheleza kitu, sasa tz tuna nini mpaka tuwe na maneno ,vijembe, eti inferiority complex, mpaka lini, ebo taifa si mji wa mtu mmoja, linaitaji kusimama KWA vizazi vijavyo, kujifanya wababe KWA Mambo yanayo gusa taifa moja kwa moja tutaumiza taifa.
Be blessed the son of bitch like you
Mkuu inaelekea hujui kabisa watawala halisi wa dunia,wana malengo gani kwako na dunia,na wana-tekelezaje mikakati na malengo yao.Laiti ungelijua kwamba Joe Biden ni kikaragosi tu cha wanaoitawala dunia wala usingemshabikia. China ambayo ni a totalitarian state, ndio model ya serikali wanayoikusudia kwa dunia nzima katika miaka michache ijayo. Yanayoendelea duniani sasa, ikiwa ni pamoja na C-19 ni mikakati michache tu ya kuelekea huko.Kwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na viongozi sao.
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?