Tanzania Tujiandae na Utawala wa Joe Biden (Democrat)

Tanzania Tujiandae na Utawala wa Joe Biden (Democrat)

Status
Not open for further replies.
Mapambano kwenye mitandao ya kijamii au?
Nafurahi umenielewa kuhusu watu kuingia barabarani.
Kuhusu kwamba mapambano yanaendelea, hili mbona liko wazi kabisa.
Mosi, wengi mnakosea kufikiri kwamba dhana nzima ya upinzani hapa nchini ipo kwenye vyama vya upinzani. Si Kweli. Ingekuwa hivyo, basi upinzani ungeshakufa na akina Zuberi Mtemvu miaka ya 60, au na akina Oscar Kambona. Upinzani upo kwenye mioyo ya idadi kubwa tu ya watanzania, na haifi. Ndio maana hata baada ya Nyerere kuupiga marufuku kwa miaka 30 mnamo 1965, mwaka 1995 uliporuhusiwa tu uliibuka utadhania ulikuwepo muda wote.
Watu kama Magufuli, wanaodhamiria "kuua" upinzani, na wanatumia nguvu kubwa sana na kusababisha mateso, vifo, gharama zisizo na maana wala faida kwa taifa, ni watu ambao ni mbumbu wa Historia, na wanaliumiza taifa.

Akina Lissu na Lema na Mbowe , na wengine, watatimiza wajibu wao na watakuja wengine.
Mapambano yanaendelea ndani na nje. Hayaonekani wazi sababu Magufuli ni mbabe. Ukitokeza kichwa tu anakunyofoa. Hili la viongozi wa Tanzania kunyimwa viza za Marekani ni dogo, japo ni aibu kubwa kwa Tanzania. Vuta subira, yajayo yanafurahisha
 
Hii inferiority complex tutakuwa nayo mpaka lini? Inaonekana hatujataka kujitawala! Au ndiyo maana Lissu anawachumbia wakoloni warudi?
Hivi Magufuli , Rais mzimaaaa wa nchi, anampigia magoti waziri wa mambo ya nje wa China na kuombaomba, ni sahihi kidiplomasia? Hapa alitakiwa Kabudi. Lakini hata kuomba kwenyewe ndio ujidhalilishe hivyo? Na kale kajamaa unajua kalijibuje? Kisheria hatusamehe mikopo, lakini nitachukua ombi lako! Kwa lugha ya kidiplomasia hayo ni matusi mazito. Fedheha iliyoje?
 
Tuna rasilimali za kutosha na sasa tumeanza kuwathibiti wezi wetu ndiyo maana wameanza kupiga kelele wakishirikia na wasaliti. Tumefanya uchaguzi bila msaada wa mabeberu na tunasonga mbele.
Hiyo ya "tumefanya uchaguzi kwa fedha zetu" ilikuwa janja ya Magu kuviminya vyama vya upinzani.
Ile hela ya UNDP hutolewa na wachunguzi wa kimataifa huja. Ukiikataa hiyo hela wachunguzi hawaji. Hapo umezima taa ili uibe vizuri gizani.

Pia hizo hela hata vyama vya upinzani hupewa mgao. Sawa hata ccm watakosa, lakini si ndio maana Magu kamweka mtoto wa dadake kwenye kihenge cha pesa? Ccm wanahomola tu. Ndio maana pia waliwwka kodi ya mabango ya kampeni ili kuwakwamisha upinzani, lakini wao wamesambaza nchi nzima. Nani TRA atakwenda kwa Magu kudai kodi ya mabango yake????
Acheni propaganda za kijinga
 
Donald Trump ndiye aliwashawishi watu waandamane, huku akiwaita ni watu mhimu sana. Siku hii ya jana katika hotuba yake anasisitiza kuwa Marekani inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na Katiba, na watu wote waliofanya maandamano na kusababisha MADHARA watachukuliwa HATUA

Trump akili zake sometime kama za Bashiru wa CCM
Huyu jamaa kigeugeu geu sanaa ila ameogopa kuendeleza ndo maana hata siku ya kuapishwa biden hakuwepo.
 
Nafurahi umenielewa kuhusu watu kuingia barabarani.
Kuhusu kwamba mapambano yanaendelea, hili mbona liko wazi kabisa.
Mosi, wengi mnakosea kufikiri kwamba dhana nzima ya upinzani hapa nchini ipo kwenye vyama vya upinzani. Si Kweli. Ingekuwa hivyo, basi upinzani ungeshakufa na akina Zuberi Mtemvu miaka ya 60, au na akina Oscar Kambona. Upinzani upo kwenye mioyo ya idadi kubwa tu ya watanzania, na haifi. Ndio maana hata baada ya Nyerere kuupiga marufuku kwa miaka 30 mnamo 1965, mwaka 1995 uliporuhusiwa tu uliibuka utadhania ulikuwepo muda wote.
Watu kama Magufuli, wanaodhamiria "kuua" upinzani, na wanatumia nguvu kubwa sana na kusababisha mateso, vifo, gharama zisizo na maana wala faida kwa taifa, ni watu ambao ni mbumbu wa Historia, na wanaliumiza taifa.

Akina Lissu na Lema na Mbowe , na wengine, watatimiza wajibu wao na watakuja wengine.
Mapambano yanaendelea ndani na nje. Hayaonekani wazi sababu Magufuli ni mbabe. Ukitokeza kichwa tu anakunyofoa. Hili la viongozi wa Tanzania kunyimwa viza za Marekani ni dogo, japo ni aibu kubwa kwa Tanzania. Vuta subira, yajayo yanafurahisha

Most of the so-called wapinzani are just political opportunity hunters (not wapinzani in the strictest sense of the word)! Wakikosa opportunity kwenye chama walichomo wanahama chama au kuanzisha chama kipya. Obviously, hakuna namna ambayo reintroduction of the multiparty system isingechangamkiwa wakati ilimaanisha fursa mpya kwa political opportunity hunters!
 
Most of the so-called wapinzani are just political opportunity hunters (not wapinzani in the strictest sense of the word)! Wakikosa opportunity kwenye chama walichomo wanahama chama au kuanzisha chama kipya. Obviously, hakuna namna ambayo reintroduction of the multiparty system isingechangamkiwa wakati ilimaanisha fursa mpya kwa political opportunity hunters!
Nakwambia kila siku wewe ni kenge mwehu usiyejua lolote lile
 
Unajitawala kwa uchumi upi ulionao
wewe,ombaomba Ana uwezo gani wa kujitawala? Sisi ni makoloni hadi mwisho wa dunia.
Uchumi wetu tunauza Ni nini nje? Akiba yetu ya dola kufanya manunuzi inatosha miezi 5 tu, tuna jeuri gani sisi.Mafuta ya petrol jeuri yetu tuna uwezo wa kuagiza mafuta ya siku 21 tu
Acha siasa kujifarijie wakat ww si lolote si chochote.Tukifungiwa MISAADA miezi mitano hapa tutakufa km nzige waliopigwa sumu.
Bajeti yetu zaidi ya 50% tunategemea MISAADA na Mikopo ili tuweze kuishi.
Sisi ni maskini tunaosubiri kifo cha asili.
Weka ushahidi wa uliyosema. Vinginevyo ni majungu tu!
 
Hii inferiority complex tutakuwa nayo mpaka lini? Inaonekana hatujataka kujitawala! Au ndiyo maana Lissu anawachumbia wakoloni warudi?
Kwa yanayoendelea hapa kwetu , bado unaamini tunaweza kujitawala ?
 
Hii mentality ya kusubiria watu wa kigeni ndiyo waje wawajibike na nchi yenu ni ya kishamba sana.

Kwa taarifa tu,hata ile ban ya Visa lottery kwa Watanzania iliyowekwa na yule mwendawazimu tayari Biden kaiondoa.

Jiandaeni kuwa disappointed!
 
Ufwala mwingi sana, sisi ni nchi tajiri wewe ya kipato cha kati hatupangiwi.
Mfate shoga mwenzio huko Belgium muongee huo upuuzi
 
Unajitawala kwa uchumi upi ulionao
wewe,ombaomba Ana uwezo gani wa kujitawala? Sisi ni makoloni hadi mwisho wa dunia.
Uchumi wetu tunauza Ni nini nje? Akiba yetu ya dola kufanya manunuzi inatosha miezi 5 tu, tuna jeuri gani sisi.Mafuta ya petrol jeuri yetu tuna uwezo wa kuagiza mafuta ya siku 21 tu
Acha siasa kujifarijie wakat ww si lolote si chochote.Tukifungiwa MISAADA miezi mitano hapa tutakufa km nzige waliopigwa sumu.
Bajeti yetu zaidi ya 50% tunategemea MISAADA na Mikopo ili tuweze kuishi.
Sisi ni maskini tunaosubiri kifo cha asili.
Ni wewe ndio unasubiri hayo pumbavu
 
Hii mentality ya kusubiria watu wa kigeni ndiyo waje wawajibike na nchi yenu ni ya kishamba sana.

Kwa taarifa tu,hata ile ban ya Visa lottery kwa Watanzania iliyowekwa na yule mwendawazimu tayari Biden kaiondoa.

Jiandaeni kuwa disappointed!

Si tu ni ya kishamba bali pia ni extreme state of mental retardation!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom