Tanzania tujiunge na BRICS?

Tanzania tujiunge na BRICS?

BRICS wakifanikiwa kuwa na sarafu na mifumo yao ya malipo kama ule wa SWIFT itakuwa haiepukiki kwa nchi yetu kujiunga, moja kwa sababu tunafanya biashara sana na UAE, CHINA NA INDIA(rejea ndege ya mizigo mpya tumezipeleka huko unaweza ona umuhimu wake), pili mfumo mbadala nje ya dola ili kuwa huru kisera na muhimu zaidi kuwa usalama kiuchumi pale uchumi wa US unapokwama-kumbuka tumeathirika kiuchumi pale US economy inapoyumba mf 2008.
Labda miaka 50 ijayo
 
Labda miaka 50 ijayo
Mbali sana, nakuhakikishia, kabla Samia hajampisha Rais mwingine, tutakua na mifumo mbadala kamili wa kiuchumi; sababu kuu ni hizi; BRICS inaundwa na mataifa vinara yenye nguvu kiuchumi, kiviwanda na kirasilimali, pili ulimwengu unazidi kuchoshwa na sera za kimabavu za Marekani (60+ nations zimeonyesha nia ya kujiunga BRICS), tatu teknolojia kwa sasa imekua sana kuwezesha kuharakisha utendaji wa mambo. Ni suala la muda tu, ila BRICS inaenda kuibadili hii dunia.
 
Mbali sana, nakuhakikishia, kabla Samia hajampisha Rais mwingine, tutakua na mifumo mbadala kamili wa kiuchumi; sababu kuu ni hizi; BRICS inaundwa na mataifa vinara yenye nguvu kiuchumi, kiviwanda na kirasilimali, pili ulimwengu unazidi kuchoshwa na sera za kimabavu za Marekani (60+ nations zimeonyesha nia ya kujiunga BRICS), tatu teknolojia kwa sasa imekua sana kuwezesha kuharakisha utendaji wa mambo. Ni suala la muda tu, ila BRICS inaenda kuibadili hii dunia.
Mfumo fedha uchukua miaka 30 au zaidi Kufanya kazi, kuleta matokeo. Euro ilipendekezwa 1960, ikaanzishwa 1999, ikaanza kuonekana kama Pesa 2002. Hapa ndipo penye akili kwa hiki chama, ukiweza kuistore mfumo fedha na ukarun vizuri basi BRICKS itashinda. EU ni simba mwenda pole, alijua Siku moja Dollar itasumbua akaja na EURO. N.B. Mzungu kwenye mfumo ela hawezekani, ndio maana China na Urusi wanalia lia na vikwazo vya EU na US. Kwa sasa US na EU wanapanga tukio kwa BRICKS, nia ni kiwe chama cha kukutana na kupiga story tu, subiri mpaka 2027 uone.
 
Mfumo fedha uchukua miaka 30 au zaidi Kufanya kazi, kuleta matokeo. Euro ilipendekezwa 1960, ikaanzishwa 1999, ikaanza kuonekana kama Pesa 2002. Hapa ndipo penye akili kwa hiki chama, ukiweza kuistore mfumo fedha na ukarun vizuri basi BRICKS itashinda. EU ni simba mwenda pole, alijua Siku moja Dollar itasumbua akaja na EURO. N.B. Mzungu kwenye mfumo ela hawezekani, ndio maana China na Urusi wanalia lia na vikwazo vya EU na US. Kwa sasa US na EU wanapanga tukio kwa BRICKS, nia ni kiwe chama cha kukutana na kupiga story tu, subiri mpaka 2027 uone.
Euro ni kikwazo kwa dollar, Marekani haipendi EU na Euro. Mkakati wa kuishawishi Uingereza kutoka EU (Brexit) na vita ya Ukraine na Urusi ni sehemu ya mkakati huo. Lengo kuu pale ni kuikatia EU mafuta na gesi rahisi kutoka Russia ili kuruga chini za German, France, Italy na Spain ambazo ndio mihimili ya EU. Nchi kama Ujeruman, France, Italy huenda siku moja wakajiunga na mfumo wa kifedha wa BRICS ili kuikimbia dhuluma ya Marekani. Marekani Hana rafiki.
 
Mfumo fedha uchukua miaka 30 au zaidi Kufanya kazi, kuleta matokeo. Euro ilipendekezwa 1960, ikaanzishwa 1999, ikaanza kuonekana kama Pesa 2002. Hapa ndipo penye akili kwa hiki chama, ukiweza kuistore mfumo fedha na ukarun vizuri basi BRICKS itashinda. EU ni simba mwenda pole, alijua Siku moja Dollar itasumbua akaja na EURO. N.B. Mzungu kwenye mfumo ela hawezekani, ndio maana China na Urusi wanalia lia na vikwazo vya EU na US. Kwa sasa US na EU wanapanga tukio kwa BRICKS, nia ni kiwe chama cha kukutana na kupiga story tu, subiri mpaka 2027 uone.
Euro ilichukua kuda wote huo kwakuwa hakuwa na urgent burning issues. BRICS haitachukua muda wote huo kwakuwa tayari lipo tatizo Leo na sasa hivi. Nchi nyingi zimekwama kwakuwa hazina mafuta na gesi na bidhaa nyingine kwakuwa hawana dollar Wala mfumo wa manunuzi wa bidhaa
 
Back
Top Bottom