Lakini wote tumerudi nyumbani ππππMatch of the tournament so far,hongera EAST AFRICA,wa bongo msiwe na hofu,a win for kenya is a win for EAST AFRICA,tutawakilisha vilivyo hadi fainali.
Kilichowasaidia kuifunga timu ya Leo ni kwa vile ni ya CCM sio ya taifa. Au hamjamsikia Gavana wa Dar es salaam?
View attachment 1140593
Tumeambiwa goli alilofunga ni juhudi binafsi za Jiwe.π¨π π Bwana Samatta is going places though, ive liked the guy, very talented
Nilisema Pombe ya Makufuli iko chini..sasa ona...Pengine wa TZ wajaribu uongo juu hapo wametuweza!
Sasa mtuazime Mbwana Samatta tukabiliane na Senegal.
Itawakilisha vp kwa akili yako bado unajipa matumaini kwa senegalππππIchoboi01 sisi tupo draw na senegal kwa wakati huu,matokeo ya mechi yetu na wao ndio itaamua nani atafuzu,na usiwe na hofu kenya itawakilisha east africa vilivyo.tuwe wazalendo kwa east africaπ
Senegal πΈπ³ nchi ya watu millioni mbili tu!!!! π€£ π€£ Usiwe na Shaka!!!Itawakilisha vp kwa akili yako bado unajipa matumaini kwa senegalππππ
Yes he is. Trolls aside I would olso pick outπ π Bwana Samatta is going places though, ive liked the guy, very talented
Goodluck guysIchoboi01 sisi tupo draw na senegal kwa wakati huu,matokeo ya mechi yetu na wao ndio itaamua nani atafuzu,na usiwe na hofu kenya itawakilisha east africa vilivyo.tuwe wazalendo kwa east africaπ
Acha hizo bhana, uchawi huo.Kenya tunawaombea senegal awapige 4 nil goal. kwa sababu mkisonga mbele mtatupa shida kubwa watz
Our match was with Tanzania. Our final was with Tanzania. Sisi tushabeba kikombe chetu. Hata Senegal watupige tano mtungi haina waas.You guys stop bluffing, wait for your match with Senegal and then you can talk.
Na algeria je???πππSenegal πΈπ³ nchi ya watu millioni mbili tu!!!! π€£ π€£ Usiwe na Shaka!!!
Wewe si mtu mzuriKenya tunawaombea senegal awapige 4 nil goal. kwa sababu mkisonga mbele mtatupa shida kubwa watz