- Thread starter
- #21
Yes!Boss na wewe ulikuwa huko mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes!Boss na wewe ulikuwa huko mkuu?
Anataka kuleta mambo ya jiwe huyu,eti ukimwaga mboga namwaga ugali,jiwe alikua chanzo cha mipaka yetu na Kenya kifungwa mara kwa mara.Inaelekea una taarifa za kila jambo mkuu.
Inamaana haukuona alivyokuwa na mwenyeji wake ikulu Mama akipigiwa gobore 21 na kukagua manamba kwa heshima zote?
Huwezijua mwenyeji wake alikua na masahibu gani au ratiba zilikuaje.
Punguza kidogo roho mbaya inayochagiza kisasi...umeenda mbali sana kupanga adhabu bila kujipa muda ujue ukweli wa mambo.
Inamaana kweli serikali wanaweza kuusikiliza huu ushauri wako???
mleta mada inaonekana unapenda sana kudeka, wewe ni mtoto wa mwisho kuzaliwa??
tuanzie hapo kwanza...
Kweli kabisa, nafikiri Watz tujaribu kupunguza Low-key discussions na kuwa too subjective kwa kila kitu na badala yake labda, tujikite kwenye issues za kwa jinsi gani twaweza tatua, mambo na changamoto zetu nyingi na za msingi zinazotukabili....kaazi iendelee.Tusitake kukuza mambo yasiyo na msingi jamani!
Una roho ngumu sana. Yaani pamoja na kurushiwa mawe yote haya, bado umo tu!?Naangalia usalama wa Rais SSH. Hakulindwa na PSU ya Kenya.
Haya mambo ya kuvaa rangi fulani yanalisaidia nini taifa?Kwani tuko harusini?Jambo ambalo hulijui ni kwamba linapokuja suala la usalama hasa nchini Kenya kwenye ugaidi. Jua kwamba unapopokelewa na Rais mwenzio unakuwa salama zaidi kiulinzi. Sisi hatukupokelewa na PSU ya Kenya. Tulijitegemea. Vipi lingetokea la kutokea si tiyari CDF Mabeyo angeshafunga mipaka? Naongea kama mtu wa diplomasia. Ulijua kwa nini mama alivaa rangi maruni? Au unadhani ni urembo kwake? Unataka shule?!
Nenda chuo Cha diplomasia Kurasini pengine ukajua ninaongea nini.Haya mambo ya kuvaa rangi fulani yanalisaidia nini taifa?Kwani tuko harusini?
Tulichokitaka ni mama kurudisha uhusiano na wakenya uliovunjwa na jiwe,
Tulitaka mipaka iwe huru baina ya nchi zetu watu wafanye biashara kwa uhuru,
Haya mambo ya kuvaa rangi gani subiri siku ya harusi.
Huo ni utaratibu wa nchi nyingi sana,raus hapokewi na rais
Kama watu mnaoambatana na Mama Samia, ni watu kama ninyi, basi tayari ni hasara kubwa kwa Taifa!Tanzania ni nchi kubwa Afrika Mashariki. Kihistoria Tanzania ina heshima kubwa duniani.
Tumesikitika sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan na ugeni wake akipokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya badala ya Rais kama mwenyeji wake.
Tukumbuke Rais (mwenyeji) anapokupokea unakuwa na Ulinzi wote wa uhakika. Badala yake SSH alilindwa na walinzi wa Tanzania bila wenyeji.
Kwa nini mama yetu hakupokelewa na Uhuru Airport na badala yake baada ya sisi kulalamika ndipo Kenyatta anajibaraguza kumsindikiza Airport kurudi Dar? Hii ni dharau sana. Je, ni kwa sababu ya jinsia yake? Hatujapenda hii. Tumenyong'onyea sana kwenye ndege.
Naye mwaliko wake mama Mulamula atampokea sherehe za Uhuru iwe 50/50. Ova
#FreedomIsBack
Hata kwenye usalama inaonekana hujui kitu. Magaidi wanawatafuta Wakenya. Kuwepo kwa marais wawili ni target ya kuvutia zaidi kwa magaidi kuliko uwepo wa Rais wa Tanzania bila ya Rais wa Kenya.Jambo ambalo hulijui ni kwamba linapokuja suala la usalama hasa nchini Kenya kwenye ugaidi. Jua kwamba unapopokelewa na Rais mwenzio unakuwa salama zaidi kiulinzi. Sisi hatukupokelewa na PSU ya Kenya. Tulijitegemea. Vipi lingetokea la kutokea si tiyari CDF Mabeyo angeshafunga mipaka? Naongea kama mtu wa diplomasia. Ulijua kwa nini mama alivaa rangi maruni? Au unadhani ni urembo kwake? Unataka shule?!
Wewe Acha uongo utaratibu wa wapi kuwa Rais hapokelewi na Rais,sema Marais nao Wana dharauriana kama ambavyo ilivyo katika Jamii.Huo ni utaratibu wa nchi nyingi sana,raus hapokewi na rais
Kujua kuwa alilindwa, ulitaka walinzi wa Rais wawe wamejaa na magobore kama mnavyofanya ninyi hapa?Naangalia usalama wa Rais SSH. Hakulindwa na PSU ya Kenya.
Kama hicho chuo ndiyo ulichosoma, na haya ndiyo uliyosomea, basi hicho chuo kitakuwa ni jalala. SSH siyo Rais wa kwanza Duniani kupokelewa na Waziri wa masuala ya nje.Nenda chuo Cha diplomasia Kurasini pengine ukajua ninaongea nini.