Tanzania tumeweka record mpya

Tanzania tumeweka record mpya

tuwekeze kwenye michezo tunayoiweza kama ngumi na riadha huko tuna historia nzuri. Tanzania mpira hatuuwezi. hata aje van gaal au mou kufundisha ni sifuri.
 
Mabeki wote Yanga, golikipa yanga! Jana kafungwa Yanga, na Tp Mazembe...

Eti Samata anataka kucheza mpira nje ya Arica..wapi...Labda hapo hapo Mazembe, not Europe

Ni kweli, kimsingi Samata performance yake bado sana. Katukosesha bao nyingi tu. Kucheza europe atasubiri sana
 
Maoni yangu:
1. Kwanza refa alituuma sana, kwa kutoa kadi ovyo na ku-call fouls ambazo hazina kichwa wala miguu. Inawezekana alishalambishwa. Mfano, binafsi zile penalti mbili si halali kabisa; ya kwanza mlinzi wa stars alichezewa vibaya kabla ya yule wa algeria hajazongwa na 'kuangukia' mwenyewe kwenye penalti box, haikuwa penalti kabisa. Halafu ile ya pili kipa wetu alitoka na kuupigampira pembeni mbele ya mshambuliaji wa Algeria, hakukuwa na nia yoyote mbaya ya rafu, lakini refa akawapa penalti, very sad
2. Umati wa washangiliaji wa Algeria na makelele yao vilikuwa very intimidating toka mwanzoni kabisa, Stars walijiona wapweke sana. Uzoefu ulihitajika sana hapa
3. Kitendo cha Stars kuruhusu goli la kwanza dakika ya kwanza kiliwachanganya sana stars wakaona kama wameshafungwa tayari. Laiti kama wangekomaa bila kufungwa walau hadi dk ya 10 Stars wengestabilize na kucheza vizuri zaidi
4. Kitendo cha kadi nyekundi kiliwanyongonyesha zaidi Stars wakaona biashara ndio imeisha! Of course hii ilitokana na Stars kufanya rafu za kizembe

Way forward:
- Hakuna wa kumlaumu, timu bado ni nzuri kama tulivyoiona ikicheza Dar. Sema tu Algeria ni timu bora sana na walikuwa nyumbani kwao na refa wao. Tuwatie moyo wachezaji wetu na benchi zima la ufundi. Hakuna cha ajabu kufungwa 7 na Algeria, hata Brazil walifungwa 7 tena kwao na Germany, itakuwa TZ ugenini?
- Kwa sasa waelekeze nguvu na mbinu katika kombe la Challenge linaloanza jumamosi; huko wahakikishe wanatoa vipigo vya haja kwa vibonde wenzetu ili kulinda heshima ya Tanzania.
- Nadhani kocha aanze kutafuta mbadala wa Cannavaro na Yondani, hawa wamecheza mda mrefu na inaelekewa kasi yao imepungua esp wakipambana na strikers wa kasi ya Algeria

Mkuu kwelitupu nimependa sana uchambuzi wako, umeongea ile kweli tupu. refa wa jana kachangia sana stars kufungwa kiwango hiki. Sijui kama kuna jopo ambalo hukaa na kufanya tathmini ya match zilizochezwa kama hii. Wakikaa watu wanaojua haki na mpira, yule refa anastahili kufukuzwa kazi.
 
Sijaona kitu cha ajabu hapo, tatizo wabongo atukawii kuridhika timu ikitoa droo 2 na kushinda mechi 1 basi utasikia eti sasa ipo vizuri na tena kama huo ushindi ukipatikana nje ya nchi basi timu ikirudi itapokelewa kama kaja malaika sasa kwa jinsi hii wachezaji na kocha wanabweteka na kujiona wamefikia kiwango cha juu kumbe zari tu sasa matokeo yake ndio haya Algeria wanatupiga 7 bila.

Ni kweli, tunahitaji kujirekebisha juu ya hilo. Ni wepesi wa kuridhika sisi, huu ni ugonjwa
 
tuwekeze kwenye michezo tunayoiweza kama ngumi na riadha huko tuna historia nzuri. Tanzania mpira hatuuwezi. hata aje van gaal au mou kufundisha ni sifuri.

Ni wazo zuri
 
Maoni yangu:
1. Kwanza refa alituuma sana, kwa kutoa kadi ovyo na ku-call fouls ambazo hazina kichwa wala miguu. Inawezekana alishalambishwa. Mfano, binafsi zile penalti mbili si halali kabisa; ya kwanza mlinzi wa stars alichezewa vibaya kabla ya yule wa algeria hajazongwa na 'kuangukia' mwenyewe kwenye penalti box, haikuwa penalti kabisa. Halafu ile ya pili kipa wetu alitoka na kuupigampira pembeni mbele ya mshambuliaji wa Algeria, hakukuwa na nia yoyote mbaya ya rafu, lakini refa akawapa penalti, very sad
2. Umati wa washangiliaji wa Algeria na makelele yao vilikuwa very intimidating toka mwanzoni kabisa, Stars walijiona wapweke sana. Uzoefu ulihitajika sana hapa
3. Kitendo cha Stars kuruhusu goli la kwanza dakika ya kwanza kiliwachanganya sana stars wakaona kama wameshafungwa tayari. Laiti kama wangekomaa bila kufungwa walau hadi dk ya 10 Stars wengestabilize na kucheza vizuri zaidi
4. Kitendo cha kadi nyekundi kiliwanyongonyesha zaidi Stars wakaona biashara ndio imeisha! Of course hii ilitokana na Stars kufanya rafu za kizembe

Way forward:
- Hakuna wa kumlaumu, timu bado ni nzuri kama tulivyoiona ikicheza Dar. Sema tu Algeria ni timu bora sana na walikuwa nyumbani kwao na refa wao. Tuwatie moyo wachezaji wetu na benchi zima la ufundi. Hakuna cha ajabu kufungwa 7 na Algeria, hata Brazil walifungwa 7 tena kwao na Germany, itakuwa TZ ugenini?
- Kwa sasa waelekeze nguvu na mbinu katika kombe la Challenge linaloanza jumamosi; huko wahakikishe wanatoa vipigo vya haja kwa vibonde wenzetu ili kulinda heshima ya Tanzania.
- Nadhani kocha aanze kutafuta mbadala wa Cannavaro na Yondani, hawa wamecheza mda mrefu na inaelekewa kasi yao imepungua esp wakipambana na strikers wa kasi ya Algeria

Umetoa mtazamo kama wangu mkuu. Safi kabisa daima mbele.
 
Back
Top Bottom