Tanzania tumieni mapato ya betting kwaajili ya timu za Taifa

Tanzania tumieni mapato ya betting kwaajili ya timu za Taifa

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Badala ya kuanza kuchangisha tunaweza kuamua kutumia mapato yapatikanayo katika tasnia ya michezo ya bahati nasibu ambayo ni mengi kuboresha na kuinua timu za Taifa kuliko kutembeza bakuli.

Mfano wa nchi wanazoelekeza mapato ya betting kwenye timu za Taifa Ni Ujerumani. Ni aibu kila siku kujinasibu kuongezeka kwa makusanyo then tunaitisha michango, watatucheka.
 
Back
Top Bottom