Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani duniani kote ingekuwa hivi...mi naona sehemu yenye serikali huwa hakunaga amani..kila saa mnaona askari na mabunduki utafikiri ndo wanaleta amani..Ulishakutana na magenge ya kuuza pesa za kigeni mitaani ona somaliland
Za huyo mwandishi wa habari? Nazungumzia hayo mafungu yaliyopangwa kama nyanyaDola walizoshika huzioni au?
Ulishakutana na magenge ya kuuza pesa za kigeni mitaani ona somaliland
Kwa hiyo na Kenya shilingi hazina thamaniZa huyo mwandishi wa habari? Nazungumzia hayo mafungu yaliyopangwa kama nyanya
Hilo jimbo lililojitenga huko aman aman tuu mda wa msikitini kuswali unaacha kila kitu hapo msikitini.ofisi ya Rais wao kuna daftari ndogo na( tadhbiri) ukutani (sory kama nimeikosea jina)ni ule ushanga au rozari kwa wakatoliki upande wa waislam wanahesabia mkononi. Yaani kule box la hela linapigwa kufuli ndogo lile watu wanaacha hapo unaenda zako msikitini.Ulishakutana na magenge ya kuuza pesa za kigeni mitaani ona somaliland
Mkuu huko sio somalia, ni somalilandDah noma sana, maisha ya somalia yako chini sana au yako juu sana..
Huku kwetu Msikitini mpk malapa na viatu vinaibiwa.Hilo jimbo lililojitenga huko aman aman tuu mda wa msikitini kuswali unaacha kila kitu hapo msikitini.ofisi ya Rais wao kuna daftari ndogo na( tadhbiri) ukutani (sory kama nimeikosea jina)ni ule ushanga au rozari kwa wakatoliki upande wa waislam wanahesabia mkononi. Yaani kule box la hela linapigwa kufuli ndogo lile watu wanaacha hapo unaenda zako msikitini.
Hiyo ni tofauti na somalia kumbe!!? Kwa hiyo ni mkoa au nini mkuu..Mkuu huko sio somalia, ni somaliland
Ni jimbo ambalo limejitenga kutoka somalia, wana uongozi wao kabisa, wao hawana mambo ya al shabaabHiyo ni tofauti na somalia kumbe!!? Kwa hiyo ni mkoa au nini mkuu..
Hilo jimbo lililojitenga huko aman aman tuu mda wa msikitini kuswali unaacha kila kitu hapo msikitini.ofisi ya Rais wao kuna daftari ndogo na( tadhbiri) ukutani (sory kama nimeikosea jina)ni ule ushanga au rozari kwa wakatoliki upande wa waislam wanahesabia mkononi. Yaani kule box la hela linapigwa kufuli ndogo lile watu wanaacha hapo unaenda zako msikitini.
😂😂😂Huku kwetu Msikitini mpk malapa na viatu vinaibiwa.