Tanzania tuna safari kubwa sana na aina hii ya viongozi

kwa aina hiii ya wananchi tunasafar ndefu sana
Ni mtazamo wako tu huo ,hata ujue kuwa hakuna neno safar Bali Kuna safari na pia hakuna kwenye kiswahili neno Hiii Kuna hii nafikili pia ujipe na wewe!
 
Ni mtazamo wako tu huo ,hata ujue kuwa hakuna neno safar Bali Kuna safari na pia hakuna kwenye kiswahili neno Hiii Kuna hii nafikili pia ujipe na wewe!
hata ujue ndio nini!??, nafikili ndio kiswahili cha wap, ,😏
 
Upinzani hatupokei wanafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…