Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa sijui ni ushindi gani unaongelea.Nawaza tu
- Uchaguzi huu CCM atapata 95%
- CDM itapata 2%
- CUF itapata 1%
- ACT itapata 2%
Kwa mantiki hiyo CCM itashinda kwa kishindo kikubwa. Sababu ziko wazi za kimtaji anzia.
Sababu za kushindwa CDM na wenzake ni:
* Viongozi wa vyama vyao kutokuwa na misimamo (mfano mara kadhaa husikika wakisema kuwa hawatashiriki chaguzi)
* Muda unaomalizika hawakiwa na mitaji ya viongozi;
* Vyama hivyo kuwa na uwezo mdogo wa kifedha na vitendeakazi.
Ushauri:-
* Vyama vyote baada ya uchaguzi huu viunde chama kimoja cha CCM.
Sijakata tamaa, bali nimepuuza huo ushenzi uitwao uchaguzi.We
We umekata tamaa
Unayoyasema hayapo na kwa makusudi unajivua Akili,na kujifanya mwehu,kinachofanywa na TAMISEMI hukioni kwa sababu umegeuza kichwa chako kuwa pumpkin na kuvaa miwani ya giza huoni chochote. shauri yako.Nawaza tu
- Uchaguzi huu CCM atapata 95%
- CDM itapata 2%
- CUF itapata 1%
- ACT itapata 2%
Kwa mantiki hiyo CCM itashinda kwa kishindo kikubwa. Sababu ziko wazi za kimtaji anzia.
Sababu za kushindwa CDM na wenzake ni:
* Viongozi wa vyama vyao kutokuwa na misimamo (mfano mara kadhaa husikika wakisema kuwa hawatashiriki chaguzi)
* Muda unaomalizika hawakiwa na mitaji ya viongozi;
* Vyama hivyo kuwa na uwezo mdogo wa kifedha na vitendeakazi.
Ushauri:-
* Vyama vyote baada ya uchaguzi huu viunde chama kimoja cha CCM.
Ushindi wa kuengua wapinzani ndo ushindi wa kishindo? Be serious mkuu , uchaguzi huu upinzani wautumie wakifocus ya mbele , huu ni uchaguzi hovyo wahi tokea , ipo siku washirika wa jambo hili mifupa yao itafukuliwa na kubuluzwa mahakamani ,kama sio kaburi zao kupigwa pingu , taifa limenajisiwa ,Mungu yupo kazinNawaza tu
- Uchaguzi huu CCM atapata 95%
- CDM itapata 2%
- CUF itapata 1%
- ACT itapata 2%
Kwa mantiki hiyo CCM itashinda kwa kishindo kikubwa. Sababu ziko wazi za kimtaji anzia.
Sababu za kushindwa CDM na wenzake ni:
* Viongozi wa vyama vyao kutokuwa na misimamo (mfano mara kadhaa husikika wakisema kuwa hawatashiriki chaguzi)
* Muda unaomalizika hawakiwa na mitaji ya viongozi;
* Vyama hivyo kuwa na uwezo mdogo wa kifedha na vitendeakazi.
Ushauri:-
* Vyama vyote baada ya uchaguzi huu viunde chama kimoja cha CCM.
Utakuwa hujui maana ya LGAs? Tanzania hatunazo nyingi kiasi hicho!Nawaza tu
- Uchaguzi huu CCM atapata 95%
- CDM itapata 2%
- CUF itapata 1%
- ACT itapata 2%
Kwa mantiki hiyo CCM itashinda kwa kishindo kikubwa. Sababu ziko wazi za kimtaji anzia.
Sababu za kushindwa CDM na wenzake ni:
* Viongozi wa vyama vyao kutokuwa na misimamo (mfano mara kadhaa husikika wakisema kuwa hawatashiriki chaguzi)
* Muda unaomalizika hawakiwa na mitaji ya viongozi;
* Vyama hivyo kuwa na uwezo mdogo wa kifedha na vitendeakazi.
Ushauri:-
* Vyama vyote baada ya uchaguzi huu viunde chama kimoja cha CCM.
Kwa nn hatuishiwi lawama?Ushindi wa kuengua wapinzani ndo ushindi wa kishindo? Be serious mkuu , uchaguzi huu upinzani wautumie wakifocus ya mbele , huu ni uchaguzi hovyo wahi tokea , ipo siku washirika wa jambo hili mifupa yao itafukuliwa na kubuluzwa mahakamani ,kama sio kaburi zao kupigwa pingu , taifa limenajisiwa ,Mungu yupo kazin
Rekebisha dish rafiki unahama channelUtajuta unaongea hivi halafu upo kwenye upangaji umepewa piki piki ya chama nasikitika sana kwa kukosa ELIMU TAIFA HILI
Kwa nn hatuishiwi lawama?
- Kuna makosa CDM huyafanya kila chaguzi zinapokaribia
- CCM ni chama chenye ukubalika
Sawa , hivi ni mgombea gani wa ccm amewnguliwa ? Mkuu mtandao kwa sasa kitu kikubwa sana ,vipi wajukuu wako wakikua na kumkuta babu yao alikua anandika ujinga wa namna hii, by that time mgongo umepinda kama SGR ,ongea ukweli ,tengeneza history nzuri ya kizazi chako kijacho . Leo mababu zako wazaa mababu zako wako hai ? Kama sivyo we unategemea kuwa hai kwa miaka 70 ijayo?Kwa nn hatuishiwi lawama?
- Kuna makosa CDM huyafanya kila chaguzi zinapokaribia
- CCM ni chama chenye ukubalika
Majizi yamejichanganya yaache na uzwazwa wao!!Kwanini vijijini ni vingi kuliko mitaa?
Tarehe 27 siyo mbali sana, rudia tena maneno haya baada ya uchaguziUnayoyasema hayapo na kwa makusudi unajivua Akili,na kujifanya mwehu,kinachofanywa na TAMISEMI hukioni kwa sababu umegeuza kichwa chako kuwa pumpkin na kuvaa miwani ya giza huoni chochote. shauri yako.
AsanteSawa , hivi ni mgombea gani wa ccm amewnguliwa ? Mkuu mtandao kwa sasa kitu kikubwa sana ,vipi wajukuu wako wakikua na kumkuta babu yao alikua anandika ujinga wa namna hii, by that time mgongo umepinda kama SGR ,ongea ukweli ,tengeneza history nzuri ya kizazi chako kijacho . Leo mababu zako wazaa mababu zako wako hai ? Kama sivyo we unategemea kuwa hai kwa miaka 70 ijayo?
Pumbavu
Kwanini vijijini ni vingi kuliko mitaa?
Vijijini ni elfu kumi na mbili 12,000
- Vijiji 12,000+
- Mitaa 4000+
Wapi huelewi ndugu yng?
Uchaguzi ulisha kwisha ,Mchengelewa mwenye kifua kipana amethibitisha hili , Mungu yupo kaziniAsante
Mnafanya makosa sana kutotaka kuambiwa ukweli
- Baada ya 27/11 hope tutarudia kusemezana
- Wajukuu zangu nanyi wanangu hope mnajitia upofu tu kuhusu kazi nzuri za CCM
- Siasa na utashi wa madaraka vimewapofusha sana